Naiomba sana Tanzania Impeleke Dkt. Gwajima D pale WHO -Africa

Naiomba sana Tanzania Impeleke Dkt. Gwajima D pale WHO -Africa

Kwani WHO wamesema hii nafasi ni ya kurithishwa? Kama la, sina hofu na Dr Gwajima, wakitangaza aombe, dunia tunapita akishinda mimi ni nani eti nikasirike mtu akipigania ugali wake? Nenda mama
Usimdanganye. Au kwa vile ni mwana JF mwenzetu? Hata aliyemweka hapo alipo kwa sasa hawezi kuthubutu kumpeleka WHO kushindana kwa niaba ya Tanzania.
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️ ivi Wa Tanzania mnajua uko WHO mnapitishana kama ccm ache ujinga fanyeni mamb mengne
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Wala asiende WHO, arudishwe tu wizara ya afya kwani Mama wa per diem (Ummy) alipaharibu mno.
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.


Sasa Leo ndio nimejua akili zako ni za masiara kama rickyboy 🤣🤣🤣🤣
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
İle kazi ina sifa zake

Sio drama tu
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Inaonesha hujui qualifications za hiyo kazi. Şifa ulizozitaja ni disqualifications kwa hiyo kazi
 
Back
Top Bottom