Kaolewe na wewe pia ukitaka
Usiwe ndezi arifu, sasa mtu akiwa mhindi au mwarabu hawezi kuwa mtanzania?Hahaaa!!unafiki...mara hoo kenya uchumi unashikiliwa na wazungu...naona hyo imeingia bahali yake[emoji382][emoji382][emoji382]
Usiwe ndezi arifu, sasa mtu akiwa mhindi au mwarabu hawezi kuwa mtanzania?
Wew huyo mumeo wa kukodi umeshamlipia deni
Hindi ndio nchi gani?Lkn watanzania hawawezi kuwa wahindi
Au we waonaje....watanzania wanaweza kuwa wahindi?Hindi ndio nchi gani?
Sasa Nairobi haijapata pesa ya kulipa madeni ya KQ?
Sasa unanuna kitu gani? Nairobi soon itazidi GDP ya Tanzania nzima, sasa si mlipe madeni yenu. Au unasema kuwa utajiri wote huo hausaidii taifa kivyovyote?Tena wewe huaga wajiita baba wa familia...manake ulichokiandika haswa...
Hakuna raia anayekatazwa kuwa raia wa India.Unayasema wewe hayo
Au we waonaje....watanzania wanaweza kuwa wahindi?
Ushasema watanzania, watakuwaje tena wahindi.Unayasema wewe hayo
Au we waonaje....watanzania wanaweza kuwa wahindi?
Hakuna raia anayekatazwa kuwa raia wa India.
Hadi mchina mwenye uhasama na India anapewa uraia India.
Lakini jiulize kwa umasikini wa jamii ya India nan atataka atoke Tanzania akawe raia wa India?
Kule watu wanaenda kusoma then wanarudi,kule sio pazuri ukajenge maisha.
Lkn watanzania hawawezi kuwa wahindi
Manake naona wewe umeona nchi katika hyo post yangu...Ushasema watanzania, watakuwaje tena wahindi.
Hindi ndio nchi gani?
Dewji ndio yule Muhindi au vipi?
Kuna muarabu aliyezaliwa singida???HAPANA MO DeWJI NI MUARABU.
Ngoja nikueleweshe vizuri, labda utanielewa.Nikuulize swali?Watanzania ndo nchi gani[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Manake naona wewe umeona nchi katika hyo post yangu...
Kwani wale watu wausi marekani sio wamarekani?Lkn watanzania hawawezi kuwa wahindi
Kama walivyokukodi wew sioKitu simple..km hyo ishu imekuuma nenda ukakodishwe na wewe
India ina GDP kubwa lakini wana poor social services na ukosefu mkubwa wa ajira.Tanzania inaizidi nn india
Mental problemNakuru is richer than all Tz cities apart from Dar.