Najiona maisha Yangu yakikosa nuru kabisa na kuelekea ukingoni

Najiona maisha Yangu yakikosa nuru kabisa na kuelekea ukingoni

Duuh umejichanganganya mwenyewe JF sio tatizo kama ulivyoliita, umeyavaa kabisa lazima uwe makini sana kwenye maamuzi yako hasa ukiwa mtu mzima kwasababu kosa moja linaweza pelekea tatizo la miaka mingi au milele, be responsible... CONSEQUENCES hizo lazima uzibebe,lazima ujue kuwa Kila maamuzi Yama athari zake, unadhani Kuna mtu atakusaidia?, jisaidie mwenyewe lazima utapata muda wa kuhandle hilo kibusara.
 
Nikutie moyo kijana, kuchovya sehemu yenye HIV siyo kupata HIV. Kama kweli ana HIV chances za wewe kuukwaa ni less than 1%; Sema ukiukwaa hiyo 1% inageuka kuwa 100% kwako.

Gonorrhea, ama kweli wewe ni muaminifu. Watu wanatibu gonorrhea kila mwezi na bado mamboo yamewasimama wima.

Pole!!
😂😂Sijawahi kabisa kutana na hii kitu na naomba isije tokea. Niliona mtu akiugulia maumivu plus mnuko ule, daah, hatari sana.
 
BROTHERS, kulala na kuwa na wanawake wengi it's not manhood ila kuna time hufikaga lazima ulipie madhambi yako, kuna mistake moja 2, it will totally change your life. Sometimes tunashindwa kutimiza malengo na ndoto za mafanikio kwasababu ya humu tunamopita ni mikosi na laana tunapata. Tujali afya zetu, tule vizuri, tufanye mazoezi, tuombe Mungu na kutunza vipato vyetu tunamajukumu makubwa sana ya kuendeleza na kuandaa vizazi vyetu bora.
Ushauri mzuri sana huu...pole Sana Chief kwa unayoyapitia.

Ila usisahau kupima ili ujue ukweli wa afya yako na uwe tayari kwa lolote.

Ila ni wakati wa kutubia dhambi hii kwa dini yako.
 
Back
Top Bottom