Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nnachokiona ni suala la hang over ndo linamtesa. Imagne mtu aliyekuwa na uwezo wa kunywa chai Ikulu miezi kadhaa nyuma eti leo ghafla UVCCM walishampa onyo, shaka kamkemea, TCRA hawamtaki aongee, kuchanganyikiwa ni lazimaNadhani katika vyote ni kuwa Polepole hana tena ushawishi kama anavyodhani. Haaminiki tena. He lost public trust long time ago.
Alisahau ule msemo malipo hapa hapa duniani.Na Polepole kama Katibu wa itikadi na uenezi alifurahi sana akidhani Chadema ndio wataumia.
Inauma sana na yule tuliyemtegemea akiwa na yeye ni mwathirika wa haya lakini hana nia yoyote yakuleta mabadilko. Uchumi wa nchi hautainuka bila watu kuwa huru kimawazoTo be fair sijaona wala kusikia maneno ya kashfa toka kwa bw slow slow. Tuseme tu freedom of speech bado haipo sana wala kivile nchini. Viongozi ni lazima uwasifie. Uwapambe. Uwaogope. Uwaabudu!
Ukikosea kidogo basi wewe gaidi mchochezi mvuruga amani mamluki msaliti.
Inauma kuendelea kuishi maisha kama hayo huku viongozi wanachaguliwa na raia wakiamini watawakilishwa.
Stress zinamtesa. Ubongi wake hauna uwezo wa kucope hard situations. Angekuwa ni yeye analala selo kama wanavyowadanyia wengine angekata roho.Mi nnachokiona ni suala la hang over ndo linamtesa. Imagne mtu aliyekuwa na uwezo wa kunywa chai Ikulu miezi kadhaa nyuma eti leo ghafla UVCCM walishampa onyo, shaka kamkemea, TCRA hawamtaki aongee, kuchanganyikiwa ni lazima
Huu msemo unaishiAlisahau ule msemo malipo hapa hapa duniani.
😅😅😅😅Hafai hata kuonewa huruma au kutetewa huyo ni mtu katili sana.
😂😂😂😂Hivi kwanini hawamteki?
Kikubwa ni kuwa hayo wanafanyiana wao kwa wao. Ingekuwa ni sisi tunawafanyia wao wangesema tuna visasiWacha wagonjwa wanyweshane uji wenye sumu.
Wametunyanyasa kipindi kirefu sana kwa kujivunia malaika wao.
Sasa wacha na wao waonje madhara ya kunyanyaswa ili akili iwarudie.
wakupuliza😅Hivi kwanini hawamteki?
Ukandamizaji wa uhuru wa habari na haki zingine uliratibiwa na kuimarishwa awamu ya Tano chino ya uratibu wa akina polepole.To be fair sijaona wala kusikia maneno ya kashfa toka kwa bw slow slow. Tuseme tu freedom of speech bado haipo sana wala kivile nchini. Viongozi ni lazima uwasifie. Uwapambe. Uwaogope. Uwaabudu!
Ukikosoa kidogo basi wewe gaidi mchochezi mvuruga amani mamluki msaliti.
Inauma kuendelea kuishi maisha kama hayo huku viongozi wanachaguliwa na raia wakiamini watawakilishwa.
Hiyo ni juu ya wao haituhusu kamwe kwani walivyo kuwa wanatufanyia unyama mbona hakuna aliyetujali wala kusikia kilio chetu?Kikubwa ni kuwa hayo wanafanyiana wao kwa wao. Ingekuwa ni sisi tunawafanyia wao wangesema tuna visasi
Wakupuliza hajui kama huyo anazijua mbinu zote🏃.wakupuliza😅
Plus Bashiru and PalamagambaUkandamizaji wa uhuru wa habari na haki zingine uliratibiwa na kuimarishwa awamu ya Tano chino ya uratibu wa akina polepole.
Wasubiri awamu yao yaja. Kabud binasfi namlaumu Kwa Sheria zile za hati ya dharura, na Mwigulu.Plus Bashiru and Palamagamba
Yea Mwigulu, Kabudi, NdugaiWasubiri awamu yao yaja. Kabud binasfi namlaumu Kwa Sheria zile za hati ya dharura, na Mwigulu.
Tena kwa hati ya dharuraSheria tumezipitisha wenyewe
Kwa hiyo lazima tuwe wapole na tuzitii
Ova
Ndege mjanja hunaswa tundu bovuKtk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu.
Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua
Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu yuleyule aliyeaminiwa na mamlaka akapewa nafasi za uongozi ktk ngazi kubwa za utawala akaanza kubwabwaja hovyo huku akikejeli mamlaka iliyoko madarakani kwa kujidai ati anaishauri
Ni jambo gani alishindwa kushauri serikali wakati akiwa ni kiongozi wa juu ambalo ataweza sasa??
Ktk siasa za duniani kuna kitu kinaitwa Disloyalty, Ni kitu hatari sana. Kikiachwa kikamea kinaweza kuiangusha nchi na taifa kwa ujumla.
Hebu tujiulize maswal kidogo, Kama Polepole alikuwa anaushawishi kati ya watanzania wengi kiasi hiki kwa kutoa maoni na taarifa za uongo tunajuaje kama vile vyombo vingine pia havimwamini na kumfata??
Je vile vyombo vikigawanyika na upande wenye nguvu ukamuunga mkono( vikawa Loyal) mnajua nini kinaweza kutokea..
Political loyalty aliyotaka kuzalisha ilikuwa kwanza kugain Support kutoka kwa Wananchi( civic loyalty) huku chini ya kapeti aki creat( ku-renew) Political Loyalty kutoka kwenye vyombo vyenye nguvu.
TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.
Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.
Umewakata viromo romo.
Yametimia😅😅😅Ndege mjanja hunaswa tundu bovu