Najitahidi sana kucheka ila usiku ni majonzi

kwenye mahusiano kuna zile basic needs lazima ufahamu hilo. uwezo wako na mtu unae ingia nae kwenye mahusiano.
kama yeye hana kipato wewe baba lazima uhudumie idara zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu jepesi tu hapo mbona Wala huna haja ya kuonana na Mungu nitakujibu mimi,Aliruhusu uzaliwe kwa kuwa anajua unaweza kupambana na changamoto za duniani,Ile kupambana tu ukachana Ile placenta basi ulikuwa umeshafuzu kozi
Nilivyokuwa dogo kama zangu hawakupenda kupiga story na mimi sababu maswali mengi ningekuuliza maswali zaidi lakini hua sipendi kusumbua watu
Najiuliza na kujijibu mwenyewe
 
Achana na mapenzi we kula mbunye tu
 
mbona una guna kikubwa hivyo ???wewe ni mwanaume Rijali kweli?Jf ina members wenye uwezo wa kumjua mtu the between line mwandiko wako haunyeshi kama kweli wewe ni mwanaume timilifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huu mtandao ni huru pia kama kuna mahali wameandika uandishi dume na jike nipe link nisome ili nisirudie makosa
UnasemaπŸ˜‚
We dada wewe motoni upo vvip nilimaanisha nimejaribu kumwelewa ila sikufanikiwa
Achana na mapenzi fanya mambo mengine!
Sawa wazo jema
Usitake kumuambukia gono mtoto wa watu bhna πŸ˜‚
Mm bikraaa wa kiume wewe 😁, wewe ndio umpe mtoto wa watu pangusa
Atembeze ubuyu pale uhasibu siyo?
Mwanangu hata kama hunipendi ila sio kwa utani huo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ujui kuwa sisi mabikra wakiume ndio tunaunganisha bao nne bila kupumzika?

Sikia chua 3000 nenda kariakoo tafuta mifuko ya ubuyu ile saizi ya 50 katembezw pale ubuyu wewe uza 50 tu kuna watu pale wanasubilia daladala midomo ina nuka ukiwauzia ubuyu 50 watakushukuru sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…