MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
- Thread starter
- #101
😀 Acha tu Mkuu! Comments Zenu Nacheka, Ila nipo Njia PandaMkuu mzigo umekunogea bila shaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 Acha tu Mkuu! Comments Zenu Nacheka, Ila nipo Njia PandaMkuu mzigo umekunogea bila shaka
😀😀 Wala Si Fb, Na Sikusema Namfukuza Jamani! Natafuta tu Namna Ya KumsogezaNikwambie bro wala usimfukuze huyo mke umeletewa na Mungu kwa njia ya ajabu.! Wewe cha kufanya muulize kwao muishi kwa amani, halafu acha kumix datting app na social media. Nna uhakika huyo mdada mmekutana Fb 🤣🤣🤣
Halafu na wewe umempenda ndiomana ukampiga na shopping ya viwalo. Ww ni mtu mwema sana na mpole.!! Pls usimfukuze mama wa watoto wako.
Jisajir baado mzeeNaomba kuuliza,mana kuuliza siyo ujinga.
Hizi dating apps ambazo watu utoa ushuhuda kuwa wana/walikutana huko ni special au ni hizi hizi social media kama Facebook, Instagram na Jf?
Ila nyongeza ndio inasumbua hapa. Si kwamba anapika tu, bali pia anapakua. Akifikiria hapo anashindwa jinsi ya kumuacha!Mpaka nguo umenunua kupika anakupikia na hana makuu mpole mstaarabu Sasa ubasubiri Nini?
Kipengele kitakachokusumbua maisha Yako n Dating app
Yani vijana tukishavua ch*pi ndo akili inakaa vizuri,na inakuaje dem haumjui na unampeleka kwako kama alikuja na sembe akakukamatisha.ila kikubwa wewe fanya ujue kwao 2 kwasababu hawa viumbe maisha yamechangamka kwa sasa.Habari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki.
Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat kwa Mrefu tu kwenye Dating Apps, Basi Kama Ujuavyo tumekutana Outing za Hapa na Pale, Stories Mbili Tatu, kilaji kidogo tukajikuta Penzini.
Kumbe Alikua Anaishi na Rafiki Yake ambaye kwa Mujibu wake alimuambia atakua na Wageni Hakua na Pa Kukaa, Akaomba nikae Nae hata Siku Mbili tatu then Ataondoka.
Cha Kushangaza Hadi Hivi Sasa Yuko Jikoni huko anarekebisha Mambo 😀😀 (nacheka kama Mazuri) ni Binti Mstaarabu tu hana Shida anafanya Majukumu yote, ila Kitendo cha Kuishi Bila Utaratibu Wala Kumjua Kiundani kinanitia Sana Wasiwasi.
Natamani Kweli kupata Namna Nzuri ya Kumuondoa Wadau, Maana Hata Nguo alikua na Alizovaa tu, Nikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.
Wakuu Mi Sio Muandishi Mzuri ila Ningeomba Mnisaidie Namna ya Kumtoa Huyu mtu kwa Njia Rafiki na Rahisi asijikie Vibaya, Hopefully mtakua mmenialiewa na Poleni kwa Kuwachukulia Mda Wenu.
Ahsanteni Sana
Sure kabisa alikuwa wapi mda wote huo mpaka kashafanya ushenzi ndio akili imemkaa sawaPale unapo ruhusu kichwa cha chini kikufanyie maamuzi.
Kuna watu wanashangaza sana.
Huyo yy aoe kwanza kashamuelewa 😂😂😂Nyie naona 2024 wadada tumeianza Kwa kishindo,haya mwenyekiti mwenza na yule wa juzi Lamomy Missy Gf Evelyn Salt njoo uumpe mbinu mwanaume mwenzio Tena🤣
Mke huyo, Fata Taratibu Weka ndani.Chakula Mwanzo tulikua tunakula Out, Ila Akaniambia Mbona tunaspend Sana kula nje na ninaweza Kukupikia Nyumbani kwa gharama za Kawaida? Na Ukiangalia ni Kweli akipika anatumia Gharama ndogo
Umeshamtumia ushamchoka sasa.... shauri Yao wakiambiwa usiishi kinyumba na mwanaume asiyekuoa tayari hawasikiiNikampeleka Makumbusho, Tukafanya Shopping.
Wanaume wenzangu wananiangusha sana kusema ukweli 😹Nyie naona 2024 wadada tumeianza Kwa kishindo,haya mwenyekiti mwenza na yule wa juzi Lamomy Missy Gf Evelyn Salt njoo uumpe mbinu mwanaume mwenzio Tena🤣
Kabisa, Naona Wengi Wananihukumu kwa Kosa ambalo Tayari Nilishalifanya, Honestly Nataka Sana, tufahamiane kwa Ukaribu, Ila Kipindi ambacho hatakua Nyumbani.Unacheza na kaa la moto, muondoe bila kujali ataumia au vipi.
Utaratibu wa kufahamiana vizuri utafuata baadae.