Najiskia kuwa mnyonge, na moyo wangu umebondeka sana. Eehh Mungu nitie nguvu

Najiskia kuwa mnyonge, na moyo wangu umebondeka sana. Eehh Mungu nitie nguvu

Kuna wakati tunapitia maumivu makubwa mioyoni mwetu na mahangaiko ya fikra zetu.

Yes, naweza sema tumekuwa na amani sana kwenye familia yetu, ingawa tunaweza kukosa lakini hatupungukiwi.

Nashkuru Mungu amenibariki familia yenye furaha na hakika najivunia kujiona mwenye bahati hii.

Yes, tumebarikiwa shelter na watoto wanasoma shule nzuri kwa kiwango chetu.

Si haba, tunabarikiwa mkate wa kila siku na hata baby walker zinazo kidhi udogo wa familia yetu ya watoto 8.

Lakini kuna wakatu Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, but we have to be strong.

So who are falling on our harms watupate tukiwa tumeimarika.
Kwahili naona kwangu limekua gumu.

Moyo unaniuma, pia najikuta nikitamani kulia lakini machozi hayataki kutoka.

Naomba msinishangae ndugu jamaa na marafiki, kwani hapa ndipo sehem sahihi kwangu ninayo weza kupata pumziko na faraja.

Baada ya kusema haya machache, niwaombe mtuombee kila mmoja kwa imani yake na hili ndilo ombi letu kwenu na Mungu awabariki sana.

Ebu ngoja nijaribu tena kupambana kama nitaweza kupata japo lepe la usingizi.
Mkuu pole lakini hujafunguka hasa ni kipi KIKUSIKITICHACHO? maana binafsi siwezi kukuombea pasipo kujua tatizo linalo umiza moyo wako.
 
Pole sana sana mwalimu, unajua huwa inaumiza mno kumuona mtu ambaye umezoea kumuona akiwa na furaha na mcheshi muda wote kuwa disappointed kiasi hichi..!!

Ninachoamini siku zote ni kuwa, kamwe Mungu hakupi jaribu kubwa kushinda uwezo wako, unapitia kile unapitia right now sababu He knows you're strong enough to handle it all..!!

tell your heart that, all is well, and every damn thing is gonna be just fine, wewe ni dhahabu mwalimu wangu, hivyo kamwe usiogope kupita kwenye moto, vuka kipindi hichi kwa ujasiri kwani unayemtumaini ni mkuu kuliko yote haya..!!🙏🙏

Just like in the "Three Idiots" Movie...
 
The more u think of your problems is more you make them harder to being solved.what we face is not from vaccuum its either we created it or it is brought to us(we know the source).dont think too much of ur problems think of way through. Thats the kill switch

NB:Enjoy the world we only live once let problems be problems to problems themself
 
Kuna wakati tunapitia maumivu makubwa mioyoni mwetu na mahangaiko ya fikra zetu.

Yes, naweza sema tumekuwa na amani sana kwenye familia yetu, ingawa tunaweza kukosa lakini hatupungukiwi.

Nashkuru Mungu amenibariki familia yenye furaha na hakika najivunia kujiona mwenye bahati hii.

Yes, tumebarikiwa shelter na watoto wanasoma shule nzuri kwa kiwango chetu.

Si haba, tunabarikiwa mkate wa kila siku na hata baby walker zinazo kidhi udogo wa familia yetu ya watoto 8.

Lakini kuna wakatu Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, but we have to be strong.

So who are falling on our harms watupate tukiwa tumeimarika. Kwahili naona kwangu limekua gumu. Moyo unaniuma, pia najikuta nikitamani kulia lakini machozi hayataki kutoka.

Naomba msinishangae ndugu jamaa na marafiki, kwani hapa ndipo sehem sahihi kwangu ninayo weza kupata pumziko na faraja.

Baada ya kusema haya machache, niwaombe mtuombee kila mmoja kwa imani yake na hili ndilo ombi letu kwenu na Mungu awabariki sana.

Ebu ngoja nijaribu tena kupambana kama nitaweza kupata japo lepe la usingizi.
Ee Mungu, Baba yetu wa Mbinguni,

Tunakuja kwako leo kwa ajili ya Ushimen na familia yake. Tunaomba uwalinde na kuwafariji katika wakati huu mgumu.

Tunajua kwamba Ushimen anapitia maumivu makubwa mioyoni mwake na mahangaiko ya fikra zake. Tunaomba umwape nguvu ya kuvumilia majaribu haya.

Tunashukuru kwa baraka ambazo umewapatia, kama vile familia yenye furaha, makazi, elimu kwa watoto, na mkate wa kila siku. Tunaomba uendelee kuwabariki kwa neema yako.

Tunajua kwamba wewe ni Mungu wa upendo na huruma. Tunaomba uwafundishe Ushimen na familia yake jinsi ya kukutegemea katika wakati huu mgumu.

Tunaomba kwamba Ushimen apate amani na faraja katika wokovu wako. Tunaamini kwamba wewe ni tumaini lake pekee.

Tunaomba haya kwa jina la Yesu Kristo, Bwana wetu na Mwokozi. Amina.

Mpendwa Ushimen,

Tunajua kwamba unapitia wakati mgumu. Tunaomba Mungu akujalie nguvu ya kuvumilia majaribu haya.

Tunakuombea wewe na familia yako. Tunamwomba Mungu awape amani na faraja katika wokovu wake.

Tuamini kwamba Mungu yuko pamoja nawe na atakuja kukusaidia.

Tuko pamoja nawe katika maombi yetu.

Amina.
 
Kuna wakati tunapitia maumivu makubwa mioyoni mwetu na mahangaiko ya fikra zetu.

Yes, naweza sema tumekuwa na amani sana kwenye familia yetu, ingawa tunaweza kukosa lakini hatupungukiwi.

Nashkuru Mungu amenibariki familia yenye furaha na hakika najivunia kujiona mwenye bahati hii.

Yes, tumebarikiwa shelter na watoto wanasoma shule nzuri kwa kiwango chetu.

Si haba, tunabarikiwa mkate wa kila siku na hata baby walker zinazo kidhi udogo wa familia yetu ya watoto 8.

Lakini kuna wakatu Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, but we have to be strong.

So who are falling on our harms watupate tukiwa tumeimarika. Kwahili naona kwangu limekua gumu. Moyo unaniuma, pia najikuta nikitamani kulia lakini machozi hayataki kutoka.

Naomba msinishangae ndugu jamaa na marafiki, kwani hapa ndipo sehem sahihi kwangu ninayo weza kupata pumziko na faraja.

Baada ya kusema haya machache, niwaombe mtuombee kila mmoja kwa imani yake na hili ndilo ombi letu kwenu na Mungu awabariki sana.

Ebu ngoja nijaribu tena kupambana kama nitaweza kupata japo lepe la usingizi.
Anza kuswali saala tano kwa siku.

Kama siyo Muislam, shahadia uanze kwenda msikitini kusali.
 
Pole sana sana mwalimu, unajua huwa inaumiza mno kumuona mtu ambaye umezoea kumuona akiwa na furaha na mcheshi muda wote kuwa disappointed kiasi hichi..!!

Ninachoamini siku zote ni kuwa, kamwe Mungu hakupi jaribu kubwa kushinda uwezo wako, unapitia kile unapitia right now sababu He knows you're strong enough to handle it all..!!

tell your heart that, all is well, and every damn thing is gonna be just fine, wewe ni dhahabu mwalimu wangu, hivyo kamwe usiogope kupita kwenye moto, vuka kipindi hichi kwa ujasiri kwani unayemtumaini ni mkuu kuliko yote haya..!!🙏🙏
Asante mwali, na Mungu akutunze
 
Kunawakati tunapitia mambo magumu hasa kifamilia, muhimu usikae mwenyewe tafutawatu wanaoweza kusikilizana itakusaidia sana pia amini ndio jaribu lako kama usingepewa Hilo basi lingekuja kubwaazaidi shukuru Kwa Hilo na Mungu atakusaidia utavuka
Asante mkuu, hili tumeliweka kwenye maombi kama familia, na tunazidi kumuomba Mungu akasimame na sisi
 
Back
Top Bottom