Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mkuu Sina shaka na CV ya Dkt.Gwajima !.Unajua cv za anao enda kukutana nao? Kule hakuna lobying za chama, you either wualify or not
Mnataka kuigeuza WHO iwe CCM B?Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .
Mimi ni Pro- Qualifications.
Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.
Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Hivi ni lazima atoke CCM au awe mwanasiasa? NB: Nikifananisha DR Gwajima na na majina ya wengine wa CCM waliotajwa, huyu ndiyo bora kabisa.Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .
Mimi ni Pro- Qualifications.
Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.
Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Na mimi nimeuliza: hivi mpaka awe mwana CCM au awe mwanasiasa?Mnataka kuigeuza WHO iwe CCM B?
Alafu hivyo vyeo washaanza kucheki na afya.. umtakaye atakubali kupimwa India?
Sijui.Na mimi nimeuliza: hivi mpaka awe mwana CCM au awe mwanasiasa?
Anaweza kusingizia kuwa A-level alisoma masomo ya sayansi.Anajua kiinglishi?
Kusingizia kunasaidia nini? Atatakiwa kuongeaAnaweza kusingizia kuwa A-level alisoma masomo ya sayansi.
Nakuunga Mkono 100%..Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .
Mimi ni Pro- Qualifications.
Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.
Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Dkt. Gwajima DKwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .
Mimi ni Pro- Qualifications.
Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.
Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Si unajua tena watanzania tunavyopenda kusingizia.Kusingizia kunasaidia nini? Atatakiwa kuongea
Anajua Kingereza?Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .
Mimi ni Pro- Qualifications.
Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.
Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Gwajima aendelee na matatizo ya ukatili kijinsia na maadili. Anayaweza sanaNakuunga Mkono 100%..
Ni aidha Gwajima au Janabi
Mimi nadhani waepuke kabisa kabisa wanasiasi (japo Gwajima yuko vizuri) kwa sababu nchi yetu inafanya wanasiasa kama ndiyo wenye utaalam wa kila kitu.Nakuunga Mkono 100%..
Ni aidha Gwajima au Janabi
Kwa hio huko Duniani aende nani Mimi?Gwajima aendelee na matatizo ya ukatili kijinsia na maadili. Anayaweza sana
Hayo ni mawazo ya watanzania, thinking wana vyo lobby kwenye mifumo ya ndani, ndivyo wataweza kwenye mashirika ya nje( kumbe ni tofauti kabisa)Mnataka kuigeuza WHO iwe CCM B?
Alafu hivyo vyeo washaanza kucheki na afya.. umtakaye atakubali kupimwa India?