Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
njoo kanisani mkuu, njoo tumtwike Yesu fadhaa zote. uhuru uko kwa Kristo.
JESUS IS LORD&SAVIOR
JESUS IS LORD&SAVIOR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kazi ipi sasa. uasherati ni kazi?Ajali kazini, pole sana
Basi! Sio niliyekuwa nawaza! Nilikutana na mmoja kachora tattoo fulani simple hivi! Lakini nilivyoiona nikajua hapa sipo! stimu ikakata ghafla nikasepa na kumuacha peke yake guest!Kipepeo
Hana hasira huyu... mimi mpaka jina ningeweka na picha zake... Kama alivyo teleza huyu...dada atawatafuna wengi sana...kuna mayatima watarajiwa kwenye mtiririko wakeFanya kutuwekea hizo txt. Itasaidi zaidi kukupa msaada zaidi wa mawazo.
Ni kazi mkuukazi ipi sasa. uasherati ni kazi?
Ajipe muda tu halafu afanye yampasayo kufanya....gono litibike kwanza halafu apime pia apate pa kuanziaPole sana sana Kamanda wangu! Kuna MAISHA baada ya hayo yote.......
😂😂Sijawahi kabisa kutana na hii kitu na naomba isije tokea. Niliona mtu akiugulia maumivu plus mnuko ule, daah, hatari sana.Nikutie moyo kijana, kuchovya sehemu yenye HIV siyo kupata HIV. Kama kweli ana HIV chances za wewe kuukwaa ni less than 1%; Sema ukiukwaa hiyo 1% inageuka kuwa 100% kwako.
Gonorrhea, ama kweli wewe ni muaminifu. Watu wanatibu gonorrhea kila mwezi na bado mamboo yamewasimama wima.
Pole!!
Ushauri mzuri sana huu...pole Sana Chief kwa unayoyapitia.BROTHERS, kulala na kuwa na wanawake wengi it's not manhood ila kuna time hufikaga lazima ulipie madhambi yako, kuna mistake moja 2, it will totally change your life. Sometimes tunashindwa kutimiza malengo na ndoto za mafanikio kwasababu ya humu tunamopita ni mikosi na laana tunapata. Tujali afya zetu, tule vizuri, tufanye mazoezi, tuombe Mungu na kutunza vipato vyetu tunamajukumu makubwa sana ya kuendeleza na kuandaa vizazi vyetu bora.
Nikipata utulivu ntarud hapa kutia neno...Wakuu habari, poleni na majukumu ya kila siku.
Ni ivi wadau kila nikishika simu yangu nakuiona app ya JF napata hasira natamani kupigiza simu yangu chini, Maana bila platform hii huwenda maisha yangu yangekua na amani na matumaini....
Yeah niliona thread yakeMwaka juzi kati Kuna binti alikuja hapa kutoa ushuhuda jinsi Kamanda wetu hapa jukwaani alivyomwambukiza ngoma ila hakuilaumu JF
Kuwa serious kidogo mkuuNipasie namba zake kama hutojali lakini!!!Nami niiguse
Kabisa kabisa...Wajumbe sijaona connection ya JF na dhambi zako, NARUDIA TENA hakuna connection ya kupata kwako gonorrhea kutokana na tamaa zako na uwepo wako humu