Mpendwa kuna members wamekupa ushauri mzuri ila ninacho kiona kwako kwamba jamaa kwa kuwa unaishi nae pamoja una imani siku atakuoa na unajipa matumaini hewa ni chaguo lake kwa kuwa mnaishi pamoja hujiuilizi mpaka una mshauri unataka ndoa ya ubani jamaa kagoma endea kuvuta subra uvune MAJUTO
Hawa huruhusiwa kuoa hata wanne, hata akibadilika jamaa si ana shift equilibrium tu.Ujue kuna jambo haliko sawa kwako, au kuna kitabia unacho ambacho kinampa Mashaka kuhalalisha kwa kuogopa mkiingia kwenye ndoa hicho kitabia kitaleta matatizo yeye kukwambia hawezi das why anakusubirisha tu kila mtu anahisi may be you can change later
Utakuja kujutia time yako when it’s too late
-Ndoa ya kimila
-Ndoa ya Kiserikali
-Ndoa ya Kidini
Unahitaji Ndoa IPI??
haujui cha kufanya my dear?pole sanaHata sasa najuta lkn sasa nitafanyaje? Najuta kuwa nae sababu haoneshi msimamo kuwa anataka tufunge ndoa ye anataka tu ishu hivi hivi tu kesho tutaenda kujibu nn kwa mola wetu? Lakini hanielewi ni kama vile namlazimisha
Kwa muda mlioishi tayari ni Mme na Make na haki zote hata ikitokea jamaa akifa sasa wewe shida yako ni nini?
Aisee wewe wazazi wako wanajisikiaje unaishi na Mwanaume pasipo kuwa na ndoa unadhani Dunia haiwacheki kwa hiyo unaogopa lawama umeingia kwenye mahusiano huku unaangalia Walimwengu watasemaje eti unampa miaka mitatu na yeye anakupa miaka 30 ya kukuchunguza.Sio kuvuna majuto pia nikimuacha hivi sasa namuonea huruma dunia watamcheka maana amejitoa sana kwangu zaidi ya sana nikisema ni mangapi mema na mabaya aliyonifanyia mema ni mengi mno
Miaka 3 sio mingi panapouhai nampa huo muda ili hata nikiamua maamuzi mengine nisipate lawama
Aisee wewe wazazi wako wanajisikiaje unaishi na Mwanaume pasipo kuwa na ndoa unadhani Dunia haiwacheki kwa hiyo unaogopa lawama umeingia kwenye mahusiano huku unaangalia Walimwengu watasemaje eti unampa miaka mitatu na yeye anakupa miaka 30 ya kukuchunguza.
mnaishi nae au kila mtu ana kwake ?Habari zenu wanaJF
Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39])
Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.
Swala lililonileta kwenu.
Huyu mtu ni muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye swala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.
Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani[emoji3059][emoji3059] hajaoa, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe space ndani ya muda flani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.
Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila swala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.
Simuelewi! Au ana miiko[emoji848] Niko hoves nimechoka kuzini
Kuwa mpole mkuu,Jamani watu warudishiwe pesa zao na fidia za usumbufu ya ileeee tarehe 8 juzi. Mbona Bi Mkubwa unafanya vitu gani hivi!???
kama umejiridhisha anafaa kua mumeo jambo lako mkabidhi mungu atakufanyia wepesi haraka sana, hapa wengi watakuvunja moyo bt uhalisia wa hitaji lako unaujua wewe.
mnaishi nae au kila mtu ana kwake ?
kama mnaishi pamoja hiyo ni ndoa labda kama unataka harusi tu to presitage reason
Sent using Jamii Forums mobile app