Najiuliza hivi kwanini CEO wengi wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna kundi kubwa la wafanyakazi wahindi?

Si kweli, Wadachi pia ni wachapakazi wazuri sana na waaminifu ila wengi si Ma-CEO duniani, hoja ya uliyemnukuu ni sahihi kabisa 100%.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Huyo hua ana chuki ya udini tu na ndio kilichomsukuma kuandika hivyo japo ukweli anaujua.
 
Ni waaminifu na pia wana elimu kubwa
 
Wabongo wengi uvumilivu 0
Juzi tu zile rumours za M-KOBA watu tulianza kuomba kila mtu afe na chake😁😁.
 
Fact. Mtu mweusi ukimpa nafasi kama hii anawaza ngono tu hadi ofisini (baltazar). Muhindi linapokuja swala la kazi yupo serious kinoma, hawez changanya upuuzi wowote kwenye issue ya kazi.
 
Sifa kuu za Wahindi (Kanjibai);
1. Excessive Nepotism (Undugu-nization mno).
2. Employees exploitation(Unyonyaji wa wafanyakazi), Bongo ni mfano halisi kwa Wafanyakazi waliowahi/wanaofanya kazi kwa Wahindi kwenye viwanda, taasisi au maduka.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Ila wanapambana sana boss na wanaijua hela sana
Imagine kutoka petrol station moja local mpaka branch 6200 kwenye nchi 10 duniani

Nawajua wengi sana hapa UK ambao wako vizuri sana na mpaka rafiki zangu

Tajiri #1 hapa ni mdosi
Wahindi wanachotuzidi waafrika ni wakabila kupitiliza
 
Ila wanapambana sana boss na wanaijua hela sana
Imagine kutoka petrol station moja local mpaka branch 6200 kwenye nchi 10 duniani

Nawajua wengi sana hapa UK ambao wako vizuri sana na mpaka rafiki zangu

Tajiri #1 hapa ni mdosi


Wahindi wangekuwa wa maana wasingekuwa wanakimbilia nchi za wengine...

Linganisha India, China na USA, ni very rare kwa Mchina kutamani maisha ya nje
 
UAMINIFU
 
Wahindi wanajua kucut cost japo kwa huku Africa ni kupitia unyonyaji...kwaio wana maximize profits mara dufu
 
Mkuu Wahindi ni cheap labour ndiyo maana Kwenyd kampuni nyingi wapo kwenye sekta ya Fedha, tofauti na Wazungu wanapenda raha awajazoea kujibana na Umasikini.
 
Duu! Mfanyakazi aminywe, Kampuni ipate faida. Hii sifa si nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…