Najipanga kufanya harusi rahisi sana, naomba mawazo yenu

Kuna sunni juzi kaja kuoa mtaani kwetu hakuna hata anayejuwa
yaani kama kikao tu
baada ya hapo akamchukua mke wake hao mdogo mdogo hata boda boda hakuchukua
Ukute sunni halafu mpare๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Simple...uwe na msister asiependa makuu ila. Simple makeup 50,000. Nywele atengeneze natural look 50,000. Nguo ashone kama wanaija wakifunga civil wedding so kibongo bongo gauni fundi anashona 80000 na vitambaa na accesories 150000, venue kama ni dar ziko kibao free ila chakula ndo unalipia na mwisho sijajua unataka wangapi ila lets assume 50 yan hiyo ndo wote. So unalipia sahani 25000 mara 50 its 1,250,000 , picha mfanye 300,000, na usafiri wenu na wazazi tu 300,000 wazazi wakodiwe uber au bolt kama vipi. Drinks assume kila mtu anakunywa ya 20000 so ni 1,000,000 and keki 150000. Jumla 3,333,000 imeisha iyo. Nimejitolea kufanya kazi ya kamati.
 

Imeisha hiyoo hatutaki mba mba mba [emoji23][emoji23]
 
Kuna sunni juzi kaja kuoa mtaani kwetu hakuna hata anayejuwa
yaani kama kikao tu
baada ya hapo akamchukua mke wake hao mdogo mdogo hata boda boda hakuchukua

Hatutaki mba mba mba hiyoo [emoji23][emoji23]
 
Bajeti yako ipo juu sana, weka bajeti ya milioni 2 tu inatosha sana.
 
Ila harusi mkuu lazima uwe na bajeti ya dharura usitegemee michango ya harusi na kamati utayumba ni hayo.
 
Nzuri hi mm sipendi masherehe kbsa hvyo wife ajiandae kwenda kwa mkuu wa wilaya.
 
Sikia yangu ya kipare,

Niliwaza watu wawe 100

Ukumbumbi bure eneo la baa

Chakula nilinunua zaga zoote mwenyewe nikamlipa mpishi 300000

Vinywaji laki 7 bia za buku jelo jelo na juice za Azam na soda na maji

Gari la mshikaji

Mpambaji laki 2

Kuhusu suti nilienda kkoo nikatungua ya laki nikaipitishia dry cleaner moja nzur hapa mjin na gauni ya Bibi harus nlimpta jamaa alimnuliat mkewe nikakod laki nalo nikapitishia dry cleaner

Mziki nililipa laki mc nikampa laki camera na video laki mbili haikufik 3m na kishereh kilikua kitamu balaa
 
You paid 3 million for 4-7 hours ceremony?
 
Mie harusi yangu nitaifanya Zanzibar ktk hotel ya kifahari ndugu upande wangu ni 10 upande wa Mke ni 10 jumla watu 22.

Bajet Mil 10.

Siombi mchango kwa mtu, hili jambo clipendi kbs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ