Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Yani iko hivyo tu siku zoteMpangaji ni dhahiri ameshaanza kupata tamaa juu ya kumiliki na si kwa ajili ya kutafuta familia yake, ama kwa hakika atakuja kuaibika vibaya maana kwa vyovyote kuna yule rafiki ambaye alimshirikisha atakuja kumuumbua, hati anajua katunza wapi zitapatikana tu
Hongera sana kwa kupata urithi, sasa nenda katafute hati umiliki mjengo, baba mwenye nyumba.Ndio
Ukikaa kwenye hiyo nyumba utakuwa unavunja sheria.Niondoke nimuachie nani nyumba na hamna wa kumuachia
Mwenye nacho si kashakufa ?Wizi na unyang'anyi sio mzuri ombeni Mungu awabariki vya kwenu
Tena ya maziwa anatuona sisi wajingaChai
Huku ni kutaka kula dhuluma.Naomba muongozo wakuu
Kweli kabisa,Zembwela naye alishapostChai
Wewe mac muga Mungu akupe nini mac muga ona sasa tayari umeokota nyumbaHaaaaa,,,,, Jamaa ashapewa u mac muga
acha tamaaAkili imekuruka?
Kivipi mkuuUkikaa kwenye hiyo nyumba utakuwa unavunja sheria.
Sawa mkuuHongera sana kwa kupata urithi, sasa nenda katafute hati umiliki mjengo, baba mwenye nyumba.
HaipatikaniPiga namba ya mwenye nyumba huenda ipo hewa ijulishe familia yake dhuluma mbaya
Kuna mmoja aliwahi kuokota makalio njiapandaHongera kwa kuokota nyumba.....
Akalalamika mwenye nalo amelichukua ππππNi sawa na wale jamaa magar yamekokotwa na mafuriko anakuta gari kitaa anasema ameokota ndinga