Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli kwa nyombo hizo nami nakubali kabisaanyombo
ngoja nikipata muda niitafute hiyo EP niisikilize kwanza, then ntakuja kutoa majawabu. hivi kaitoa lini hiyo EP?EP ya FOA ya Diamond Platinumz ina jumla ya nyimbo kumi.Binafsi nilipata fursa ya kuzisikiliza zote na ninaweza nikasema kwamba Diamond ameitendea haki Sana hyo EP yake.
Kuna nyimbo kadhaa kwenye hyo EP ambazo nimezipenda Sana ila hizi pini za " Somebody" na " Loyal" ndo zimenibamba zaidi kuliko nyingine zote.
Kwenye kitaa Cha kwetu naona Wana wanaupigia debe Sana wimbo wa Nawaza ila Mimi niliuchukia tu baada ya kumsikia Diamond akimdiss Kiba.
Comment wimbo ambayo umeupenda sana kutoka kwenye EP ya First of All.
Jobless wa Jf mna mikwala iliyoenda shule aiseeh😂Africa ipi imesimama?
Hii habari ndio kwanza wengine tunaiona leo humu
Mitandaoni ni ukraine na urusi tu
Hakunaga wasanii wengine waimbe identity ya bongo?? Tafta taarabu na singeli ufurahie identity halisi ya bongo.Labda sio Music genre yangu nimeona chenga tu... nyimbo nyingi wanaiga Nigeria kwani Tz hakuna identity yetu au
Sijapata hata nyimbo moja ya kuongeza kwenye Library yangu, nime play nkaondoka [emoji2213]
2.5/10 [emoji294]️
🤣🤣🤣🤣🤣Jobless wa Jf mna mikwala iliyoenda shule aiseeh😂
We ni mpenzi wa singeli au mziki wa pwani?Labda sio Music genre yangu nimeona chenga tu... nyimbo nyingi wanaiga Nigeria kwani Tz hakuna identity yetu au
Sijapata hata nyimbo moja ya kuongeza kwenye Library yangu, nime play nkaondoka [emoji2213]
2.5/10 [emoji294]️
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. Mkuu huyu member ni mwana Simba mwenzetu, na amepata kibarua cha kufagia ofisi ya msemaji wetu mpya, kumwita jobless ni kumvunjia heshimaJobless wa Jf mna mikwala iliyoenda shule aiseeh[emoji23]
We ni mpenzi wa singeli au mziki wa pwani?