Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
- #41
Nimekuomba mpaka basiWenzako wanafaidi mzigo na mvua hii wewe unalia unachek😬View attachment 2590374
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuomba mpaka basiWenzako wanafaidi mzigo na mvua hii wewe unalia unachek😬View attachment 2590374
Jipende wewe kwanza kama wewe alafu huyo mwingine mpe nafasi ya pili...Natamani kuwa hivyo ila mimi ni Mtu ninayetamani mipango yangu itimie hasa kuishi na ninayempenda
Kwahiyo mama yako hana akili?Sijawahi ona mwanamke mwenye akili
Nilichomaanisha hata iweje unajua hapa nimempiga gepu ila sio kwamba zeroooo kbs tuwe wa kweli tu hawana cha kutuzidiHata mamako mzazi mkuu? [emoji15][emoji15][emoji15]
Alafu akitafuta hela what nextJibu murua kabisa
mkuu kusema kweli sina cha kukushauri mi mwenyewe mhanga wa mapenzi 😂Mimi sio mweusi wala mweupe saaana
Yani sisi tumeachana mara nyingi tumerudiana mara nyingi sikunyingine mm namtafuta na mara nyingine yeye ila kwa ninavyoona mambo ni kama naforce tu ila sioni mwisho hicho ndo kinaniumaTatizo ndio umesema Hana akili au tatizo Nini Sasa?
😂 Nilikwambia relax.mkuu kusema kweli sina cha kukushauri mi mwenyewe mhanga wa mapenzi 😂
Upo berylyn??? siku nyng.!!!Take Panadol mkuu
Kwenye maisha yangu sijawahi chukia mtuTafuta sabb ya kumchukia utakuja kunishukuru one day....
Mapenzi yanasumbua sana jamani, haswa kwa kipindi hichi.Yani sisi tumeachana mara nyingi tumerudiana mara nyingi sikunyingine mm namtafuta na mara nyingine yeye ila kwa ninavyoona mambo ni kama naforce tu ila sioni mwisho hicho ndo kinaniuma
Niliamini mengi sana nilikwepa wanawake wengi sana sababu nina mwonekano ila yote ni kujilisha upepo
Huyo sio ms eyes? Kweli
Start to love your face on the mirror....Hahahah ngoja nianze na kicheko unafki hivi wanaonijua hua naandikaga pumba et?
Anyway sikuumbiwa mapenzi ninayotamani yote hufa
I hate love, ila sina jinsi najua napoteza ila sina namna nahitaji muda sana
Ninahisi pain sana kila wazo la kimahusiano linapo nipitia kichwani furaha yangu ni ndogo tu 20% tena kwa muda ila huzuni ni nyingi
Sijui kwanini Mungu aliniweka huku
I hateeeeeeeee my heart, nachukia mapenzi, nachukia upendo, nachukia wanawake
Ila Nakupenda sana, siwezi jidanganya
we mwanamke unataka kunipanda kichwani sio 😂😂 Nilikwambia relax.
Nimefanyiwa magnification😂🙌Huyo sio ms eyes? Kweli
Hapo mdogo wangu unachochea matatizo ya afya yako ya akili...Usiforce Mambo,likuepukalo Lina heri nawe.....Muache aendelee na Maisha yake duniani Kuna a lot of varieties Ni suala la muda tu.......usipate sonona usiku ukose usingizi kwa ajili ya mtu asiyejali maumivu yakoYani sisi tumeachana mara nyingi tumerudiana mara nyingi sikunyingine mm namtafuta na mara nyingine yeye ila kwa ninavyoona mambo ni kama naforce tu ila sioni mwisho hicho ndo kinaniuma
Niliamini mengi sana nilikwepa wanawake wengi sana sababu nina mwonekano ila yote ni kujilisha upepo
😂😂😂 Mwili mzimawe mwanamke unataka kunipanda kichwani sio 😂