Naishi kwenye Nyumba ya kupanga mwenye nyumba alifariki ghafla na ndugu hawaijui hii nyumba

Naishi kwenye Nyumba ya kupanga mwenye nyumba alifariki ghafla na ndugu hawaijui hii nyumba

Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yenye vyumba vinne na Kila kitu quality kuanzia aluminum mpaka tiles nyumba ni nzuri sana mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Mwivi mkubwa wewe.
Wajulishe ndugu zake haraka
 
Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yenye vyumba vinne na Kila kitu quality kuanzia aluminum mpaka tiles nyumba ni nzuri sana mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Hauwezi kuwa umeshiriki kifo chake?

Nawaza kwa sauti tu.

Maana badala ya kuja hapa kuomba ushauri wa namna ya kuimiliki, ungekuja kuulizia anayemfahamu marehemu kwa kutoa details zake na mahali nyumba ilipo ili wanae wajitokeze uwakabidhi. Bila shaka nao wangekushukuru kwa utu wako.

Vinginevyo hii chai, changamsha genge.

Kama ukisemacho ni sahihi, majirani wanakutambuaje! Wakati ananunua kiwanja na kujenga hakuwa na majirani? Je wao hawakutambui kama mpangaji?

Na mwenza wako siku mkikorofishana jua tu atakuadhibu kwa kuanika kila kitu juani.

Ushauri ni kuwa ukifanikiwa kuimiliki kwa namna yoyote, uza potea kabisa.
 
We carry life and death...mzee mmoja alikua na viwanja na nyumba hapa town..

Watoto wake huku waambia siku moja kabla ya kufariki akasema kesho atawapeka

Aisee mzee kafariki na haijulikani ni wapi mjengo na viwanja vilipo Ila vipo aisee..
 
Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yenye vyumba vinne na Kila kitu quality kuanzia aluminum mpaka tiles nyumba ni nzuri sana mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Tuseme hii issue haihusiani na kilimo kikuu cha Mufundi, siku ni swala la muda tu wanajua kuna hiyo nyumba. Mambo mengi siku hizi ya kwenye mifumo. Unachoweza kukwepa ni kodi tu
 
We carry life and death...mzee mmoja alikua na viwanja na nyumba hapa town..

Watoto wake huku waambia siku moja kabla ya kufariki akasema kesho atawapeka

Aisee mzee kafariki na haijulikani ni wapi mjengo na viwanja vilipo Ila vipo aisee..
Kama hati zipo au waende ofisi za Ardhi watajua
 
Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yenye vyumba vinne na Kila kitu quality kuanzia aluminum mpaka tiles nyumba ni nzuri sana mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Ukichukua content ya mtu mahala utoe credit sio una copy unakuja kupaste huku uonekane umeanzisha wewe mazafanya
 
Hii habar kama ni ya kweli,ningekuwa mimi kwanza ile hela ya kodi ningekuwa naiweka bank kana kwamba namlipa mwenye nyumba,huku nafanya jitihada za kumpata mmliki wa nyumba hiyo

Siku wakipatikana nawaambia nadaiwa miezi kadhaa na hela yenu ipo niliihifadhi,hakika utakuwa umetenda haki mbele ya Mungu wako,na kwa neema ya Mungu huenda hata kodi iliyopita wahusika wakakusamehe kwakuwa ungekuwa na uwezo wa kuwadhulumu lkn hukufanya hivyo

Ila vyovyote itakavyokuwa haki ya mtu huwa haipotei,ipo siku tu kwa namna usiyotarajia unajikuta wenyewe hawa hapa
Na unaweza kuta mwenye Nyumba Ali mortgage bank hiyo nyumba, na siku yoyote watu wamerejesho watatia team hapo mjengoni kumuulizia mwenye nyumba!!
 
Tafuta jamaa zako Ardhi jichukulue nyumba wakija kushtuka tumia signature za nyuma utengeneze mkataba wa mauziano na marehemu, hata wakimfukua hawezi kusema hakukuuzia ila wakikuloga shauri yako.
Likibumbuluka atakua na kesi ya jinai badala ya madai!!
 
Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yenye vyumba vinne na Kila kitu quality kuanzia aluminum mpaka tiles nyumba ni nzuri sana mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Nicheck tuwasiliane
 
Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yenye vyumba vinne na Kila kitu quality kuanzia aluminum mpaka tiles nyumba ni nzuri sana mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Hiyo chukua mkuu ila ihamishe peleka mtaa mwingine🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom