We hujui. Kwenye serikali ya ccm hata Mwenyekiti wa kijiji anaweza kuwa baraza la mawaziri na akachangia mswaada wa sheria.Alishiriki wapi kuziandika hizo sheria kamanda? alukuwa anaziandika kama nani? maana ubunge kapewa juzi na Samia.
Viroboto mpooo?Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.
Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua
Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri
Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??
Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.
Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??
Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..
Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.
TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.
Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.
Umewakata viromo romo.
Kaipenda hii😅Mzee wa quotations kazini ha ha ha..
Wapooo! na Kunguni piaViroboto mpooo?
Kwahiyo Chadema ndio TCRA?? 😅😅Hii ni aibu sana,wapiga kura wanashindwa kuelewa chadema wanataka nini,wao badala ya kuchukia kitu polepole anachoongea wao wanamchukia muongeaji ,chadema kutoka shimoni sio leo mtasugua sana matako.
Kama mafundisho ni hatari kwa utawala uliopo ataonewa tu hakuna namna. Yeye hakuonea waliohatarisha utawala wa awamu ya 5?Kiukweli kabisa Polepole ameonewa mwanzo mwisho!.
Zile kanuni za maudhui mitandaoni zinahusu online TV za habari. Ndizo zinapaswa kufuata journalism professionalism. Polepole sio journalist, ana kitu cha Kufundisha, kwanini azuiliwe?. Kuna madarasa mangapi online yanayofundisha mambo mbalimbali?.
P
Wanamwona pale mtaa wa kijani ndio mjanja wao🏃.Hata sielewi kwa nini wanamfungia wakati hana ushawishi wowote.
Deal na maslahi yao sasa uone. Anyway vipi Mpnzire inauma??Watu wanafundishwa mpaka staili za kufanya mapenz huko online ila sujawah sikia TCRA ikiwaita
Wanavuna walichopanda Kwa sasa atakua analala na Manaunza kitandaniKama mafundisho ni hatari kwa utawala uliopo ataonewa tu hakuna namna. Yeye hakuonea waliohatarisha utawala wa awamu ya 5?
Huo ujinga sifanyi,atetewe na mashetani wenzake.Wakizoea kula nyama ya binadamu hawataacha! Leo wamemfumba mdomo Polepole kesho watafumba kila mtu tuwe tayari kupokea matokeo.
Tusimame imara kutetea uhuru wa kujieleza hata kama anayejieleza ni Shetani tumpime kwa hoja zake badala ya rangi yake.
Kama Polepole amefungiwa kwa kukiuka sheria well and good ila tusifurahie kwa kuwa ni Polepole "kakomeshwa" tutakuwa hatuna tofauti na madhalimu.
Role model wao. Think tank lumumbaWanamwona pale mtaa wa kijani ndio mjanja wao🏃.
Unaonae. Hiyo dhambi sisi hatuhusiki.Huo ujinga sifanyi,atetewe na mashetani wenzake.
Awe mwelewa tu kama wengine walivyoelewa kipindi yeye anawaelewesha.Wanavuna walichopanda Kwa sasa atakua analala na Manaunza kitandani
Kwani umesahau kama huyo alikuwa mratibu mamba Moja WA maovu dhidi ya wapinzani na wakosoaji wa awamu ya Tano🤔.Au ulikuwa usingizini wakati ule.Hii ni aibu sana,wapiga kura wanashindwa kuelewa chadema wanataka nini,wao badala ya kuchukia kitu polepole anachoongea wao wanamchukia muongeaji ,chadema kutoka shimoni sio leo mtasugua sana matako.
Hivi kwanini hawamteki?Kama mafundisho ni hatari kwa utawala uliopo ataonewa tu hakuna namna. Yeye hakuonea waliohatarisha utawala wa awamu ya 5?
Bahati mbaya Think tank limetoboka🏃.Role model wao. Think tank lumumba
mmh???Unapokomenti jambo punguza munkali,umechanganya mambo sana kama una chuki na mtu binafsi mrekebishe kwa upole,umekuja na povu la bluu na macho yamekutoka vipi bhana.ehe haya Anza upya.
We jamaa sio yule wa zamani. Umekata tamaa kabisa. Comment zako siku hizi ni Ngoja tuone.😅Ngoja tuone...
Na Polepole kama Katibu wa itikadi na uenezi alifurahi sana akidhani Chadema ndio wataumia.Ila nikukumbushe tu, wakati Sheria habari , mswaada wake wa hati ya dharura na miswaada mingine ya mabadiliko ya Sheria yanawasilishwa Kwa hati za dharura, awamu iliyopota, wapo watanzania waliona hatari iliyokuwa mbele Yao, wakapiga kelele mno, wapo walioelewa, wapo waliokebehi, wapo waliounga mkono mabadiliko ya Sheria Kwa hati ya dharura, kwakuwa TU zililenga kuwanyamazisha wakosoaji wa awamu Ile, Sasa zimeaanza kuwatafuna wote, hata waliocheka na kufueahia wanalia🤔.