Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

Wewe MTU wa show off sana...ndo maana umetaja kila kitu chako hapa!!
 
Tatizo la mtu mweusi ni kutaka kuwapangia wengine cha kufanya. Mleta mada ndiye mshamba mkubwa.
 
Una wasema wanaoonesha mafanikio yao mitandaoni mimi nilichogundua ni kwamba na wewe unapenda ila huna guts… kwani hapa sasa hivi umetoka kufanyaje? Umetuambia yote kuhusu wewe kama wenzio na wewe umefanya hivyo hivyo umebadili tu mtandao wa KIJAMII
 
Kasome japo human psychology hata intro tu utajua hauko sahihi hata kidogo
 
Jamaa yeye ndo kaonesha ushamba, wanataka kuwa recognised kwa kutopost badala watulie wenyewe,
Kama hulipi bills za mtu na chochote anachofanya hakina madhara hakuna haja ya kuona wenzio ni washamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…