Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Historia fupi ya ex mke wangu Madame B

nilimkuta mtoto uso una chunusi,nikapata kazi ya kuuremba uso.
Mtoto alikuwa na nyayo zilizochanika miguuni ka steel wire nikampa lotion miguu ikawa milaini kama skonzi.
Madame B alikuwa na nywele ka mkutano wa inzi,nikampeleka saluni,leo anarembeshwa na rasta,
Madame B alikuwa ana nguo moja tu ambayo ni gauni,lakini nikampeleka shopping nguo kajaza mabati matano.
Madame B alikuwa na ndala,nikamnunulia viatu,leo ana pea zaidi ya ef 5.
Madame B alikuwa anaendesha baiskeli,nikamnunulia mercedes benz.
Leo Madame B ananigeuka kwenda kwa Ben Saanane ambaye naye nilimpokea calcuta india,nikamsaidia pocket money.
Kweli kikulacho ki nguoni mwako,
rafiki yako ndio adui yako.
 
Last edited by a moderator:
aiseeee naona nianze kukuonea huruma maana umekaribia kuachwa na utalia kama Chimbuvu. huyu ukiona unazidi kumpenda ni ishara ya yeye kuongeza mwanaume mwingine. Naongea kwa experience
 
Last edited by a moderator:
Chimbuvu,

Yote hayo uliyomfanyia ndiyo umnyanyase na kumtesa? Pole

Calcuta India tena? Wewe si safari zako ni Dar na Malampaka tu?ni lini ulishaenda hata Burundi?

Acha Kumchafua Madame B kwa sababu ame-move on.Ha ha ha pole

CC: Ma-Ex wake
CC:Ma-ex wangu
 
Last edited by a moderator:

Hahahahahaha haya kwa ushahidi huu nakubali lol
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…