tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
Hiyo oka aiseee nimeipenda sanaMelody na oka [emoji91]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo oka aiseee nimeipenda sanaMelody na oka [emoji91]
Hauwezi kuwa ndani ya Africa usijue balaa la FOAAfrica ipi imesimama?
Hii habari ndio kwanza wengine tunaiona leo humu
Mitandaoni ni ukraine na urusi tu
Mzee wa bwaksi, unafiki wako hauuachi tu😂, yele mambo ya kwenye thread zetu kule sports kujifanya Simba kumbe Yanga nilijua huku hautakuja nayo, fala wewe😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. Mkuu huyu member ni mwana Simba mwenzetu, na amepata kibarua cha kufagia ofisi ya msemaji wetu mpya, kumwita jobless ni kumvunjia heshima
Kama ni hivyo ujue Tanzania identity zake ni taarabu na singeli tofauti na hapo hatuna mziki wetu hiyo bongo fleva unasema wewe ni muunganiko wa ladha tofauti tofauti ambao tumecopy sehemu nyingine una kuta ina Rnb, zuku, indian fleva n.kNasikiliza genre kibao niko versatile kwenye mziki hapo kwenye singeli sidhan sifaham sana wala hiyo mzik ya pwani
Nasemea Bongo Flava hapa
Nasikiliza genre kibao niko versatile kwenye mziki hapo kwenye singeli sidhan sifaham sana wala hiyo mzik ya pwani
Nasemea Bongo Flava hapa
Bora ile Bhakhresa au sio?😄Hamna kitu humo katika hiyo EP uchwara
🤣🤣🤣🤣🤣Bora ile Bhakhresa au sio?😄
Ila bakressa ndio nzuri?Nyimbo zote madudu
Japo sijasikiliza.
Copy haiizidi ubora originalKonde anajua zaidi ya diamond sema Ana ufala mwingi