Najiskia kuwa mnyonge, na moyo wangu umebondeka sana. Eehh Mungu nitie nguvu

Najiskia kuwa mnyonge, na moyo wangu umebondeka sana. Eehh Mungu nitie nguvu

Kuna wakati tunapitia maumivu makubwa mioyoni mwetu na mahangaiko ya fikra zetu.

Yes, naweza sema tumekuwa na amani sana kwenye familia yetu, ingawa tunaweza kukosa lakini hatupungukiwi.

Nashkuru Mungu amenibariki familia yenye furaha na hakika najivunia kujiona mwenye bahati hii.

Yes, tumebarikiwa shelter na watoto wanasoma shule nzuri kwa kiwango chetu.

Si haba, tunabarikiwa mkate wa kila siku na hata baby walker zinazo kidhi udogo wa familia yetu ya watoto 8.

Lakini kuna wakatu Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, but we have to be strong.

So who are falling on our harms watupate tukiwa tumeimarika. Kwahili naona kwangu limekua gumu. Moyo unaniuma, pia najikuta nikitamani kulia lakini machozi hayataki kutoka.

Naomba msinishangae ndugu jamaa na marafiki, kwani hapa ndipo sehem sahihi kwangu ninayo weza kupata pumziko na faraja.

Baada ya kusema haya machache, niwaombe mtuombee kila mmoja kwa imani yake na hili ndilo ombi letu kwenu na Mungu awabariki sana.

Ebu ngoja nijaribu tena kupambana kama nitaweza kupata japo lepe la usingizi.
Ushimen nini mbaya na veve?Unaanza kuandika wosia/usia/wasia mapema hivi?
 
Ee Mungu, Baba yetu wa Mbinguni,

Tunakuja kwako leo kwa ajili ya Ushimen na familia yake. Tunaomba uwalinde na kuwafariji katika wakati huu mgumu.

Tunajua kwamba Ushimen anapitia maumivu makubwa mioyoni mwake na mahangaiko ya fikra zake. Tunaomba umwape nguvu ya kuvumilia majaribu haya.

Tunashukuru kwa baraka ambazo umewapatia, kama vile familia yenye furaha, makazi, elimu kwa watoto, na mkate wa kila siku. Tunaomba uendelee kuwabariki kwa neema yako.

Tunajua kwamba wewe ni Mungu wa upendo na huruma. Tunaomba uwafundishe Ushimen na familia yake jinsi ya kukutegemea katika wakati huu mgumu.

Tunaomba kwamba Ushimen apate amani na faraja katika wokovu wako. Tunaamini kwamba wewe ni tumaini lake pekee.

Tunaomba haya kwa jina la Yesu Kristo, Bwana wetu na Mwokozi. Amina.

Mpendwa Ushimen,

Tunajua kwamba unapitia wakati mgumu. Tunaomba Mungu akujalie nguvu ya kuvumilia majaribu haya.

Tunakuombea wewe na familia yako. Tunamwomba Mungu awape amani na faraja katika wokovu wake.

Tuamini kwamba Mungu yuko pamoja nawe na atakuja kukusaidia.

Tuko pamoja nawe katika maombi yetu.

Amina.
Asante sana kwa maombi yenye nguvu na ikawe baraka na uponyaji wa mioyo na wote wanao pitia kipindi kigumu kama hiki
 
Kuna wakati tunapitia maumivu makubwa mioyoni mwetu na mahangaiko ya fikra zetu.

Yes, naweza sema tumekuwa na amani sana kwenye familia yetu, ingawa tunaweza kukosa lakini hatupungukiwi.

Nashkuru Mungu amenibariki familia yenye furaha na hakika najivunia kujiona mwenye bahati hii.

Yes, tumebarikiwa shelter na watoto wanasoma shule nzuri kwa kiwango chetu.

Si haba, tunabarikiwa mkate wa kila siku na hata baby walker zinazo kidhi udogo wa familia yetu ya watoto 8.

Lakini kuna wakatu Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, but we have to be strong.

So who are falling on our harms watupate tukiwa tumeimarika. Kwahili naona kwangu limekua gumu. Moyo unaniuma, pia najikuta nikitamani kulia lakini machozi hayataki kutoka.

Naomba msinishangae ndugu jamaa na marafiki, kwani hapa ndipo sehem sahihi kwangu ninayo weza kupata pumziko na faraja.

Baada ya kusema haya machache, niwaombe mtuombee kila mmoja kwa imani yake na hili ndilo ombi letu kwenu na Mungu awabariki sana.

Ebu ngoja nijaribu tena kupambana kama nitaweza kupata japo lepe la usingizi.
Moyo unaniuma, pia najikuta nikitamani kulia lakini machozi hayataki kutoka.
[emoji848][emoji25]

Hata wanaume hulia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati tunapitia maumivu makubwa mioyoni mwetu na mahangaiko ya fikra zetu.

Yes, naweza sema tumekuwa na amani sana kwenye familia yetu, ingawa tunaweza kukosa lakini hatupungukiwi.

Nashkuru Mungu amenibariki familia yenye furaha na hakika najivunia kujiona mwenye bahati hii.

Yes, tumebarikiwa shelter na watoto wanasoma shule nzuri kwa kiwango chetu.

Si haba, tunabarikiwa mkate wa kila siku na hata baby walker zinazo kidhi udogo wa familia yetu ya watoto 8.

Lakini kuna wakatu Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, but we have to be strong.

So who are falling on our harms watupate tukiwa tumeimarika. Kwahili naona kwangu limekua gumu. Moyo unaniuma, pia najikuta nikitamani kulia lakini machozi hayataki kutoka.

Naomba msinishangae ndugu jamaa na marafiki, kwani hapa ndipo sehem sahihi kwangu ninayo weza kupata pumziko na faraja.

Baada ya kusema haya machache, niwaombe mtuombee kila mmoja kwa imani yake na hili ndilo ombi letu kwenu na Mungu awabariki sana.

Ebu ngoja nijaribu tena kupambana kama nitaweza kupata japo lepe la usingizi.
Lakini kuna wakatu Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, but we have to be strong[emoji17][emoji848][emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Warumi 8;24~26 maana kwa matumaini hayo sisi tumekombolewa.lakini tumaini halina maana ikiwa tunakiona kile tunachotumainia.maana ni nani anayetumaini kile ambacho tayari anakiona? Kama tunakitumaini kile ambacho hatujakiona bado, basi,tunakingojea kwa kuvumilia. Hali kadhalika, naye Roho anatusaidia katika udhaifu wetu.maana hatujui inavyotupasa kuomba, lakini Roho mwenyewe anatuombea kwa Mungu kwa mlio wa huzuni isioelezeka.
 
20221030_083950.jpg

Nothing lasts....
 
Sijui sana kuhusu biblia.

Hata sitakuombea.

Hua unatuma nafasi za kazi jukwaa la Ajira na Tenda vijana hua tunachangamka nazo for years na hakuna tulipofanikiwa lakini tuna tumaini kwamba ipo siku tutafanikiwa. Tunakua disappointed, roho zinauma tunaamini siku bora itakuja tunavumilia.

Matumaini yanatuambia endelea kidogo itakua sawa.

Na wewe pia hauchoki kutuma posts kwakua ingawa tunakuambia hatujapata unaamini kwamba kuna siku mmoja wa vijana atapata. Your persistence has been fueled by hopes na moyo wa kujitoa.

Katika kipindi hichi acha moyo wa kutumaini ushikilie usukani, ukuonyeshe kitakachokua yote yakishavukwa, ukutie nguvu kila saa. Halafu yote yakipita wiki moja baadaye, mwezi baadaye au mwaka utakaa na shemeji na kuhadithiana hili tukio kama hadithi ya kuchekesha.

Look forward to this day
 
Pole sana mzee baba,
Nyie kuku ambao kila tatizo la mtu unawaza kuchapiwa mke, mijitu kama hii inaboa sana na ndio wanaongoza kuteswa ma mapenzi.

Ushimeni haina haja ya kuweka kisa hapa kama wengine wanavyotaka, mwenye nia nzuri atakuombea na kukutakia mema as long mtu ameshakuambia anapitia matatizo...
Hao wanaotaka uweka hapa ni kutaka kuchorana tuu.

Mwisho Mungu akupitishe katika hili nalo, usiwaze kwa akili yako, maana ukiwa na msala mkubwa unamuomba Mungu lakini unawaza tena hivi hapa Hata huyu Mungu atanichomoaje? Yaani unataka umfundishe Mungu tena way out.
 
Naogopa sana napoona watu wazima wanapitia haya.Nawaza itakuwaje kwa mimi little boy,nitaweza kusimama kweli?

Pole brother,onesha uimara ili wadogo zako tufuate nyayo zako ktk kupambana.
Mungu akubariki
 
Hapa hamna code mkuu, nikwamba napitia majaribu ambayo yapo nje ya iwezo wetu, lakini kama familia tunamuomba Mungu atende kama itakavyo mpendeza.
Mzee si ufungue nini kinachokusibu huenda hapa kuna mtu alishapitia the same exactly na jaribu na akapata njia so funguka mtoto wa kiume
 
Back
Top Bottom