Naiomba sana Tanzania Impeleke Dkt. Gwajima D pale WHO -Africa

kule cyo mkutano mkuu wa ccm
 
Diqsualified
 
Hio post ni ya Balozi Mpoki ,Gwajima ni Mzuri ila product yake kuuzika nje ni ngumu ukiweka consideration kwenye political envioronment alivohudumu na jinsi gani amehudumu
 
Hayo ni mawazo ya watanzania, thinking wana vyo lobby kwenye mifumo ya ndani, ndivyo wataweza kwenye mashirika ya nje( kumbe ni tofauti kabisa)
Jamani kwani kwa Ndugu lile walifanya je na kuweza vipi? Kabla Ndugu lile hajashinda huo ukurugenzi wa WHO kanda ya Africa. Kwa wengi alikuwa mbunge na mtu wa kawaida Sana. Mara paaa kawa mkurugenzi wa WHO Africa hajakanyaga ofisini na kifo hicho kikamchukua. The guy rose from zero to a hero.
 
Do you know how he rose?
 
Unfortunately it will not be easy to get someone with credentials similar to Dr Faustine. Remember Dr Faustine was not proposed by the country. Let’s wait and see.
Oh please, try to be serious. Who proposed him then? Those posts your reliable guarantor / referee is your own country.
 
Hii inaitwa staring to work on your resume.
 
Prof. Tumaini Nagu au Dr. Julie Makani wanafaa pia

Gwajima D hajakaa kimataifa yupo local anafaa aendelee kuwa hapa hapa

Kupata kazi WHO lazima uwe exposed kimataifa na lugha uzijue vizuri

WHO haichagui kwa kusifia wanataka mtu mwenye sifa nzuri na wawe wana
kujua ndio maana yule mama wa WHO Africa jana alisema alimfahamu Dr. Ndugulile

Kupitia Dr. Mwele hivyo walimtambua Dr. Faustine ni mtu smart toka muda.
 
ai greti yuu ini ze nemu ovu ze yunaitedi ripabuliki ovu tanzaniya endi leti the weki kontinyu, hahaaaa hawezi kiu yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…