Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
😂🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaume kupata ukimwi ni kazi sanaaaKosa ni lako sio jf.
N.b sio easy sana kupata ukimwi.
≥ kumwandaa mwanamke vyema kunapunguza riskHuna taarifa kama huyo dada amaathirika,na yeye anaweza akawa na assumption kama yako.
Kuna watu watu wanaishi kwenye ndoa na wenza wenye HIV na bado ni wazima
Mtaje tu ili tusije kuivagaa miwaya kama ulivyoikwaa weweWakuu habari, poleni na majukumu ya kila siku.
Ni hivi wadau kila nikishika simu yangu nakuiona app ya JF napata hasira natamani kupigiza simu yangu chini, Maana bila platform hii huwenda maisha yangu yangekua na amani na matumaini.
Mimi sio mdau saana wakuandika nyuzi humu JF lakini hupenda sana kupitia nyuzi mbalimbali za wadau zenye kujenga, kufunza na kuelimisha. Niliipenda platform hii kutokana nakuwa na watu wengi matured na haina vishawishi ukilinganisha na platform nyingine.
Miezi 3 iliyopita niliandika uzi kwa mara ya kwanza kutokana na changamoto fulani iliyonisibu hivo nikatamani mawazo kutoka kwa wadau mbali mbali.
Kuna baadhi ya wadau wali reply private(DM) ikiwemo bi dada mmoja ambae alinijenga sana finally akanipa namba yake nimcheki whatsapp, In short nikazaoeana nae kirafiki tu, so ana view status zangu na view zake utani wa hapa na pale maisha yakasonga.
Honestly sikuwaza kumtongoza na sikuwa na intention yoyote kwake, alinambia anasoma chuo X Dodoma.
Hivi karibuni bidada alini call anadai anasafari ya Dar, kuna ofisi Fulani aliomba nimwelekeze kwakua yeye si mwenyeji sana Dar na hana m2 wa karibu sana anaeweza kumwomba ampeleke, uzuri ni kwamba hizo ofisi hazipo mbali sana na ninapo ishi so nikamwambia afike then nitampa maelekezo vema.
Siku inayofwata asubuhi aliniarifu anasafiri kutoka Dodoma, alifika majira ya mchana na tukafanikiwa kukutana, hio ndo ilikua mara ya kwanza kukutana live baada ya urafiki wa miezi kama mitatu hivi.
Marshallah bidada ni mzuri kuliko nilivyomkusudia ana rangi ya chocolate fulani ivi iliyopoa.
Nilimsindikiza had hio ofisi na uzuri tuliwahi kabla muda wa kazi haujaisha alifaniwa kilichompeleka na akadai kesho yake angeludi Dodoma asichelewe masomo chuo.
Aliomba nimtafutie lodge yenye utulivu then kesho asafiri kurudi Dom nkamwambia haina neno.
Binafsi naishi na Wazazi wangu Tegeta ila pia na Gheto langu Kinondoni ambalo lipo karibu na sehem ninapofanya kazi ya kujishikiza niliyopata baada ya kumaliza chuo.
So huwa nikiwa nataka utulivu binasi huwa napoa apo pia kazi zikizidi sana ofisini huwa natumia muda mwingi kupoa hapo.
Kabla sijampeleka bidada lodge akapumzike na mimi niendelee na majukumu yangu, nilimwomba tupitie kwangu kwakua hatukua mbali kuna issue nilihitaji kufanya, so tulifika hadi kwangu (Kinondoni) nikamkaribisha bidada ndani stori zikatunogea na baadae kuna wazo likanijia kwanini asilale 2 pale kwasababu mm nilipanga kurudi hom Tegeta.
Na Fact ni kwamba ilikua ndo siku ya kwanza kukutana na binti live, ila tulizoena sana kama watu tuliojuana muda mrefu.
Nadhani hii ilichagizwa nachatting zetu before kwenye simu kwa takribani miezi mi 3 nyuma, alikua mcheshi, mstaarabu kifupi sikupata mashaka sana kumwacha pale na vi2tu vyangu.
Baada ya kutoa wazo la kuwa nimwachie room apumzike alilipokea na akadai nitakua nmemsaidia sana, stori hazikuisha baina yetu mbaka majira ya saa 4 kasoro baada ya kuhakikisha amekula nikataka kuondoka lakini bidada aliomba nisiondoke she was like " Sitakua Comfortable kabisa kubaki peke yangu naogopa then kesho nataka nitoke mapema sana.
We lala Zako kitandani me hata apa kwenye sofa patatosha sana, kikubwa tuheshimiane we ni rafiki ang,".
Ikumbukwe hadi kufika point hii sio kama binafsi sikuvutiwa na binti ni mzuri kiukweli ila binafsi nilikua na mtu wang ambae sikutaka kumvunjia uamifu kwakua daima amekua moja ya nguzo muhimu sana kwangu.
Ananiheshimu na ananisikiliza na tushapanga mengi, hivyo nilikua rai kufumbia macho hili.
Kosa langu linaanzia hapa, kukubali kulala na Huyu dada room, tamaa zikazidi mwili nkajikuta namtaka kimapenzi, alikataa sana nikama alikua na hofu fulani.
Woga na hofu niliyoiona usoni kwa binti ilinifanya niamini huwenda ni mtu mwenye principles na mipika yake, kijana mm niliyepandwa na tamaa za mwili ambae kichwa kinawaza tu jinsi ya kuzikidhi nikazidi kulazimisha finally binti akaona isiwe tabu taratibu kwa unyonge na hofu kubwa akaanza kuvisusa viwalo vyake hadi akawa mtupu.
Hapa kidogo nikapata mashaka baada ya kumwona na bonge la tattoo nyuma kiunoni, juu kidogo ya makalio, hii ilionyesha dhahiri pindi anachorwa alikua uchi, lakin akili inayosindikizwa na hisia inanambia i'ts none of your business we kizi haja yako.
Ndani sina kinga kwakua nilikua sio mtu wa michezo hio. Kifupi nililuka na binti usiku kucha ad siku ya pili anaaga na kuondoka lakini kuna jinsi kawa mnyonge, jioni akanichek kafika.
Baada ya siku kama 4 hivi kupita nikawa najisikia maumivu wakati wa kukojoa na finally naona usaa unanitoka, nikajua tayari, muda wa mavuno ya tamaa zangu umefika, nikaenda zangu hospital.
Baada ya vipimo naambiwa nina UTI sana, ila Gono nikaambiwa sina.
Nikashauriwa ni vyema nichome sindano 5 na Dawa nikapewa, nimemaliza sindano nadawa nikapata ahueni kidogo.
Baada ya muda kidogo tena najickia maumivu makali ndani ya mlija wa uume na saa hii usaa zaidi.
Nikamtafuta kaka ang hivi yeye ni Daktari pia baada ya kumpa dalili akadai ni Gono niende akanipime, baada ya vipimo akadai ni Gono na limeshamili sana na akadai ile dozi ya awari na sindano inaonekana zimewatibua hawa wadudu wako very active, akanipangia sindano 7 na dozi nyingine.
Linalo nichanganya zaidi ya yote ni kwamba huyu dada kuna Ujumbe aliniandika ni mrefu kiasi lakini kifupi anadai amefurahi kuniju mm ni m2 mwema , na pia anasikitikia maisha yangu na anajihisi mkosaji sana kuangamiza maisha yangu mtu mwema.
Napiga simu yake haipatikani namba zote, Whatsapp pia simpati, cna hakika kama kani block maana nikimchek hata kwa namba tofaut simpati, all social media alizokua anatumia ni kuko kimya no response.
Nime recover sasa naendelea vizuri but akili yangu haiachi kuwaza kama huenda huyu binti kuna kingine kaniachia zaidi ya hivi ninavyoviona.
Napata woga kwenda kuchukua HIV test na pia huyu daktari anasema ni mapema sana kufanya test maana ni week kadhaa tu .
Nina mawazo sana hasa nikirejea kusoma text ya huyu dada ina mafumbo ndani yake ila haiashirii mema kabsa. Cna hata rafiki au m2 mwingine ninae mjua anaefahamiana na uyu binti.
Na katika urafki wetu nilifanikiwa kujua jina lake 1 tu na Chuo chake x na alidai n mzaliwa wa Tanga full stop.
Wakuu katika hali hii niliyonayo ya msongo wa mawazo nikifikiri ni kipi nitaenda kukutana nacho naomba kusema Afya ndo utajiri wa kwanza kabisa kwa mwanadamu, ile mentality ya kutambua unakitu mwilini na kina athiri afya yako ina haribu sana utendajikazi wa ufahamu wako na inatowesha kabisa mwangaza wa maisha . Tuishi tukitanguliza nyendo zetu kwa Mungu , kuna makosa hayakupi nafasi ya pili.
BROTHERS, kulala na kuwa na wanawake wengi it's not manhood ila kuna time hufikaga lazima ulipie madhambi yako, kuna mistake moja 2, it will totally change your life. Sometimes tunashindwa kutimiza malengo na ndoto za mafanikio kwasababu ya humu tunamopita ni mikosi na laana tunapata. Tujali afya zetu, tule vizuri, tufanye mazoezi, tuombe Mungu na kutunza vipato vyetu tunamajukumu makubwa sana ya kuendeleza na kuandaa vizazi vyetu bora.
LADIES wakati ni ukuta, u slay queen unaukomo tena hauchukui round "Walk the right way you will meet the right people" . Kuna heshima fulani mwanamke unaipata automatic ukitambua misingi yako na ukijiheshimu kwenye ndoa yako.
Asanteni kwa time yenu. Ushauri wenu, mawazo yenu na neno lolote litanijenga sana katika hali hii, napia huenda itakua msaada hata kwa wengine since we still live so kuna leo na kesho. 🙏
Asante sana mkuu, hakika umenijengaMkuu elimu yetu IPO shallow sana kuhusiana na mambo ya HIV,Kuna vitu vingi havipo sawa;Ili mtu kuambukuzwa Kuna factors zake ambazo zinaweza kupunguza au kuongeza risk;
≥ kumwandaa mwanamke vyema kunapunguza risk
≥ kama mwathirika anatumia ARVs hupunguza risk ya maambuizi Kwa wengine ,viral load hupunguza
≥kuna kiwango Cha viral load kinahitajika Kwa maambuizi kutokea
≥kama hukumlawiti huyo mwanamke SI ishu sana risk inapungua
≥kama hukuchubuka kwenye uume stili huna haja ya kuhofu.
≥ SI binadamu wote wanaweza kuambukuzwa vvu
≥Ukipima ndio njia pekee ya kuonesha kwamba umeathirika au laa
≥woga ni mbaya kuliko hata vvu
≥jirani yetu aliyekuwa na vvu alikufa after 27 years huyu alitumia dawa,wengine walikuwa Kwa kipindu pindu,malaria,kisukari na pressure≥
≥all in all Mungu ndio anayejua hatma ya mtu,Kuna watoto walikuwa pindi tuu unazaliwa,hata Sasa bado wewe ni mzima,kama hujafa bado Mungu anakaxi na wewe.
≥kulala na mwathirika mara moja hakukufanyi uwe mwathirika ,vinginevyo waafrika tungeisha.
≥mimi ninayekuandikia nilikuwa mhuni na mlevi niliyekubuhu,nishalala na mademu Malaya wote wanafika hata buku,wanasema hata wanangoma na still Sina ngoma.
≥kama umetahiriwa riski ya vvu inapungua.
≥gono sio vvu
≥hata kama una HIV,SI lazima iwe ni huyo mgeni huenda ni huyo demu wako
≥usimwamini mtu usiyemjua,ila usiache kufanya wema hata baada ya Hilo.
≥hakuna lisilowezekana chini ya jua ni swala la vile unaamini,Kila kitu kinatibika,na Kila problem inasolution yake.
≥ukiendelea kuogopa kitakachokuua ni wasiwasi wako.
≥hata huyo dada naye anaishi Kwa Nini wewe uone mwisho?
≥after all utakufa,mimi nitakufa,huyo dada atakufa jamii forum members,hakuna kinachodumu mile Le ni swala la muda tuu,ukitaka kuishi milele mfuate Yesu.
≥hata kama hujaambukizwa vvu Kuna siku utakufa ,huu ni ukweli ambao upo na Wala hupati wasi wasi .
≥rudia kusoma nilichokiandika Kuna kitu utagundua
Usiache kumpa mumeo haki yake lakiniPole sana
Huyu kashaivagaa hapo mana kila nikiselula kwenye micriscobic factuate naona kabisa cambriyo haiwez pata virus infection wa aina ya UTI kama hakuna chembe zozote za wadudu wakubwaNingekuwa mimi wewe..kwanza namuanika humu ili kilicho kupata wewe kisiwapate wengine.
Ondoa uoga... pambana na hizo dozi ulizo pewa halafu ukapime.
Kaa mbali kwa muda na ulie kuwa nae mwanzo kwenye uhusiano mpaka ukae sawa.
Usijilaumu wote tunafanya makosa
Mungu akutangulie....kila la kheri