Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Kuna wakati tunapitia maumivu makubwa mioyoni mwetu na mahangaiko ya fikra zetu.
Yes, naweza sema tumekuwa na amani sana kwenye familia yetu, ingawa tunaweza kukosa lakini hatupungukiwi.
Nashkuru Mungu amenibariki familia yenye furaha na hakika najivunia kujiona mwenye bahati hii.
Yes, tumebarikiwa shelter na watoto wanasoma shule nzuri kwa kiwango chetu.
Si haba, tunabarikiwa mkate wa kila siku na hata baby walker zinazo kidhi udogo wa familia yetu ya watoto 8.
Lakini kuna wakatu Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, but we have to be strong.
So who are falling on our harms watupate tukiwa tumeimarika. Kwahili naona kwangu limekua gumu. Moyo unaniuma, pia najikuta nikitamani kulia lakini machozi hayataki kutoka.
Naomba msinishangae ndugu jamaa na marafiki, kwani hapa ndipo sehem sahihi kwangu ninayo weza kupata pumziko na faraja.
Baada ya kusema haya machache, niwaombe mtuombee kila mmoja kwa imani yake na hili ndilo ombi letu kwenu na Mungu awabariki sana.
Ebu ngoja nijaribu tena kupambana kama nitaweza kupata japo lepe la usingizi.
Yes, naweza sema tumekuwa na amani sana kwenye familia yetu, ingawa tunaweza kukosa lakini hatupungukiwi.
Nashkuru Mungu amenibariki familia yenye furaha na hakika najivunia kujiona mwenye bahati hii.
Yes, tumebarikiwa shelter na watoto wanasoma shule nzuri kwa kiwango chetu.
Si haba, tunabarikiwa mkate wa kila siku na hata baby walker zinazo kidhi udogo wa familia yetu ya watoto 8.
Lakini kuna wakatu Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, but we have to be strong.
So who are falling on our harms watupate tukiwa tumeimarika. Kwahili naona kwangu limekua gumu. Moyo unaniuma, pia najikuta nikitamani kulia lakini machozi hayataki kutoka.
Naomba msinishangae ndugu jamaa na marafiki, kwani hapa ndipo sehem sahihi kwangu ninayo weza kupata pumziko na faraja.
Baada ya kusema haya machache, niwaombe mtuombee kila mmoja kwa imani yake na hili ndilo ombi letu kwenu na Mungu awabariki sana.
Ebu ngoja nijaribu tena kupambana kama nitaweza kupata japo lepe la usingizi.