Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,234
- 2,535
- Thread starter
- #61
Mpendwa kuna members wamekupa ushauri mzuri ila ninacho kiona kwako kwamba jamaa kwa kuwa unaishi nae pamoja una imani siku atakuoa na unajipa matumaini hewa ni chaguo lake kwa kuwa mnaishi pamoja hujiuilizi mpaka una mshauri unataka ndoa ya ubani jamaa kagoma endea kuvuta subra uvune MAJUTO
Sio kuvuna majuto pia nikimuacha hivi sasa namuonea huruma dunia watamcheka maana amejitoa sana kwangu zaidi ya sana nikisema ni mangapi mema na mabaya aliyonifanyia mema ni mengi mno
Miaka 3 sio mingi panapouhai nampa huo muda ili hata nikiamua maamuzi mengine nisipate lawama