Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Maskini unaenda kuua Rais wa awamu ya 20, please don't do that!
 
Dunia haujawahi kua fair. Wenzako wanakesha wakiomba wapate mtoto ww unaomba mtoto auwawe salama. Eeh Mola mlete huyo mtoto nimlee.
 
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Yani tukuombeee wakati unaenda kuua😬😬, aiseee.
Damn!
 
Unatuchosha mkuu, mosi wewe ni mtu,ulianzia kama mtu, kwa muktadha huo kiumbe kilichopo ndani ya mama mjamzito ni mtu pia ,


Hata mimi mnanichosha pia kwa kutokunielewa; labda nibadilishe tune na hoja iwe hivi:- je kutoa mimba (zygote) kutoka kwa mama mjamzito ni sawa na kuua MTU aliyekuwa hai???--- hii hasa ndiyo mada.

Tumbo la mama ni sawa na kiwanda cha kutengeneza bidhaa, bidhaa ikishaundwa na kukamilika na kukidhi viwango hapo inapata sifa ya kuwa bidhaa kamili, sasa utasemaje mimba iliyotolewa ambayo sio KAMILI IWE NI MTU, Kwani MTU ni nini???---Tafuta definition ya mtu kwanza ndipo uje useme mimba ni MTU.

Maana ya independence in this regard mfano wake ni huu:- Mama mjamzito kwa bahati mbaya akifa na ujauzito je huo ujauzito nao utabaki kuwa hai???, na anapozikwa je husemwa wamezikwa watu wawili au huwa anapasuliwa halafu mimba inazikwa peke yake na mama peke yake???--- nauliza maswali hayo ili uvute fikra zako kwa ukaribu, halafu tugeuze sarafu upande wa pili; kama mimba itakufa na ikatoka (miss carriage) je hiyo mimba itazikwa kwa taratibu zote za mazishi kama anavyokufa mtu independent??, je mbeba mimba naye anaweza kufa katika hali ya kawaida baada ya misscarriage???

kama ilivyo kumpiga mtu labda risasi ni mauaji hivyo hivyo kutoa mimba ni mauaji pia,sababu wote ni watu wanaouwawa,


Ukimpiga mtu risasi na akafa sio sawa na kuipiga mimba risasi, hiyo itasemwa umempiga mjamzito risasi au mjamzito katolewa mimba yake kwa case hiyo mimba inakuwa ni part ya mwili wa mbeba mimba, na hiyo huwezi kukanusha, huwezi kuitaja mimba bila kumtaja mbebaji na huwezi kutoa mimba hewani ni lazima itolewe kutoka kwa mbebaji.

Nataka andiko kutoka kwenye vitabu vya dini linalosema kutoa mimba ni sawa na kuua mtu, au Mungu alisahau kuleta andiko au hakujua kwamba utoaji wa mimba utakuwepo duniani??

Nimeona unaongelea sperm zimekwenda wapi, hizo ni cells tu,mtoto anaitwa mtoto mpaka iungunishwe na yai la mwanamke lililopevuka, kila kitu kimekua crafted na Mungu, uwezo wetu kuzaa umekua limited,it serve some purpose..hii ni kujiandaa kuleta kiumbe na kukilea ambayo inachukua muda kufanya hivyo, kwa hio tusingeweza kuwa na watoto wengi, IMAGINE kila sperm ingekuwa inaruhusiwa kutengeneza mtoto tungelea saa ngapi??? lazima u appreciate Mungu fundi akaweka sperm moja


Najua kwamba ili mimba itunge ni lazima sperms zikutane na yai la mama, mimi nilikuwa namjibu mtu mmoja aliyeniuliza kama mimi ningetolewa nikingali mimba ingekuwaje ndipo nikampa mfano wa Sperms za nduguze walioachwa kipindi yeye akiingia ndani ya yai ili aje duniani kama Mtu, hapo tofautisha kati ya Mtu na Zygote.

(Find the difference between man and Zygote.)

independence mkuu again hio ni nature huyo mtoto imewekwa ale chakula ,apate hifadhi kwa mama tumbon ili asurvive, yeye hana kosa ..hata wewe labda umefanya mambo mengi yaliyobidi kufanya u-survive ambayo yalikuja tu naturally ....pia,tunapoishi na wazazi wetu wanaprovide vitu kuanzia utotoni mpaka tunakuwa wakubwa,je walitupiga risasi tulivyokua dependents?

Ninaposema independence maana yangu ni independence katika 1---Chakula nje ya womb,2-- Hewa nje ya Womb, 3--- kujitambua nje ya womb, 4--- Hisia nje ya womb nk, hapo sasa huyo ndiye Mtu ambaye ukimuua unayo hatia hata siku ya kiyama atasimama kutoa ushahidi kwanini ulimuua, siku hiyo ya Qiyama naye atakuwa na daraja kama mtu, je siku ya Qiyama mimba zilizotolewa zitakuwa na daraja kama WATU???

hivi na wale wanaozaliwa njiti,yuko nje kwenye uangalizi maalumu je ungewaua watoto wa hivi kw vile wako nje ya mama yao?


Ndicho hicho ninachosema kwamba mimba ikizaliwa tu awe njiti au katika hali yoyote ukiua tu basi wewe unayo hatia ya kuua MTU kwasababu huyo tayari alikuwa na independent life.

Hitimisho:-

Narudia kusema; kutoa mimba bila sababu za msingi ni kosa mbele ya Mungu lakini sio kosa linalolingana na Mauaji ya Mtu.---Haiingii akilini kusema kwamba kutoa mimba ni sawa na kuua mtu anayetembea barabarani.
 
Unatetea kuitoa mimba na Id nyingine kweli umeamua!!.


Umesoma vyema mkuu, mimi sitetei kutoa mimba, mimi napinga kitendo cha kutoa mimba kuitwa ni mauaji ya mtu, eti mimba ikiwa tumboni inaitwa ni mtu.

Nasema tena kwamba kutoa mimba bila sababu za msingi ni Kosa mbele ya Mungu lakini sio sawa na kosa la kuua mtu barabarani.
 
Wema Sepetu aliwahi kupata mimba na kutoa, hadi sasa anatamani kupata maumivu ya Labour bila mafanikio......
 
Mimi naona utakuwa wewe ndio mtoa mimba na unajitafutia kauhalali ka hiyo kazi yako.
Uhai ni uhai iwe independent au iwe dependent. Ile kujua kusudi la Mungu, kwenda kinyume ni dhambi siyo lazima viandikwe katika biblia na misahafu. Kukatisha uhai ni kuua. Hakuna jina lingine kwa jambo hilo.


🤣🤣, yaani mimi ni mtoa mimba???!!, na wewe ni mtia mimba???🤣🤣
 
Wewe ni mwehu na huelewi nimeandika nini, Kuua ni kutoa uhai wa kiumbe chenye "Independent life"---- ukisitisha maisha ya mtoto baada ya kumzaa hapo ndipo utakuwa UMEUA.

Mimba inapokuwa tumboni inakuwa ni sehemu ya mwili wa mbeba mimba na hapo ukiitoa sio MAUAJI hayo ni sawa na kuondoa kiungo chochote cha mwili wako, mimba inapata virutubisho kupitia Umbrical code?? ya mama, kila anachokula mama sehemu inakwenda kwenye mimba hii ni sawa na kila unachokula kinakwenda kwenye viungo mbalimbali vya mwili hivyo utaona mimba wakati huo inakuwa ni part ya mwili wa mbebaji.

Ni sahihi kwamba mimba ya binadamu inayoheshima kuliko mimba za viumbe wengine kutokana na hadhi ya binadamu mwenyewe, kwa msingi huo ni lazima mimba ya binadamu ipate heshima na taadhima kubwa, ila ugomvi uliopo ni huo uvumi uliozagaa kwamba kutoa mimba ni sawa na mauaji, kutoa mimba bila sababu za msingi ni kosa hata mbele za Mungu lakini sio kosa la mauaji na kama kuna andiko la kidini lileteni hapa kwa wakristo au Waisilamu au Mungu hakujua kwamba watu watafanya "mauaji ya kutoa mimba"???!!.

Kuhusu mimi kuzaliwa; hivi wewe mjinga, kama mimi ningetolewa nilipokuwa mimba ningekuwa touched ni kitu gani wakati huo, au ninge feel nini???, wewe umesoma Biology ??---- mimba yako ilipotungwa wale wenzako (sperms) wako wapi???--- what did they feel at that moment in time???--- unatakiwa uhoji maswali ya akili na sio mihemuko ya mitaani kama Wale wanaovumisha na ikaaminika kuwa nyongo ya mamba ni sumu.
Mi nazani wewe ndio mwehu,nyie madaktari uchwara mnatoa mimba kwa watoto wa shule akiri zenu zimejikita kwenye masirahi tu,hamthamin uhai wa kiumbe chochote

Kwangu ni haram hata mimba ya wiki moja kuitoa eti kisa tu ww uendelee ku survive kwa jinsi inavyo kupendeza.Mimba hutolewa kwa sababu maalum za kiafya tu,sio kama anavyodai huyo shoga yako hapo juu,tena kwa kujisikia,ana afya njema na hana shida yoyote kiafya,na wewe ulivyo limbukeni unaleta mawazo finyu juu ya uhai wa kiumbe kilichomo tumboni.

Unapiga debe watu watoe mimba! we hujui kila kitu huanza na hatua za awali na baadae hukamilika kuwa kiumbe kamili?
Hujui usipo heshimu kilicho kidogo hata kikubwa hutakiheshimu!

Mtazamo wako wa kibinadamu ndio unao kuharibu,Mapenzi sio sitarehe tu ,ukishajua kufanya mapenzi jiandae na kulea kijacho

Mimba ikishatunga , huo tayari ni mwanzo wa kiumbe kingine,haijalishi kinakula kwako au kwa jirani.Thamini uhai wa mwingine,hicho sio kidole au mguu kama unavyofikiria na elimu yako ya biology.
 
Dah Mungu akusaidie na akupe busara humu utashambuliwa sana ila majority ya wanawake wameshaua kimya kimya aisee. Mungu atusaidie tu kwa kweli
Na ww ulishawahi kunyonga kamoja best?
 
Mi nazani wewe ndio mwehu,nyie madaktari uchwara mnatoa mimba kwa watoto wa shule akiri zenu zimejikita kwenye masirahi tu,hamthamin uhai wa kiumbe chochote

Kwangu ni haram hata mimba ya wiki moja kuitoa eti kisa tu ww uendelee ku survive kwa jinsi inavyo kupendeza.Mimba hutolewa kwa sababu maalum za kiafya tu,sio kama anavyodai huyo shoga yako hapo juu,tena kwa kujisikia,ana afya njema na hana shida yoyote kiafya,na wewe ulivyo limbukeni unaleta mawazo finyu juu ya uhai wa kiumbe kilichomo tumboni.

Unapiga debe watu watoe mimba! we hujui kila kitu huanza na hatua za awali na baadae hukamilika kuwa kiumbe kamili?
Hujui usipo heshimu kilicho kidogo hata kikubwa hutakiheshimu!

Mtazamo wako wa kibinadamu ndio unao kuharibu,Mapenzi sio sitarehe tu ,ukishajua kufanya mapenzi jiandae na kulea kijacho

Mimba ikishatunga , huo tayari ni mwanzo wa kiumbe kingine,haijalishi kinakula kwako au kwa jirani.Thamini uhai wa mwingine,hicho sio kidole au mguu kama unavyofikiria na elimu yako ya biology.



if cap fits--- no cap will fit in such a stupid head of yours.

Mahali gani mimi nimesema kutoa mimba bila sababu za msingi sio dhambi??!!----- usitake kupotosha ili uonekane eti umeongea point!!.

Mimi nimesema na ninarudia kusema hivi:- Kutoa mimba bila sababu ya msingi ni dhambi lakini kutoa mimba sio kosa linalolingana na kuua mtu binafsi, mfano kutoa mimba sio sawa na kuchukua silaha na ukaenda kuua mtu barabarani.

Mimba ya binadamu ni kitu cha thamani na kinastahili kutunzwa hadi mtoto/mtu azaliwe.

Siku ya hukumu, Watu wote ndio watahukumiwa juu ya madhambi yao, ama uwe uliuawa au uliua wote lazima tuhukumiwe kulingana na madhambi yetu, kama mnadai mimba ni mtu aliyeuawa wakati alipotolewa tumboni kwa mama yake je nafasi yake siku ya Qiyama ni ipi???---- leteni ushahidi hata kutoka katika maandiko ya dini juu ya mimba iliyotolewa tumboni kabla ya kuzaliwa nafasi yake siku ya Qiyama ni ipi???--- hizo mimba zitakuwa kama watu watakaosimama siku ya Qiyama??!!

Nimeingia upande wa dini kwani upande wa Biology ni weupe pee.

Je, Madaktari wanaotoa mimba kwasababu za kiafya kwa mjamzito au kwasababu za kifya za zygote tumboni na wao ni WAUAJI??

Kama Zygote ataonekana anazo abnomalities, mfano ulemavu utakaomfanya aishi kwa shida na pia awape wazazi wake shida za kimaisha na changamoto zingine na wakaamua kutoa mimba baada ya ushauri wa madaktari, je kama hiyo mimba ni MTU utashindwaje kuwaita hao madaktari Wauaji??--- maana yangu ni hii; usilete visingizio kwamba mimba ikitolewa kwa sababu za kiafya sio Uuaji lakini ikitolewa kwa sababu zingine ni uuaji--- kama umeamua kudai Kwamba kutoa mimba ni uuaji basi kila sababu itakayopelekea kutoa mimba itakuwa ni haramu kwani kutoa mimba ni uuaji kwa mujibu wenu, msiwe ndumilakuwili katika suala hilo.

Hitimisho; Mimi sio daktari na wala sijui udaktari kabisa ingawa O level nilisoma Biology.
 
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Kasikilize wimbo wa Nikki Mbishi, kijusi.
 
Nasema hivi; kama mimi ni mwehu wewe ni mwehu zaidi yangu, hivi unaelewa ninachosema au ndio umeshiba Alkasusu kutoka katika vijiwe vya kahawa??!!.

Sikiliza kwa makini na tuliza akili yako kama unanyolewa; nimesema KUTOA MIMBA BILA SABABU ZA MSINGI NI DHAMBI lakini SIO DHAMBI YA MAUAJI, ugomvi wangu ni kuunganisha kutoa mimba na UUAJI, na nimekwisha eleza ni kwa namna gani kutoa mimba sio mauaji.

Mimba ni njia halali aliyoiweka Mungu ili sisi binadamu na viumbe wengine tuongezeke, bila kupitia mimba sisi sote tusingalikuwepo, mimba ni mali ya baba na mama sio mali ya mama pekee na inapofikia suala ya kuitoa ni lazima wawili hao wakae pamoja kuamua, mfano kama ikathibitika (in the run) na Daktari kwamba mimba itahatarisha uhai wa mama pamoja na uhai wa mtoto akili na Busara huwa ni hii; MIMBA INATOLEWA kunusuru maisha ya mama PEKE YAKE na wakati huo maisha ya mimba wala hayapewi uthamani mbele ya maisha ya mama, katika hali hiyo ni Mwehu gani atakayesema kwamba hao madaktari wemefanya MAUAJI??--- nanasema mimba ikiwa tumboni ni kama sehemu ya mwili wa mbebaji haina "independence life" kiasi kwamba tuseme kuitoa ni kuua kiumbe chenye "independence life". Kuua ni kutoa uhai wa kuimbe chenye uhai wake binafsi yaani uhai wake unategemea kuvuta hewa ya nje, chakula cha nje na kinajitambua na kutambua ulimwengu wa nje, ni NAFSI inayojitegemea yenyewe kuishi, mfano mtoto akizaliwa mara moja anaanza kuvuta hewa, kunyonya mwenyewe kwakuwa nafsi yake ya utambuzi ni independent kwa mama lakini ni dependent kwenye mazingira anamoishi, na anakuwa registered kwa Mungu kama binadamu KAMILI huyo ukimuua hapo ndipo Umefanya MAUAJI.

Narudia kusema; kutoa mimba BILA SABABU ZA MSINGI ni kosa na dhambi mbele ya Mungu LAKINI SIO KOSA LA MAUAJI.
Bado sijakuelewa vizuri. Itabidi nirudie kusoma na kupata uhakika wa jambo hili hasa kwa upande wa kiroho kwa kuwashirikisha watumishi wa Mungu.......... hasa kwenye mimba inayohatarisha maisha ya mama ikitolewa je, ni dhambi au siyo dhambi?
 
Bado sijakuelewa vizuri. Itabidi nirudie kusoma na kupata uhakika wa jambo hili hasa kwa upande wa kiroho kwa kuwashirikisha watumishi wa Mungu.......... hasa kwenye mimba inayohatarisha maisha ya mama ikitolewa je, ni dhambi au siyo dhambi?


Bora wewe mkuu unayetaka kufanya tafiti kuliko wale wanaopinga tu bila hoja.
 
Back
Top Bottom