Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Shoga hebu soma hapo juu kwanza, najua unaniweka mjini sana shoga, siwezi kucheza na wewe.....chezeya shogake wewe

Well done shoga angu Mrembo by Nature.
Namna hiyo.
Hawa wanaume wa mjini, kutwa kugombanisha mashoga.
We ndo shoga angu bhana.
Achana na Arushaone.
Nimekwambia nina shem langu Pedeshee Ritz, nakati ya Masaki, mutu ya kunukia madorale.
 
Last edited by a moderator:

Well Well Well Shoga.
Hayo ndo mambo.
Tena wiki hii kuna kibao kata Magomeni mtaa wa Idrissa, nyumba namba 27, twende tukajishaue na madera yetu ya Zenji shoga.
 
Last edited by a moderator:
Well Well Well Shoga.
Hayo ndo mambo.
Tena wiki hii kuna kibao kata Magomeni mtaa wa Idrissa, nyumba namba 27, twende tukajishaue na madera yetu ya Zenji shoga.

Anataka sura ianze kufifia, hajui mji huu gharama mie itabidi unitaftie tu huyo Ritz kama ana madolari yake
 
Last edited by a moderator:
Umeona ee!
Ushoga wa mjini hapa, usipokuwa kauzu, watakushika sharubu mpaka wazing'oe.
Na hasa huku kwetu huku, kitimtim na kimuhemuhe kila uchao.

Ila nawe shoga kisa unanitoa madera na obagi ndio kunifungia milango kwa kila kinachochomoza...ila kwa kuwa nalinda ushoga basi itabodi nimkatae huyu Arushaone. , akwende huko mie shoga yangu ndio kila kitu, nani atanipa umbea wa mjini nikigombana nae? nani atakuwa ananikopesha hela ya karolite aka mie akwende hukoooo
 
Last edited by a moderator:
Anataka sura ianze kufifia, hajui mji huu gharama mie itabidi unitaftie tu huyo Ritz kama ana madolari yake

Mjini rareeee!!!
Mwanamke matumizi, mwanamke kutumia pesa, mwanamke kuvaa na makorokocho kibao.
Anataka akufifishe mwili wako wakati Obagi uliitafuta kwa jasho,uliipandia ndege mwambie.
Hvi yuko wapi, kasepa!!!
Heheheeeee Sie ndio Chum chum wana pelemba, akija na shungi atarudi na kilemba.
 
Last edited by a moderator:
Hawezi kukaa hapa, ndege ulishampeperushia
 

Tena mwambie atokomee maziiima!!
Ujana wake ale na nani, akufate uzeeni.
Twende shoga angu.
Mjini huwezi kulala na njaa...
Kufa na kiu baharini kupenda shoga.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…