Naiomba sana Tanzania Impeleke Dkt. Gwajima D pale WHO -Africa

Kwani WHO wamesema hii nafasi ni ya kurithishwa? Kama la, sina hofu na Dr Gwajima, wakitangaza aombe, dunia tunapita akishinda mimi ni nani eti nikasirike mtu akipigania ugali wake? Nenda mama
Usimdanganye. Au kwa vile ni mwana JF mwenzetu? Hata aliyemweka hapo alipo kwa sasa hawezi kuthubutu kumpeleka WHO kushindana kwa niaba ya Tanzania.
 
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️ ivi Wa Tanzania mnajua uko WHO mnapitishana kama ccm ache ujinga fanyeni mamb mengne
 
Wala asiende WHO, arudishwe tu wizara ya afya kwani Mama wa per diem (Ummy) alipaharibu mno.
 


Sasa Leo ndio nimejua akili zako ni za masiara kama rickyboy 🤣🤣🤣🤣
 
İle kazi ina sifa zake

Sio drama tu
 
Inaonesha hujui qualifications za hiyo kazi. Şifa ulizozitaja ni disqualifications kwa hiyo kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…