Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya bana lambalamba! Hizi ramli chonganishi mlianza kuzifanya miaka 10 iliyopita, 2012 hukooo! Watu wa enzi hizo wakasema kijana kaporomoka mara kafulia, akaja kuwaprove wrong kwa show ya diamonds are forever!domo kaishiwa ametoa nyimbo nyingi sana hivi karibuni na zote zimefulia, umaarufu wake unaporomoka kwa kasi sana.
Mzee shtuka! Watu siku hizi hawafanyi kazi zao kwa mazoea! Kuna strategies zake huwa zinafuatwa hasa kama unajielewaKwa haraka haraka Ep itakua mbovu sana.
Sasa kama anajua Ep yake ni nzuri na itakua kali kuliko zote kwanini apoteze mamilioni ya pesa kuifanyia "promosheni" siku 3 mfululizo?
Ep kali zinajiuza zenyewe bana kwa masongi makali jombii.
Kama sio juma lokole, basi utakuwa aristoteMzee shtuka! Watu siku hizi hawafanyi kazi zao kwa mazoea! Kuna strategies zake huwa zinafuatwa hasa kama unajielewa
Mond sahv ni brand, na pia ni business mogul, akili yake haipo kilayman... Katika hizo event tatu tofauti kuna kuna sponsors mbalimbali waliomwaga mpunga wao, ukichanganya na viingilio hela yote ya production inakuwa imerudi na chenchi juu
Hivyo hata km hiyo ep itakuwa mbovu, haitampa hasara! Hata ktk "a boy from tandale" alifanyaga hivyo na ilimlipa hata kabla ya mauzo ya album yenyewe
mi ni mdau wa maendeleo ya watanzania kwa ujumla... Na kwa bahati mbaya hao ulowataja siwajui vizuri ktk nyanza za kibiashara, labda alistote upande wa mapambo ya kike ila huyo mwingine duuh!Kama sio juma lokole, basi utakuwa aristote
hakuna uhusiano Kati ya jina la kingereza na uzuri wa kitu. kitu kama kizuri ni kizuri tu halafu mziki mzuri hauna mipaka ya lugha mkuu nadhani ni ulimbukeni na ushambakiingereza kina sound good mzee... Hata marehemu kanumba alilijua hili ndo maana jina la muvi kiingereza ila content ni kiswahili...
Au upande wa muvi tusiuhusishe, vp "my everything" ya alikiba ilitoka mwaka jana! Au?
hapo ndio shida inapoanzia, wakina biti sitti walikimbiza bara Hindi kwa nyimbo za kiswahili au Bibi kidude alikua anaperfom ujerumani kwa kiswahili, sema hawa ndg zetu ni ulimbukeni na ushamba tu ndio unaowasumbuaEti ndo kuwa international 🤣🤣🤣
Kwanini asifanye promotion wakati muda, pesa na mazingira ya kufanya promotion yapo.Kwa haraka haraka Ep itakua mbovu sana.
Sasa kama anajua Ep yake ni nzuri na itakua kali kuliko zote kwanini apoteze mamilioni ya pesa kuifanyia "promosheni" siku 3 mfululizo?
Ep kali zinajiuza zenyewe bana kwa masongi makali jombii.
domo hana jipya labda atafute mtu wa kumwandikia nyimbo lakini kama ndo izo zake za inama nipachike rungu bado sanaHaya bana lambalamba! Hizi ramli chonganishi mlianza kuzifanya miaka 10 iliyopita, 2012 hukooo! Watu wa enzi hizo wakasema kijana kaporomoka mara kafulia, akaja kuwaprove wrong kwa show ya diamonds are forever!
domo kaishiwa hilo halina ubishiWasanii wakubwa wanatoa album, msanii mkubwa kutoa EP ni uoga na ni dalili za kuishiwa
wewe unajua nini kwenye mziki. Hebu kaa kimya basi watu wafanye yao ww baki kama shabiki tu.domo kaishiwa hilo halina ubishi
Wewe utakua Unajiita hopetyga insta..uandishi wenu ni ule uleKwa haraka haraka Ep itakua mbovu sana.
Sasa kama anajua Ep yake ni nzuri na itakua kali kuliko zote kwanini apoteze mamilioni ya pesa kuifanyia "promosheni" siku 3 mfululizo?
Ep kali zinajiuza zenyewe bana kwa masongi makali jombii.