Najiskia kuwa mnyonge, na moyo wangu umebondeka sana. Eehh Mungu nitie nguvu

Najiskia kuwa mnyonge, na moyo wangu umebondeka sana. Eehh Mungu nitie nguvu

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Kuna wakati tunapitia maumivu makubwa mioyoni mwetu na mahangaiko ya fikra zetu.

Yes, naweza sema tumekuwa na amani sana kwenye familia yetu, ingawa tunaweza kukosa lakini hatupungukiwi.

Nashkuru Mungu amenibariki familia yenye furaha na hakika najivunia kujiona mwenye bahati hii.

Yes, tumebarikiwa shelter na watoto wanasoma shule nzuri kwa kiwango chetu.

Si haba, tunabarikiwa mkate wa kila siku na hata baby walker zinazo kidhi udogo wa familia yetu ya watoto 8.

Lakini kuna wakatu Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, but we have to be strong.

So who are falling on our harms watupate tukiwa tumeimarika. Kwahili naona kwangu limekua gumu. Moyo unaniuma, pia najikuta nikitamani kulia lakini machozi hayataki kutoka.

Naomba msinishangae ndugu jamaa na marafiki, kwani hapa ndipo sehem sahihi kwangu ninayo weza kupata pumziko na faraja.

Baada ya kusema haya machache, niwaombe mtuombee kila mmoja kwa imani yake na hili ndilo ombi letu kwenu na Mungu awabariki sana.

Ebu ngoja nijaribu tena kupambana kama nitaweza kupata japo lepe la usingizi.
 
Pole sana sana mwalimu, unajua huwa inaumiza mno kumuona mtu ambaye umezoea kumuona akiwa na furaha na mcheshi muda wote kuwa disappointed kiasi hichi..!!

Ninachoamini siku zote ni kuwa, kamwe Mungu hakupi jaribu kubwa kushinda uwezo wako, unapitia kile unapitia right now sababu He knows you're strong enough to handle it all..!!

tell your heart that, all is well, and every damn thing is gonna be just fine, wewe ni dhahabu mwalimu wangu, hivyo kamwe usiogope kupita kwenye moto, vuka kipindi hichi kwa ujasiri kwani unayemtumaini ni mkuu kuliko yote haya..!!🙏🙏
 
Kuna wakati tunapitia maumivu makubwa mioyoni mwetu na mahangaiko ya fikra zetu.
Yes, naweza sema tumekua na amani sana kwenye familia yetu, ingawa tunaweza kukosa lakini hatupungukiwi.
Nashkuru Mungu amenibariki familia yenye furaha na hakika najivunia kujiona mwenye bahati hii.

Ebu ngoja nijaribu tena kupambana kama nitaweza kupata japo lepe la usingizi.
Du,! Pole sana kiongozi ungejaribu kuwa transparent ungesaidiwa lkn unapotumia code ngumu inakuwa shida kukusaidia
 
Kunawakati tunapitia mambo magumu hasa kifamilia, muhimu usikae mwenyewe tafutawatu wanaoweza kusikilizana itakusaidia sana pia amini ndio jaribu lako kama usingepewa Hilo basi lingekuja kubwaazaidi shukuru Kwa Hilo na Mungu atakusaidia utavuka
 
Kuna watu humu Jf huwa nawaona wako strong sana na niwafariji wazuri sana mmoja wapo ni wewe,
Mungu awe pamoja na wewe.

Binafsi kuna mtihani nipo now kwa sasa na sijui nitavuka vipi, wakuu depression is real. Mungu hajamalizana na sisi wanangu tukaze hivo hivo🙏
 
f752544d27324b77aad38614fb6f8674.jpg

Tujivike nira yake mana mzigo wake ni mwepesi... nothing to add bro.

Mioyo yetu imebeba uzuri wa dunia hii,Naamin utakuwa sawa.
 
Back
Top Bottom