Naiomba sana Tanzania Impeleke Dkt. Gwajima D pale WHO -Africa

Naiomba sana Tanzania Impeleke Dkt. Gwajima D pale WHO -Africa

Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Ewaaah.hapa sawa
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
She deserves kutuwakilisha
 
Yule aliyekuwa anapiga nyungu hadharani wakati wa CORONA ndio akaongoze WHO? Thubutu,WHO wanaamini kwenye science hawaamini mambo ya abracadabra. Labda akagombee kwenye jumuia ya masangoma wa Africa huko atashinda
nyungu.jpg
 
Unfortunately it will not be easy to get someone with credentials similar to Dr Faustine. Remember Dr Faustine was not proposed by the country. Let’s wait and see.
 
Back
Top Bottom