Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ukute sunni halafu mpare๐๐๐Kuna sunni juzi kaja kuoa mtaani kwetu hakuna hata anayejuwa
yaani kama kikao tu
baada ya hapo akamchukua mke wake hao mdogo mdogo hata boda boda hakuchukua
Wewe tu n.a. roho yako mwanawane. Kuna mwana alifanya yake ya kibingwa...
Aliangalia kwenye circle yake marafiki 25 wanaokula gambe, 25 wanaokunywa soda....akapata 50.
Akatumia mahesabu ya kijeshi/kijeda/kishule kwamba kilo moja ya nchele wanakula watu 4 na nyama hali kadhalika.
Akaandaa budget ya samaki sato 25 kwa wasokula nyama, matunda nk
Ibada ya arusi ikapigwa saa 4 mpk saa 6 mchana. Wakajisogeza ukumbini saa 7 home kwao.
Watu wakala, wakanywa....ilipofika saa 10 waliotindikiwa gambe wakajichanga wakaenda kuleta zingine kwa fedha yao....
Saa 12 kamili jioni MC katangaza "Bwana na Bibi Arusi wanaenda kujipumzisha"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zawadi alipata 2m[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna sunni juzi kaja kuoa mtaani kwetu hakuna hata anayejuwa
yaani kama kikao tu
baada ya hapo akamchukua mke wake hao mdogo mdogo hata boda boda hakuchukua
dah hatari sana wanaweza wakawa wanakunywa al kasus tuUkute sunni halafu mpare๐๐๐
Bajeti yako ipo juu sana, weka bajeti ya milioni 2 tu inatosha sana.Tofauti na watu wengi mimi siyo muumini wa harusi kubwa zenye mbwembwe nyingi. Hivyo nimepanga harusi yangu iwe rahisi sana na nitagharamia kila kitu mwenyewe.
Sijui mke mtarajiwa atachukuliaje ila nitajitahidi kumuelewesha wazo langu mpaka aelewe. Wazazi nao nitawaelewesha maana wao ni wachangiaji wazuri na wanajitoa sana kwenye harusi za watu wengine najua wanatarajia nguvu sawa kwenye harusi ya kijana wao.
Kwa hiyo wadau naomba mawazo ya harusi rahisi lakini nzuri, kwa bajeti ya kama milioni 5 hivi.
~ Ukumbi
~ Matukio ya kwenye sherehe
~ Misosi na vinywaji
~ Namna ya kualika watu na idadi yao n.k.
Mchanganuo kidogo please kama utojaliBajeti yako ipo juu sana, weka bajeti ya milioni 2 tu inatosha sana.
KudadadekiKuna sunni juzi kaja kuoa mtaani kwetu hakuna hata anayejuwa
yaani kama kikao tu
baada ya hapo akamchukua mke wake hao mdogo mdogo hata boda boda hakuchukua
Mkuu music mimi bado tu hujafunga hiyo ndoa?Mchanganuo kidogo please kama utojali
Bado, nitafunga mwakani.Mkuu music mimi bado tu hujafunga hiyo ndoa?
You paid 3 million for 4-7 hours ceremony?Sikia yangu ya kipare,
Niliwaza watu wawe 100
Ukumbumbi bure eneo la baa
Chakula nilinunua zaga zoote mwenyewe nikamlipa mpishi 300000
Vinywaji laki 7 bia za buku jelo jelo na juice za Azam na soda na maji
Gari la mshikaji
Mpambaji laki 2
Kuhusu suti nilienda kkoo nikatungua ya laki nikaipitishia dry cleaner moja nzur hapa mjin na gauni ya Bibi harus nlimpta jamaa alimnuliat mkewe nikakod laki nalo nikapitishia dry cleaner
Mziki nililipa laki mc nikampa laki camera na video laki mbili haikufik 3m na kishereh kilikua kitamu balaa