Najitolea bure kwa Idara za Usalama wa Taifa zote Barani Afrika katika Kuwatafutia Watu mahiri wa kufanya Kazi huko kwani hata Israel wameshanitumia

Najitolea bure kwa Idara za Usalama wa Taifa zote Barani Afrika katika Kuwatafutia Watu mahiri wa kufanya Kazi huko kwani hata Israel wameshanitumia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Vipaumbele vyangu nikipewa Kitengo cha ku Recruit Watu mahiri wa Idara za Usalama wa Taifa Barani Afrika vitakuwa...

1. Atokee kwa Wazazi wenye Akili Timamu na Koo za Watu Werevu
2. Ufaulu wa Kitaaluma ni ziada ila Akili ya Kuzaliwa ndiyo kitakuwa Kipaumbele changu
3. Awe na uwezo wa Kunyumbulika kutokana na Mazingira aliyonayo na kutokubali Watu Kumsifia Kiholela
4. Awe na Hisia ya Sita (Sixth Sense) Kiasili ambayo anayo Mbwa iliyo na Faida sana kwa wana Usalama
5. Mwenye Maadili ya Kuzaliwa nayo na yale ya Kufundishwa na Wazazi, Walimu na wana Jamii
6. Mtu mwenye Uroho wa kujua mambo mbalimbali ya Dunia (hasa ya Kitaarifa) na Kujifunza kwa haraka
7. Awe na Afya Njema ambayo itamuweka Fiti Kimajukumu hata Akistaafu na akiwa na Miaka 85

Tafadhali zingatia hapo neno Barani Afrika sasa Wewe Jipekenye na Kuwashwawashwa Kwako umaanishe unavyojua au unavyohisi Wewe kisha Uyakoge.
 
Wewe si utajaza ndugu zako kutoka Rwanda, maana ndio unajivunia na kujisifia ututsi wako. Je utaweza kutenda haki kwa wabantu wenye pua pana, wasio na makomwe, wasio na weusi kuzunguka macho n.k
 
Intelligence officer, huwa, hajitaji,unless ni mstasfu, baada ya, kipindi kirefu, na inawwzekana hakuwa deep Sana hapo kaIni
 
Vipaumbele vyangu nikipewa Kitengo cha ku Recruit Watu mahiri wa Idara za Usalama wa Taifa Barani Afrika vitakuwa...

1. Atokee kwa Wazazi wenye Akili Timamu na Koo za Watu Werevu
2. Ufaulu wa Kitaaluma ni ziada ila Akili ya Kuzaliwa ndiyo kitakuwa Kipaumbele changu
3. Awe na uwezo wa Kunyumbulika kutokana na Mazingira aliyonayo na kutokubali Watu Kumsifia Kiholela
4. Awe na Hisia ya Sita (Sixth Sense) Kiasili ambayo anayo Mbwa iliyo na Faida sana kwa wana Usalama
5. Mwenye Maadili ya Kuzaliwa nayo na yale ya Kufundishwa na Wazazi, Walimu na wana Jamii
6. Mtu mwenye Uroho wa kujua mambo mbalimbali ya Dunia (hasa ya Kitaarifa) na Kujifunza kwa haraka
7. Awe na Afya Njema ambayo itamuweka Fiti Kimajukumu hata Akistaafu na akiwa na Miaka 85

Tafadhali zingatia hapo neno Barani Afrika sasa Wewe Jipekenye na Kuwashwawashwa Kwako umaanishe unavyojua au unavyohisi Wewe kisha Uyakoge.
Hua wanalipwa mshahara kiasi gan?
 
Sawa!

Umemsaidiaje Samiah kuelekea 2025!!?
Coz ameshawananga kina nchimbi eti wanapangaNjama za vurugu wakiwa na wapinzani!!
 
Intelligence officer, huwa, hajitaji,unless ni mstasfu, baada ya, kipindi kirefu, na inawwzekana hakuwa deep Sana hapo kaIni
Wale wa malindoni ikulu na maeneo ya makazi ya viongozi wengine, huwa wanajiona nao ni viongozi kumbe walinzi tu kama Suma
 
Wewe si utajaza ndugu zako kutoka Rwanda, maana ndio unajivunia na kujisifia ututsi wako. Je utaweza kutenda haki kwa wabantu wenye pua pana, wasio na makomwe, wasio na weusi kuzunguka macho n.k
Nitumieni GENTAMYCINE katika kuwatafutieni Watu wa maana huko kwani nina Kipaji cha Ajabu na Macho ya kujua anayefaa. Israel wamefaidika mno nami katika hilo na ndiyo maana unaona Watu wao wa Idara zao za Usalama hawakosei pale wakifanya Jambo la Kijasusi au Oparesheni ya Kijasusi kwa Wapumbavu wa Kiarabu waliowazunguka.
 
Wale wa malindoni ikulu na maeneo ya makazi ya viongozi wengine, huwa wanajiona nao ni viongozi kumbe walinzi tu kama Suma
Members hapa JamiiForums mna maneno sana. Mkuu umenifanya Nicheke mno kwa hii Comment yako yenye Ukweli.
 
Nitumieni GENTAMYCINE katika kuwatafutieni Watu wa maana huko kwani nina Kipaji cha Ajabu na Macho ya kujua anayefaa. Israel wamefaidika mno nami katika hilo na ndiyo maana unaona Watu wao wa Idara zao za Usalama hawakosei pale wakifanya Jambo la Kijasusi au Oparesheni ya Kijasusi kwa Wapumbavu wa Kiarabu waliowazunguka.
Wanakosea na muda mwingine wanafeli, Soma kitabu kinaitwa Duet in Beirut. Utamwona Ronen ambaye sasa hivi ndio Mkuu wa Shin Bet.
 
Back
Top Bottom