Ewaaah.hapa sawaKwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .
Mimi ni Pro- Qualifications.
Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.
Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Nenda wewe mkuuKwa hio huko Duniani aende nani Mimi?
Yaan wewe unanipendekeza niende Mimi nikakae kwenye kile kiti cha Moto?Nenda wewe mkuu
She deserves kutuwakilishaKwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .
Mimi ni Pro- Qualifications.
Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.
Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Na ukiboronga tunakucheka. Ndivyo tulivyoYaan wewe unanipendekeza niende Mimi nikakae kwenye kile kiti cha Moto?
Hahaha wabongo noma kabisa kwa hio furaha yenu kucheka wanaoboronga?Na ukiboronga tunakucheka. Ndivyo tulivyo
Kwa hio na Mollel nae yupo kwenye hio list yako?Yule aliyekuwa anapiga nyungu hadharani wakati wa CORONA ndio akaongoze WHO? Thubutu,WHO wanaamini kwenye science hawaamini mambo ya abracadabra. Labda akagombee kwenye jumuia ya masangoma wa Africa huko atasinda
View attachment 3167563
Kumbuka tulivyomcheka JenistaHahaha wabongo noma kabisa kwa hio furaha yenu kucheka wanaoboronga?
Wewe WHO hawaamini kwenye mambo ya tiba mbadala,fullstop.Kwa hio na Mollel nae yupo kwenye hio list yako?
Nyie kwa kupenda kucheka sasa hamjamboKumbuka tulivyomcheka Jenista
Binafsi mm naona wewe DR Mambo Jambo ndio unafaa hiyo nafasiNakuunga Mkono 100%..
Ni aidha Gwajima au Janabi
Mkuu mm nataka wewe ndio utuwakilishe WHO , Sasa nashangaa unakaa nyuma ya keyboard.Nakuunga Mkono 100%..
Ni aidha Gwajima au Janabi
GWajima Ni mwanasiasa Ila Pia Ni mwanataaluma wa Afya wa Muda Mrefu mwenye Uzoefu wa Muda mrefuMimi nadhani waepuke kabisa kabisa wanasiasi (japo Gwajima yuko vizuri) kwa sababu nchi yetu inafanya wanasiasa kama ndiyo wenye utaalam wa kila kitu.
MImi nimeshazeeka Sana Na pia Tayari ni Kiongozi W TaasisiBinafsi mm naona wewe DR Mambo Jambo ndio unafaa hiyo nafasi
Twendeni na likes wanapitaga humu huenda ukatuwakilisha mkuu
Mim8 Nina Connection tungekuwa Tunaweka Majina Halisia Humu Duh π€£π€£πππMkuu mm nataka wewe ndio utuwakilishe WHO , Sasa nashangaa unakaa nyuma ya keyboard.
Au hauna connection ya mama, mtafute Steve mengele,chap kwa haraka
Ndio hapo thathaaa πAnajua kiinglishi?