Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

EP ya Diamond ni kali, na imeonyesha anaanza kupata ukomavu kwenye muziki. Akitulia hivi na kuacha matusi-matusi na uswahili atafika ambapo alistahili kuwepo muda mrefu uliopita. Niseme sasa, nadhani mpaka sasa WONDER ndiyo kazi bora ya Diamond Platnumz ya muda wote, aiseeeeeh!
 
Mnashindasha original vs clone yake. Mwisho wa siku anawaumiza wasanii wake, Killy kaachia Ep haipi promo hana mda nayo na Anjella nae juzi kaachia nyimbo promo hamna.

Mondi ni msanii mkubwa ambaye mziki wake ushasambaa sehemu nyingi Afrika. Una mzungumzia msanii wa kwanza Tanzania kupiga shows zaidi 95% ya nchi za Afrika ukiondoa za kiarabu.

Huwezi kumzima kivyovyote.Ila jamaa apunguze mabeef naona juzi Fred Vunjabei alimaindi, ila baada kusikia huu wimbo kumbe Harmo kaiponda too much money.
Tuwe wakweli, Diamond yuko mkali sana lakini huwezi kupinga ukweli kwamba Harmo is talented. Anazidi kukomaa na kuwa bora kila siku, akiachana na uswahili atafika mbali.
 
Kama ni hivyo ujue Tanzania identity zake ni taarabu na singeli tofauti na hapo hatuna mziki wetu hiyo bongo fleva unasema wewe ni muunganiko wa ladha tofauti tofauti ambao tumecopy sehemu nyingine una kuta ina Rnb, zuku, indian fleva n.k

Najua bongo flava ilitokea wapi enzi hizo, ila angalau kuimba hiyo kuliko kujikuta wanigeria mpaka accent kabisa, siipend English ya Nigeria balaa
 


Ep ni kma anaingia darasa la kwanza ,huyo mwingine sijui tembo ama nyani ndo kwanza yuko huko kwetu tunapuliza moto mchanga uive tukidhani ni mchele.
Diamond kafika hatua angalau.
LP ya Snoopy Doggy hiyo.
Mpaka leo leo mzee anakula bata tu na mibangi yake.
 
Najua bongo flava ilitokea wapi enzi hizo, ila angalau kuimba hiyo kuliko kujikuta wanigeria mpaka accent kabisa, siipend English ya Nigeria balaa
kwani ni lazima umsikilize mondi? Wapo wengi tu... Tanzania pana hii, unajichagulia wako unaenda naye duniani huko!
 
Snoopy alitoa LP Ya kwanza 1992 doggstyle.
Hizo nyingine wala tusiongee
Sio EP.
Bwa mdogo kajitahidi sana kutoa EP tumpongeze
HUYU NGUCHIRO tumwache tu aendelee kufwata mawimbi atapunga sana upepo.
Mfano

Snoopy kajiongeza na uzee wake ni kazi tu,
Mkewe ikawa kaa linda familia.
Hata mkewe amnampa kila kitu ila yeye kabakia kazi tu.
Jamaa mpaka anakaa hotelini ulinzi mansion zake kampa mkewe.
Hana viroboto.
Vijana wake wako poa tu.
Yule ndio Snoopy LION.
Ana brandy kibao za nguo,wine ,accessorier mpk bangi bangi zote unazozijua zipo kwa jina lake.
Kanunua Deathrow ,kapewa honour of respect Hollwood.
Dr Dre alibaki katoa macho anashangaa.
Siku hizi ni SNOOPADELIC.
piga party mpe chake uone kazi yake.
Nyie vuteni mibange yenu mumfatilie huyu genious.
Huyu NDIO LION. wa ukweli.
 



 
Sawa na maoni yenu nikasema embu nizifuatilie.

Kawaida sana.

Hapa ni hiyo OKA kwasababu inaweza ikaalika Remix na wacongo akiamua. Itakua kali zaidi.

Nawaza ni kwavvile tu kataja watu mule.

Ila generAlly hamna kipya.

Album ya Ali Kiba inabaki kuwa bora mnoo kulinganisha na hii.
 
Usinipe kitandan leo nipe kwa sofa (sona)
Unipe chungwa nikupe tango, usiku tukiyafanya mambo (wonder)
Asubuh moko moko cha moto moto (loyal)
20220312_070305.jpg
 
Tuwe wakweli, Diamond yuko mkali sana lakini huwezi kupinga ukweli kwamba Harmo is talented. Anazidi kukomaa na kuwa bora kila siku, akiachana na uswahili atafika mbali.
Sijakataa yupo vizuri na hata alichofanya juzi Tabata ni kikubwa zaidi. Ila tatizo wasanii wake anawaua yy mwenyewe, hawafanyii Promo dogo Killy kaachia Ep haina hata wiki tatu,Angela nae tar 9 March kaachia nyimbo wote hawapati promo,kila mwezi anaachia nyimbo plus collabo anazo shirikishwa.
 
Sijakataa yupo vizuri na hata alichofanya juzi Tabata ni kikubwa zaidi. Ila tatizo wasanii wake anawaua yy mwenyewe, hawafanyii Promo dogo Killy kaachia Ep haina hata wiki tatu,Angela nae tar 9 March kaachia nyimbo wote hawapati promo,kila mwezi anaachia nyimbo plus collabo anazo shirikishwa.
Hata album yake alitoa video 2 baada ya kuitoa, nikajua zitaendelea kutoka nyingine ili album iendelee kusikika zaidi mtaani ila naona mwaka ulivyoanza akasema kila wiki atatoa wimbo mpya na kuachana na mambo ya album mazima
 
Tuwe wakweli, Diamond yuko mkali sana lakini huwezi kupinga ukweli kwamba Harmo is talented. Anazidi kukomaa na kuwa bora kila siku, akiachana na uswahili atafika mbali.
Uko sawa sijajua kama diamond alikua anaandikiwa mashairi(ghost writer) au alikia anaandika mwenyewe mana ukisikiliza nyimbo kamwambia,mbagala na nyingine kali zs mwanzo zilikua zimeshiba mashairi lakn sasa hivi anatunga mashairi mepes sana na yakuunga unga sana... msikilize ali kiba mashairi yake yalivyotulia na yameshiba kila akitoa nyimbo hamna mtu asiyemkubali anachora sana kitu bacho wasanik weng hawana
 
Back
Top Bottom