Naishi kwenye Nyumba ya kupanga mwenye nyumba alifariki ghafla na ndugu hawaijui hii nyumba

Naishi kwenye Nyumba ya kupanga mwenye nyumba alifariki ghafla na ndugu hawaijui hii nyumba

Mpangaji ni dhahiri ameshaanza kupata tamaa juu ya kumiliki na si kwa ajili ya kutafuta familia yake, ama kwa hakika atakuja kuaibika vibaya maana kwa vyovyote kuna yule rafiki ambaye alimshirikisha atakuja kumuumbua, hati anajua katunza wapi zitapatikana tu
Yani iko hivyo tu siku zote
 
Hamna cha Mungu hapo huo ni sawa na wizi, huyo jamaa si unalijua jina lake? Basi nenda hata gazetini toa tangazo kuwa kuna nyumba ya marehemu huko ili ndugu waje hapo wapigane vikumbo ...

Usiende tu kutoa ushuhuda wa kupata nyumba kirahisi zaidi kwa Mwamposa..
. :ALIENALIENALIENALIENALIEN:
 
Ningejua nisipoteze wino wangu
 

Attachments

  • Screenshot_20241211-110307_Facebook.jpg
    Screenshot_20241211-110307_Facebook.jpg
    123.6 KB · Views: 2
Kama ni kweli basi wewe ni kichaa.kama unajua ndugu zake hawafahamu inabidi uwaambie hao ndugu zake kuwa hiyo nyumba ni Mali ya marehemu na kama watoto wa marehemu wapo uwalipe hano pango la nyumba
 
Iibe tu bloangu hata ukiwatafuta ndugu zake watafaidika wao hawatakukumbuka.

Kama marehemu aliificha hata familia yake wewe nani uwashtue,pita nayo,andaa nyaraka zake,dodo hiloo
 
Back
Top Bottom