š¤£inaitwa mental masturbation mkuu,
flexing that you don't flex.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£inaitwa mental masturbation mkuu,
flexing that you don't flex.
wanabezwa kitu ambacho chanzo Cha single mom ni sis wanaume tuwe wakweli......Hao hawatukanwi wanaambiwa ukweli!!!
Au labda siyajui matusi ya single mama,em weka sample single mama anatakiwa aambiweje isionekane tu kwao.
Vincenzo Jr njoo huku mshamba mwenzanguSafi mkuu, umeelimika na kustaarabika. Umebakiza ushamba mmoja tu, kuwaza/kuongelea Simba na Yanga muda wote
A million doller question...Ukishaelewa maana ya mitandao ya kijamii. Hutaita mtu mwingine mshamba kwa sababu hajafanya kile unachofikiria wewe. Binafsi yangu hutakuta picha yangu status lakini sijawahi kuona shida watu wengine wanavyoshare moments zao kwenye status.
Jambo la kwanza uelewa mengine huitaji elimu ya degree kutofautisha JF na Whatsapp na uulize kwani kilichofanyika hapa kinatofauti gani na kile kinachoitwa ushamba.
Kila mtu afanye kinachompa amani.....Ila jamiiforums huwa mnajifanya hampendi baadhi ya vitu afu mwishoo wa siku mnakuja kujiumbua wenyewe,
mfano TikTok afu wote mnaifahamu sound ya kaongo yeye Sasa sijui mmeifahamia wapi??
Na hivyo ndivyo maisha yasanapswa kuwa, fanya unachoona kinakupa furaha bila kuvunja sheria. Kama kunakitu kitakuwa hakipo sawa tuelekezane bila kuitana washamba...Mimi napost hata nikila wali mbegu napost yan ile watu wanavyo comment na kushare mawazo Ndio nainjoi tunapiga story sna tunakumbukana..
Nikiwa nawana mtaani nachangia mada yoyote sikai kimya kwamba wataniona nina vimba nilicho nacho
Mtaani huku ukiwa mtu private sana unaonekana unajidai unamajivuno..
Mimi kwakweli napost atakaye nuna anune atakaye furahi anakoment tunapiga mastori
You just did.Mkuu wewe kama mimi tuu
Kuna wanangu niliomaliza nao Telecom pale Cive walikua watu wa ku show off status ila mii wala
Nulipo piga electrical south africa wala hakuna ndugu aliyekua anajua an ni mtu wa kimya kimya..
Juzi nimeenda dubai lakini cha ajabu sijapiga picha hata kidogo. Mpaka mdogo angu anashangaa huyu blaza vipi ila naona normol tuu..
Maisha ya mtandaoni kujianika mi ndo siwezi kabisa aiseee
Hii ni nature niliyonayo toka advance nilipo piga A ya phy na chem wala sikua mtu wa show off zaidi zaidi waliokuwa and anapost matokeo yangu ni wale ndgu wa karibu tuu..
You just did.Baadhi ya mambo ambayo yakizidi sana huwa nayaona ushamba na ulimbukeni. Haya mambo mimi yamenipita mbali kabisa.
1. Kujipost WhatsApp status
Hata kama nitafanya jambo gani, hata kama nimepata nini cha mafanikio huwezi kukikuta status. Mwaka jana nimegraduate taaluma mbili tofauti lakini huwezi kukuta status. Acha status hata graduation sikuhudhuria(Japo sio ushamba)
Sijui nimenunua gari kali najisikia aibu sana kujipost. Hata picha tu ya gari sina, na zile zilizotumiwa na Mjapani nilishazifuta.
Kuna mdogo wangu alikuwa anapenda kupiga picha na gari anajipost. Nikamkataza.
Yule baby alikuwa anapenda kujiselfie na mimi halafu anajipost. Nikamkata kistaarabu tu baby don't do that. Hata kesho nikifanya harusi nadhani hakutakuwa na status.
Naona wenzangu wanapost matokeo ya watoto wao yaliyotoka jana. Mimi A tupu za wakwangu siwezi kuzipost, naona ulimbukeni. Ahadi ya zawadi niliyompa akipata A zote nitampatia, nitamtia moyo aongeze bidii na kumpeleka vacation ya kisima.
2. Kutumia elimu na kazi yangu kujiona bora
Nina mavyeti mengi tu lakini sio bora kuliko wengine. Sio bora kuliko mlinzi na mfagizi pale ofisini. Wakati wengine wakipita bila hata kumsalimia mlinzi na kusaini daftari getini. Mimi lazima nimjulie hali nijitambulishe. Hata akisema basi nenda tu, namwambia hapana nitasaini hapa na kule kwa Mkurugenzi nitasaini. Maana ndio utaratibu.
Tukiwa shamba mimi sio bora kuliko kibarua. Kwa hiyo msosi wa shamba utakula wote.
Post post post.Na kuna mimi na mashoga zangu wa huku buza hata tukila kiepe yai ni lazima tupost tena ndio iwepo na mishikaki post itarudiwa mpaka. Sisi hatuwezi kuvaa wigi jipya bila kupost.. ni bora tusivae.
Ila we dogo akili zako unazijua mwenyewe, ndo kwanza upo chuo mwaka wa 2,Mkuu wewe kama mimi tuu
Kuna wanangu niliomaliza nao Telecom pale Cive walikua watu wa ku show off status ila mii wala
Nulipo piga electrical south africa wala hakuna ndugu aliyekua anajua an ni mtu wa kimya kimya..
Juzi nimeenda dubai lakini cha ajabu sijapiga picha hata kidogo. Mpaka mdogo angu anashangaa huyu blaza vipi ila naona normol tuu..
Maisha ya mtandaoni kujianika mi ndo siwezi kabisa aiseee
Hii ni nature niliyonayo toka advance nilipo piga A ya phy na chem wala sikua mtu wa show off zaidi zaidi waliokuwa and anapost matokeo yangu ni wale ndgu wa karibu tuu..
Iko hivo factKila mtu afanye kinachompa amani.....
Ukilogwa ni wewe, uonekane mshamba sisi haituhusu
Hutaki kuona status ya mtu..... una u-mute kiaina
Ndio maana halisi ya kuacha alama baada ya kufa. Sio unakufa watu hawana hata kitu cha kukukumbuka.Post post post.
Ukisha kufa rekodi zibaki.