MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Ni kiboko tu hakuna kuwasameheUmejawa na ujinga kichwani mwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kiboko tu hakuna kuwasameheUmejawa na ujinga kichwani mwako
Inavyoelekea labda hatujui dhana iliyobebwa na Neno "msamaha" au "kusamehe"Wallah Lissu atasamehe wote lakini si Yericko ama Ntobi.
Bon Yai ni ASSET , aitwe tu aonywe na aelekezwe..Mmoja huyu hapa Kama sio kigaila Basi ni Bony yai lazima tuwapige viboko ili muwe na midomo yenye staha
Kwakuwa nakuheshimu Sana huyo basi atakanywa Ila vipi yule jasusi uchwara apigwe viboko au naye asamehewe ?Bon Yai ni ASSET , aitwe tu aonywe na aelekezwe..
Yule jasusi uchwara na Ntobi hawana sifa ya kuwa wanachama wa CHADEMAKwakuwa nakuheshimu Sana huyo basi atakanywa Ila vipi yule jasusi uchwara apigwe viboko au naye asamehewe ?
Limeisha Kaka nitalifikisha kwenye kamati ya nidhamu na kipigo kwa vijana wachumia tumboYule jasusi uchwara na Ntobi hawana sifa ya kuwa wanachama wa CHADEMA