Naishi na Mwanamke Nisiemfahamu, Nahitaji Namna Nzuri ya Kumuacha

Sema hichi kizazi kimezidi Umalaya yani demu haoni shida kuhamia kwa stranger.
 
Umeshamtumia ushamchoka sasa.... shauri Yao wakiambiwa usiishi kinyumba na mwanaume asiyekuoa tayari hawasikii
Hapana, Sio Kwamba Nimemtumia, Nimemchoka, Ninachohitaji hata Mipango Yetu, Tuipange, When She is Out of Here, Hata Madogo Yote Niliyoyafanya Kwake, Amenishukuru Mnoo!
 
Tafuta demu mwenye aina ya "asha ngedere" mlipe,mwachie hio kazi ya kukutolea huyo Dada.
Hii Hapana Brother! Ni Mwanamke Poa Sana kama Kumface tu , Naona Kazi Hayo Nawezaje? Hata Yeye Mwenyewe Atashangaa!
 
Wadada Wana ujasiri sana siku hizi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Shoping ya nguo ulitumia sh ngapi?

Kwani kumuukiza kwao na ndugu zake walipo inakushinda nini?... Mwambie ajiandae mwende kwao upaone, kitu kidogo hiki unajaza seva ndoa utaimudu kweli hata mwaka mmoja
Kijna mpuuz sna hyu eti anadai kampeleka makumbusho
 
Kabla ya kukueleza cha kukusaidia, tueleze kwanza, katika hayo maisha yenu ya siku mbili tatu umempenda pigo zake?

Namaanisha namna ambayo wewe unataka mwanamke awe(nje ndani).

Ukileta hilo jibu, mengine yote ni mepesi namna ya kuyaweka sawa na kusaidiana.
 
Hmmh sikuhizi kuunganishwa na mtu hadi kifo imekuwa kirahisi namna hii? Kwamba ukimla tu, tayari.

😁
Ukishamla tu tiyari umeunganishwa naye, unapochomeka tu ikazama ndani kisha ukamwaga tiyari ni muunganiko wa mwili mmoja, ni wako huyo usimkimbie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…