Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

Hivi kumbe kuna watu waliokuwa wanamfuatilia Polepole na kumuamini!!!
 
Nadhani katika vyote ni kuwa Polepole hana tena ushawishi kama anavyodhani. Haaminiki tena. He lost public trust long time ago.
Mi nnachokiona ni suala la hang over ndo linamtesa. Imagne mtu aliyekuwa na uwezo wa kunywa chai Ikulu miezi kadhaa nyuma eti leo ghafla UVCCM walishampa onyo, shaka kamkemea, TCRA hawamtaki aongee, kuchanganyikiwa ni lazima
 
To be fair sijaona wala kusikia maneno ya kashfa toka kwa bw slow slow. Tuseme tu freedom of speech bado haipo sana wala kivile nchini. Viongozi ni lazima uwasifie. Uwapambe. Uwaogope. Uwaabudu!
Ukikosea kidogo basi wewe gaidi mchochezi mvuruga amani mamluki msaliti.
Inauma kuendelea kuishi maisha kama hayo huku viongozi wanachaguliwa na raia wakiamini watawakilishwa.
Inauma sana na yule tuliyemtegemea akiwa na yeye ni mwathirika wa haya lakini hana nia yoyote yakuleta mabadilko. Uchumi wa nchi hautainuka bila watu kuwa huru kimawazo
 
Mi nnachokiona ni suala la hang over ndo linamtesa. Imagne mtu aliyekuwa na uwezo wa kunywa chai Ikulu miezi kadhaa nyuma eti leo ghafla UVCCM walishampa onyo, shaka kamkemea, TCRA hawamtaki aongee, kuchanganyikiwa ni lazima
Stress zinamtesa. Ubongi wake hauna uwezo wa kucope hard situations. Angekuwa ni yeye analala selo kama wanavyowadanyia wengine angekata roho.
 
Wacha wagonjwa wanyweshane uji wenye sumu.

Wametunyanyasa kipindi kirefu sana kwa kujivunia malaika wao.

Sasa wacha na wao waonje madhara ya kunyanyaswa ili akili iwarudie.
Kikubwa ni kuwa hayo wanafanyiana wao kwa wao. Ingekuwa ni sisi tunawafanyia wao wangesema tuna visasi
 
To be fair sijaona wala kusikia maneno ya kashfa toka kwa bw slow slow. Tuseme tu freedom of speech bado haipo sana wala kivile nchini. Viongozi ni lazima uwasifie. Uwapambe. Uwaogope. Uwaabudu!
Ukikosoa kidogo basi wewe gaidi mchochezi mvuruga amani mamluki msaliti.
Inauma kuendelea kuishi maisha kama hayo huku viongozi wanachaguliwa na raia wakiamini watawakilishwa.
Ukandamizaji wa uhuru wa habari na haki zingine uliratibiwa na kuimarishwa awamu ya Tano chino ya uratibu wa akina polepole.
 
Sheria tumezipitisha wenyewe

Kwa hiyo lazima tuwe wapole na tuzitii

Ova
 
Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.

Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua

Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri

Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??

Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.

Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??

Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..

Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
Ndege mjanja hunaswa tundu bovu
 
Back
Top Bottom