Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

Africa nzima hatimaye imesimama.

Ni shangwe kila kona mitandaoni mpaka mitaani.

Roho zimesuuzika kiu imekatwa.

FOA imekuwa FOA kwenye mdomo wa kila mtu ndani ya bara la Africa.

Hakuna wimbo wa ku-skip


History nyingine inaandikwa na mfalme wa afro pop.
Nyimbo zote zimetulia,zina uafrika mwingi dogo kaacha ule ufala wake wa manyimbo ya kichoko karudi enzi zake za "ukimuona" ....EP iko safi kabisa inafaa kusikiliza mbele ya mama mkwe.
 
Kama EP iko vile na nyimbo zile basi Album itakuwa balaa kubwa zaidi. Huwenda tuzo za huko mbele kama BET n.k muda wake unakaribia baada ya kuwa nominated sasa it’s almost time. Mnyonge mnyongeni haki yake moeni hiyo EP ya FOA iko vizuri sana.
 
Ni fan wa Kiba kindakindaki ila kwa hii ep ya Mondi kuna michache nimeielewa sana kama hizi nilizodownload hapa
IMG_1968.jpg
 
Bado sijasikia kitu kipya iwe melodies, beats, uandishi n.k

Rate 5/10
 
Back
Top Bottom