Naiwaza kesho ya John Mrema, Yericko Nyerere na Kigaila

Naiwaza kesho ya John Mrema, Yericko Nyerere na Kigaila

Kamata bony yai ,yericko ,kigaila na ntobi peleka taifa ita watu wote wa Dar es salaam hasa keko na mwembe chai wanaojua kusuta haswa ,suta Sana ,piga kila mmoja viboko kumi kumi samehe kila mmoja alafu waache wakapambanie chama mtandao Tena
 
Ukiachilia mbali yule mpuuzi Ntobi, Chuki yao dhiki ya Tundu Lissu ilikuwa bayana na haikuwa fiche. Lakini kama ilivyo ada, muda huwa Mwalimu na kwalo hawakujipa kiasi ya kuhifadhi.

Ni ipi kesho yao ndani ya Chadema washindwa hao?!
Ntobi na Yeriko hawafai hawana malezi bora kabisa.
Kigaila na Salum Mwalimu wabaki wanachama wa kawaida wanakula mishahara ya wake zao.
 
Kamata bony yai ,yericko ,kigaila na ntobi peleka taifa ita watu wote wa Dar es salaam hasa keko na mwembe chai wanaojua kusuta haswa ,suta Sana ,piga kila mmoja viboko kumi kumi samehe kila mmoja alafu waache wakapambanie chama mtandao Tena
20250122_154305.jpg
 
Hata mwenyekiti wa BAWACHA, kulikua na haja gani ku endorse Mbowe wakati alishakua ameshinda? Sasa hivi anaona aibu tupu!!

Anyway namuomba Lissu asafishe hiyo makao makuu hao incompetent personnel kama Mrema, Munisi, Kigaila n.k wote wapangiwe kazi zingine kwenye kanda.
Yule mama namuonea huruma sana. Mapema asubuhi kabla ya matokeo kutangazwa, nilimuona ameshika tama na sura fulani ya mawazo mnoo. Ni kama hajui hatma yake vile.
 
In CHADEMA no hate no fear.. Uchaguzi umeisha sasa ni mwanzo mpya
Angalau umeongea kiutu uzima. Kuna wajianga wajinga humu wanataka kuonyesha kwamba Lisu atalipiza kisasi kwa wanachadema wenzie kisa tu hawakumuumga mkono, haya ni mawazo potofu na ya kijinga na kama Lisu atafanya hivyo atakuwa anajichimbia kaburi
 
Ukiachilia mbali yule mpuuzi Ntobi, Chuki yao dhiki ya Tundu Lissu ilikuwa bayana na haikuwa fiche. Lakini kama ilivyo ada, muda huwa Mwalimu na kwalo hawakujipa kiasi ya kuhifadhi.

Ni ipi kesho yao ndani ya Chadema washindwa hao?!
Kwani hawana Maisha nje ya chadomoz?
 
Ukiachilia mbali yule mpuuzi Ntobi, Chuki yao dhiki ya Tundu Lissu ilikuwa bayana na haikuwa fiche. Lakini kama ilivyo ada, muda huwa Mwalimu na kwalo hawakujipa kiasi ya kuhifadhi.

Ni ipi kesho yao ndani ya Chadema washindwa hao?!
Ule ulikuwa ni uchaguzi, nakuhakikishia lissu sio mtu wa visasi, watakuwa sawa tu.Ni chama kimeshinda
 
Nishatoa mapendekezo ya kuwapiga viboko ili waache ulevi na ulafi wa nyama za Mbowe waje wajenge chama tu
Hivi mlitarajia wote wamuumge mkono Lisu? Sasa kungekuwa na haja gani ya uchaguzi? Au hiyo Demokarasia ingeonekanaje? Au mnataka muwe mnakuja na jina moja kama ilivyo Lumumba? Acheni siasa za kitoto na za chuki, uchaguzi umeisha chama kiunganishwe
 
Ukiachilia mbali yule mpuuzi Ntobi, Chuki yao dhiki ya Tundu Lissu ilikuwa bayana na haikuwa fiche. Lakini kama ilivyo ada, muda huwa Mwalimu na kwalo hawakujipa kiasi ya kuhifadhi.

Ni ipi kesho yao ndani ya Chadema washindwa hao?!
JAMES MBOWE nae anaaulika.
 
Angalau umeongea kiutu uzima. Kuna wajianga wajinga humu wanataka kuonyesha kwamba Lisu atalipiza kisasi kwa wanachadema wenzie kisa tu hawakumuumga mkono, haya ni mawazo potofu na ya kijinga na kama Lisu atafanya hivyo atakuwa anajichimbia kaburi
Lissu SI mtu wa visasi, kashasahau kikubwa ni kusonga mbele
 
Wenye roho mbaya zenu sasa.
Tena washukuruni kwa kufanya CHADEMA iwepo.
 
Hivi mlitarajia wote wamuumge mkono Lisu? Sasa kungekuwa na haja gani ya uchaguzi? Au hiyo Demokarasia ingeonekanaje? Au mnataka muwe mnakuja na jina moja kama ilivyo Lumumba? Acheni siasa za kitoto na za chuki, uchaguzi umeisha chama kiunganishwe
Mmoja huyu hapa Kama sio kigaila Basi ni Bony yai lazima tuwapige viboko ili muwe na midomo yenye staha
 
Ukiachilia mbali yule mpuuzi Ntobi, Chuki yao dhiki ya Tundu Lissu ilikuwa bayana na haikuwa fiche. Lakini kama ilivyo ada, muda huwa Mwalimu na kwalo hawakujipa kiasi ya kuhifadhi.

Ni ipi kesho yao ndani ya Chadema washindwa hao?!
Hasa wale walio na wake zao kwenye kundi la Covid 19 🤣 Inabidi wamuwahi mapema kumuomba radhi.
 
...Mrema ashushwe Cheo awe Mwenezi wa Jimbo moja huko Uchaggani. Kigaila na Mwalimu WAFUKUZWE kwa kosa la kupelekea siri za Chama kwa wake zao ambao ni Wabunge wa kupewa na CCM.
Huyu Mrema akakunje ngumi kama Mtobi wa Shinyanga.
 
Back
Top Bottom