Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

Introvert hawezi kuishi kama extrovert and vice versa kitu cha muhimu kila mmoja amuheshimu mwenzie(" like we listen or we see but we don't judge")
Mimi binafsi napenda kupost ila mvivu mno naweza capture moment flan matata nasema hii lazime uifukie umma ila nasahau nakuja kukumbuka ata miez imeenda
Na nikiwa nasimu unaweza ukawa unaniona online ukahis na chat kumbe na view status za raia kuanzia meme lords, motivation speakers ,status preachers wazee wa soka wavimbaji wala bata ,heart broken nk
 
Baadhi ya mambo ambayo yakizidi sana huwa nayaona ushamba na ulimbukeni. Haya mambo mimi yamenipita mbali kabisa.

1. Kujipost WhatsApp status
Hata kama nitafanya jambo gani, hata kama nimepata nini cha mafanikio huwezi kukikuta status. Mwaka jana nimegraduate taaluma mbili tofauti lakini huwezi kukuta status. Acha status hata graduation sikuhudhuria(Japo sio ushamba)
Sijui nimenunua gari kali najisikia aibu sana kujipost. Hata picha tu ya gari sina, na zile zilizotumiwa na Mjapani nilishazifuta.

Kuna mdogo wangu alikuwa anapenda kupiga picha na gari anajipost. Nikamkataza.

Yule baby alikuwa anapenda kujiselfie na mimi halafu anajipost. Nikamkata kistaarabu tu baby don't do that. Hata kesho nikifanya harusi nadhani hakutakuwa na status.

Naona wenzangu wanapost matokeo ya watoto wao yaliyotoka jana. Mimi A tupu za wakwangu siwezi kuzipost, naona ulimbukeni. Ahadi ya zawadi niliyompa akipata A zote nitampatia, nitamtia moyo aongeze bidii na kumpeleka vacation ya kisima.

2. Kutumia elimu na kazi yangu kujiona bora
Nina mavyeti mengi tu lakini sio bora kuliko wengine. Sio bora kuliko mlinzi na mfagizi pale ofisini. Wakati wengine wakipita bila hata kumsalimia mlinzi na kusaini daftari getini. Mimi lazima nimjulie hali nijitambulishe. Hata akisema basi nenda tu, namwambia hapana nitasaini hapa na kule kwa Mkurugenzi nitasaini. Maana ndio utaratibu.

Tukiwa shamba mimi sio bora kuliko kibarua. Kwa hiyo msosi wa shamba utakula wote.
Sasa mzee Yani unajitekenya afu unacheka 🤣Yani hapa penyewe unabrag/Kujisifia mwanao Ana A sjui una gari kali Sasa WhatsApp na jamii forum wote sisi watoto wa baba mmoja(social network)
 
Mkuu wewe kama mimi tuu
Kuna wanangu niliomaliza nao Telecom pale Cive walikua watu wa ku show off status ila mii wala

Nulipo piga electrical south africa wala hakuna ndugu aliyekua anajua an ni mtu wa kimya kimya..

Juzi nimeenda dubai lakini cha ajabu sijapiga picha hata kidogo. Mpaka mdogo angu anashangaa huyu blaza vipi ila naona normol tuu..

Maisha ya mtandaoni kujianika mi ndo siwezi kabisa aiseee
Hii ni nature niliyonayo toka advance nilipo piga A ya phy na chem wala sikua mtu wa show off zaidi zaidi waliokuwa and anapost matokeo yangu ni wale ndgu wa karibu tuu..
Damn it
 
Kila mtu anafanya kile kinachomfanya afurahi, huwezi kuita hobby za wenzako "ushamba" , ni kitu watu wanapenda kushare furaha na huzuni zao na jamii inayowazunguka na wala sio ushamba kama ulivyoiita mtoa hoja.

Labda ungesema tu hauna interest na kujitupia mtandaoni ila don't term others as washamba kisa wewe hufanyi.
Safi sana
 
Baadhi ya mambo ambayo yakizidi sana huwa nayaona ushamba na ulimbukeni. Haya mambo mimi yamenipita mbali kabisa.

1. Kujipost WhatsApp status
Hata kama nitafanya jambo gani, hata kama nimepata nini cha mafanikio huwezi kukikuta status. Mwaka jana nimegraduate taaluma mbili tofauti lakini huwezi kukuta status. Acha status hata graduation sikuhudhuria(Japo sio ushamba)
Sijui nimenunua gari kali najisikia aibu sana kujipost. Hata picha tu ya gari sina, na zile zilizotumiwa na Mjapani nilishazifuta.

Kuna mdogo wangu alikuwa anapenda kupiga picha na gari anajipost. Nikamkataza.

Yule baby alikuwa anapenda kujiselfie na mimi halafu anajipost. Nikamkata kistaarabu tu baby don't do that. Hata kesho nikifanya harusi nadhani hakutakuwa na status.

Naona wenzangu wanapost matokeo ya watoto wao yaliyotoka jana. Mimi A tupu za wakwangu siwezi kuzipost, naona ulimbukeni. Ahadi ya zawadi niliyompa akipata A zote nitampatia, nitamtia moyo aongeze bidii na kumpeleka vacation ya kisima.

2. Kutumia elimu na kazi yangu kujiona bora
Nina mavyeti mengi tu lakini sio bora kuliko wengine. Sio bora kuliko mlinzi na mfagizi pale ofisini. Wakati wengine wakipita bila hata kumsalimia mlinzi na kusaini daftari getini. Mimi lazima nimjulie hali nijitambulishe. Hata akisema basi nenda tu, namwambia hapana nitasaini hapa na kule kwa Mkurugenzi nitasaini. Maana ndio utaratibu.

Tukiwa shamba mimi sio bora kuliko kibarua. Kwa hiyo msosi wa shamba utakula wote.
Hakika mneni umenena vyema.....
 
Mkuu wewe kama mimi tuu
Kuna wanangu niliomaliza nao Telecom pale Cive walikua watu wa ku show off status ila mii wala

Nulipo piga electrical south africa wala hakuna ndugu aliyekua anajua an ni mtu wa kimya kimya..

Juzi nimeenda dubai lakini cha ajabu sijapiga picha hata kidogo. Mpaka mdogo angu anashangaa huyu blaza vipi ila naona normol tuu..

Maisha ya mtandaoni kujianika mi ndo siwezi kabisa aiseee
Hii ni nature niliyonayo toka advance nilipo piga A ya phy na chem wala sikua mtu wa show off zaidi zaidi waliokuwa and anapost matokeo yangu ni wale ndgu wa karibu tuu..
sasa ulicho fanya hapo si ni bragging😁😁😁 au shida ni whatsapp status
 
Baadhi ya mambo ambayo yakizidi sana huwa nayaona ushamba na ulimbukeni. Haya mambo mimi yamenipita mbali kabisa.

1. Kujipost WhatsApp status
Hata kama nitafanya jambo gani, hata kama nimepata nini cha mafanikio huwezi kukikuta status. Mwaka jana nimegraduate taaluma mbili tofauti lakini huwezi kukuta status. Acha status hata graduation sikuhudhuria(Japo sio ushamba)
Sijui nimenunua gari kali najisikia aibu sana kujipost. Hata picha tu ya gari sina, na zile zilizotumiwa na Mjapani nilishazifuta.

Kuna mdogo wangu alikuwa anapenda kupiga picha na gari anajipost. Nikamkataza.

Yule baby alikuwa anapenda kujiselfie na mimi halafu anajipost. Nikamkata kistaarabu tu baby don't do that. Hata kesho nikifanya harusi nadhani hakutakuwa na status.

Naona wenzangu wanapost matokeo ya watoto wao yaliyotoka jana. Mimi A tupu za wakwangu siwezi kuzipost, naona ulimbukeni. Ahadi ya zawadi niliyompa akipata A zote nitampatia, nitamtia moyo aongeze bidii na kumpeleka vacation ya kisima.

2. Kutumia elimu na kazi yangu kujiona bora
Nina mavyeti mengi tu lakini sio bora kuliko wengine. Sio bora kuliko mlinzi na mfagizi pale ofisini. Wakati wengine wakipita bila hata kumsalimia mlinzi na kusaini daftari getini. Mimi lazima nimjulie hali nijitambulishe. Hata akisema basi nenda tu, namwambia hapana nitasaini hapa na kule kwa Mkurugenzi nitasaini. Maana ndio utaratibu.

Tukiwa shamba mimi sio bora kuliko kibarua. Kwa hiyo msosi wa shamba utakula wote.
mbona hapa kimsingi umepost tayari ?🤣 maana tumejua possessions zako
 
Naongezea hapo..

3. Kuvaa kila fasheni inayotoka mfano mwanaume kuvaa vikaptula vifupi, sendo na soksi. Au visuruali vifupi vya kubana mimi hiyo inipite tu.

4. Kuongea sana maneno mengi kama chiriku kila mada itayoanzishwa kujidai unaijua ni ushamba. Hii watu wa dar hapa mnahusika sana kwenye huu ushamba

5. Kutamka matusi kila sentensi au kila baada ya maneno machache kutia tusi iwe ni mtandaoni au ni mtaani ni ushamba.

6. Kupigana kwa sababu yoyote ile isipokua ya kuokoa maisha.

7. Kufakamia mipombe mpaka kuanza kuanguka anguka na kutapika ni ushamba.
No 6 ni kitu muhimu sana
 
Ukishaelewa maana ya mitandao ya kijamii. Hutaita mtu mwingine mshamba kwa sababu hajafanya kile unachofikiria wewe. Binafsi yangu hutakuta picha yangu status lakini sijawahi kuona shida watu wengine wanavyoshare moments zao kwenye status.

Jambo la kwanza uelewa mengine huitaji elimu ya degree kutofautisha JF na Whatsapp na uulize kwani kilichofanyika hapa kinatofauti gani na kile kinachoitwa ushamba.
 
Mimi napost hata nikila wali mbegu napost yan ile watu wanavyo comment na kushare mawazo Ndio nainjoi tunapiga story sna tunakumbukana..

Nikiwa nawana mtaani nachangia mada yoyote sikai kimya kwamba wataniona nina vimba nilicho nacho

Mtaani huku ukiwa mtu private sana unaonekana unajidai unamajivuno..

Mimi kwakweli napost atakaye nuna anune atakaye furahi anakoment tunapiga mastori
 
Kingine ukiji-post sana inakuwa rahisi kulogwa (tukumbuke kulogwa siyo lazima mtu akushikie tunguli).

Yupo jamaa yangu tunaheshimiana kinoma siku hiyo mkewe kajifungua mtoto ana masaa tu tayari picha status tena akanipigia na simu nifungue nikaangalie (sinaga kawaida ya kupita huko) aisee jamaa alinishangaza sana nikajua kumbe tupo watu tunaongezeka miili tu vichwani zero.
 
Back
Top Bottom