Najiuliza nilikosea kumuoa wife au ni tamaa au labda shetani?

Najiuliza nilikosea kumuoa wife au ni tamaa au labda shetani?

Thanks Members Nimepata Michango Positive sana sijaona hata negative respond hapo kwangu zote ni Positive. na Hakuna nilipokesa na fikiri kukosea mahali.

Kuna mtu alikuja INBOX thanks sana kwako umenifungua ahh ah, Shemeji zangu ni ndugu zangu ni wadogo zangu.

hila labda ushamba tuu wa kuishi na wanawake, wife ndo mtu wa kwanza kusihi naye ndani nyumba kwenye maisha yangu YA MAHUSIANO TO NDOA, Kwetu tumezaliwa wanne wote wanaume na mama alikuwa Afisa wa Jeshi la Magereza (BIBI JELA) imagine, kupata privarege kama hizi dahh ni maajabu kwangu.
 
Binadam tulvyo ukienda kwa watu unajfanya mchapakazi,msaf na fyetere fyeteree nyngne nenda kwako sasa mvivu wa hatar same applies to hao shemej zako usjchanganye mzee ukieenda kwao utakua hvyo hvyo alivyo mkeo kujfanya wanakujal na umbea mwngne mwng so jtulize uendelee na maisha na mkeo hao ni wageni tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka..... tunaomba fafanua kidogo..... Hapo mashemeji walipokuhudumia vizuri, walipokuonyesha Upendo, Mapenzi, Mahaba, Heshima na Kukujali Haswaa yule wa NNE kuzaliwa ....... Mpaka ukajikuta unajiona Mwanaume tena [emoji28][emoji28][emoji28]

[emoji23][emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu, Wife bana kajifungua kama mwezi hivi, tunashukuru sana kwa Mungu mtoto wa 2 sasa. Safari hii tofauti na mwanzo kajifungulia hapa hapa na tukiwa tushaamia mjengoni nje ya jiji hukoo sijui.

Kama ilivyo kawaida japo tuna Dada wa kazi lazima tupate mtu wakukaa na Mzazi hapo ndo napata tabu kidogo. Mke wangu kwao wamezaliwa watano, Mwanaume mmoja na Wanawake ni wanne, yeye ni wapili kwa kuzaliwa wa kwanza ni Kaka kisha waliobaki ni wadogo zake wakike na wote wameolewa.

Picha linaanza…..

Siku mbili baada ya wife kujifungua alikuja Mdogo wake anayemfuata kaolewa Tanga huko, alikaa kama wiki 2 hivi kisha akaondoka kurudi kwake. Baada ya kuondoka akaja wa mwisho kwa kuzaliwa naye kaolewa Morogoro akakaa kama siku 10 kisha kaondoka. Juzi kaja wanne kuzaliwa kaolewa Moshi yupo mpaka sasa.

Kipindi cha kuja kwa mashemeji zangu hawa kimenifanya nijiulize nilikosea kumoa wife au ni tamaa au labda shetani? Shemeji zangu hawa wamekuwa wakinihudumia vizuri kuliko hata mke wangu kwa miaka yote 9 ya ndoa. Wamenionyesha Upendo, Mapenzi, mahaba heshima na kunijali haswaa wanne kuzaliwa . Nimejikuta najiona Mwanaume.

Uwepo wake unefanya niwe na bashasha muda wote nikiwa nyumbani she is so charming and humble. Huyu wanne kwa uzuri hamshindi mke wangu lakini Mashallah. Mama mkwe kazaa bana na ndio aliyefanana naye sana japo wote ni wazuri kwa kweli ukiacha Rangi ya Mtume waliyo copy toka kwa Baba yao.

Mimi ni mpenzi sana wa kupika ni hobi (Wife anachukuliga poa sana nikiingia jikoni ananifukuza) lakini meshemeji zangu wanajua hilo mara nyingi wamekuwa wanivuta jikoni saa nyingine najikuta nipo nao jikoni tunapika pamoja ilimradi tuwe Karibu.

Wote kwa nyakati tofauti wekemkuwa wanasifia kupitia dada wa kazi kwamba dada yao (Wife) kapata Mume Mwema sana, dada wa kazi ni wakutoka kwetu huko so ananipaga stori

Uwepo wao umenifanya niendelee kuvumilia kutomcheat wife wamenifanya mtu mwema. Ukiacha aliyopo hapa sasa nimekuwa kila mara nawapigia Mashemeji zangu waje niishi nao najisahau wana maisha yao, wanaume zao na wana watoto wao. Inafikia kipindi nawaonea wivu kwa waume zao hapo ndo shidah waungwana

Nampenda sana Wife wangu japo nishamcheat mara kadhaa, na pia sifikiri kabisa kumcheat kwa wadogo zake hawa au ndugu zangu hawa, lakini wamenionyesha Upendo, Mapenzi, mahaba heshima na Kunijali Sana bila hata kuwafanyia jambo kubwa la maana sana.

Sijawai kuwatamani kingono but kiukweli nimetokea sana kuwapenda kiasi cha kutaka kuishi nao wote kwa pamoja.

Haya mamboo yaache tuu

Mahusiano hayana formula mkuu, inawezekana kabisa wanakuwa wazuri na wema kwako kwa kuwa ni shemeji yao na vile wako ugenini (unazijua tabia za housegirl mpya?), siyo ajabu mahusiano yao kwa waume zao ni bora ya mke wako kwako. Tulia unakoelekea siyo pazuri.
 
Sababu ni mume wa dada yao wanakuona km baba yao na dada yao ni mama yao.
 
kwi kwi kwi ulivyopopolewa hutarudia kufungua uzi wa kijinga humu,
 
Typing......delete.

Typing......delete.....

Typing .........delete.

Some things are better left unsaid

Jf 8 : 6-11

sasa hivi shemeji analiwa...huwa wana anzaga hivyo hivyo
 
Gonga like if you know the story is still developing and the whole thing is pulling this man deep down that black hole, and he does not know. Its just the beginning ya'll its just the beginning...


Sent from my iPhone using JamiiForums

it is just a trailer the movie is yet to come
 
Wababa wengi ndo hulka zetu. Unakuta nje tabasamu hadi jino la Mwisho ila nyumbani buyu. Sasa ujue hata mkeo anajiona kama alipotea njia kwako, anapo watembelea wadogo zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu una HISIA Kali sana Kama zangu,mie mwanamke mzuri na mwenye tabia njema na anaejtuma ktk kazi HUWA NATAMANI HATA KUMWABUDU
 
Unaweka details zako humu mwanzo mwisho. Kama mkeo na hao shemeji zao na waume wao wamo humu basi WANAKUCHORA TU.



Thanks Members Nimepata Michango Positive sana sijaona hata negative respond hapo kwangu zote ni Positive. na Hakuna nilipokesa na fikiri kukosea mahali.

Kuna mtu alikuja INBOX thanks sana kwako umenifungua ahh ah, Shemeji zangu ni ndugu zangu ni wadogo zangu.

hila labda ushamba tuu wa kuishi na wanawake, wife ndo mtu wa kwanza kusihi naye ndani nyumba kwenye maisha yangu YA MAHUSIANO TO NDOA, Kwetu tumezaliwa wanne wote wanaume na mama alikuwa Afisa wa Jeshi la Magereza (BIBI JELA) imagine, kupata privarege kama hizi dahh ni maajabu kwangu.
 
Hahaha hii dunia inamambo
Ndugu zangu, Wife bana kajifungua kama mwezi hivi, tunashukuru sana kwa Mungu mtoto wa 2 sasa. Safari hii tofauti na mwanzo kajifungulia hapa hapa na tukiwa tushaamia mjengoni nje ya jiji hukoo sijui.

Kama ilivyo kawaida japo tuna Dada wa kazi lazima tupate mtu wakukaa na Mzazi hapo ndo napata tabu kidogo. Mke wangu kwao wamezaliwa watano, Mwanaume mmoja na Wanawake ni wanne, yeye ni wapili kwa kuzaliwa wa kwanza ni Kaka kisha waliobaki ni wadogo zake wakike na wote wameolewa.

Picha linaanza…..

Siku mbili baada ya wife kujifungua alikuja Mdogo wake anayemfuata kaolewa Tanga huko, alikaa kama wiki 2 hivi kisha akaondoka kurudi kwake. Baada ya kuondoka akaja wa mwisho kwa kuzaliwa naye kaolewa Morogoro akakaa kama siku 10 kisha kaondoka. Juzi kaja wanne kuzaliwa kaolewa Moshi yupo mpaka sasa.

Kipindi cha kuja kwa mashemeji zangu hawa kimenifanya nijiulize nilikosea kumoa wife au ni tamaa au labda shetani? Shemeji zangu hawa wamekuwa wakinihudumia vizuri kuliko hata mke wangu kwa miaka yote 9 ya ndoa. Wamenionyesha Upendo, Mapenzi, mahaba heshima na kunijali haswaa wanne kuzaliwa . Nimejikuta najiona Mwanaume.

Uwepo wake unefanya niwe na bashasha muda wote nikiwa nyumbani she is so charming and humble. Huyu wanne kwa uzuri hamshindi mke wangu lakini Mashallah. Mama mkwe kazaa bana na ndio aliyefanana naye sana japo wote ni wazuri kwa kweli ukiacha Rangi ya Mtume waliyo copy toka kwa Baba yao.

Mimi ni mpenzi sana wa kupika ni hobi (Wife anachukuliga poa sana nikiingia jikoni ananifukuza) lakini meshemeji zangu wanajua hilo mara nyingi wamekuwa wanivuta jikoni saa nyingine najikuta nipo nao jikoni tunapika pamoja ilimradi tuwe Karibu.

Wote kwa nyakati tofauti wekemkuwa wanasifia kupitia dada wa kazi kwamba dada yao (Wife) kapata Mume Mwema sana, dada wa kazi ni wakutoka kwetu huko so ananipaga stori

Uwepo wao umenifanya niendelee kuvumilia kutomcheat wife wamenifanya mtu mwema. Ukiacha aliyopo hapa sasa nimekuwa kila mara nawapigia Mashemeji zangu waje niishi nao najisahau wana maisha yao, wanaume zao na wana watoto wao. Inafikia kipindi nawaonea wivu kwa waume zao hapo ndo shidah waungwana

Nampenda sana Wife wangu japo nishamcheat mara kadhaa, na pia sifikiri kabisa kumcheat kwa wadogo zake hawa au ndugu zangu hawa, lakini wamenionyesha Upendo, Mapenzi, mahaba heshima na Kunijali Sana bila hata kuwafanyia jambo kubwa la maana sana.

Sijawai kuwatamani kingono but kiukweli nimetokea sana kuwapenda kiasi cha kutaka kuishi nao wote kwa pamoja.

Haya mamboo yaache tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwi kwi kwi ulivyopopolewa hutarudia kufungua uzi wa kijinga humu,
Yawezekana wakijinga kwako kwangu Funzo kubwa Tena sana aseee, Nimepata maoni ya watu wengi bila kutarajia if fill gud . Nawajua watanzania nilitegemea kila nilicho kisoma hata comments kama yako nilijua itakuja tuuu ahh ahh
 
Back
Top Bottom