Najua kwa sasa mmejifungia Kikaoni Hotelini Posta ili Kumfuta Kazi Kocha Mkuu, ila hata nyie hatuwataki tena SSC

Nakuona Kilaza Fc katika ubora wako wa kila siku....hii kazi unaiweza sana mr kilaza(akili mbili fc)
Pole sana Mama, agiza kinywaji chochote ulipo kisha nitumie AC no nikuwezeshe muhamala Mtani 😁
 
Mna hela ya kumleta Nabi nyie? labda Nabii mashimo
 
Hata Mo energy asepe zake, utapeli tapeli Tu.Anaitumia team kama platform ya kupromote products zake,anaendesha team kubwa Kwa style za kizamani...Toka lini team ikaendeshwa Kwa endorsement account...😡
 
Yaleyale ya kukariri kama kumrudisha Miqueson..Nabi wa nini ambaye kashafundisha kwa mtani wako kumrudisha kwenye Ligii??

Yaani kufanya scouting Simba kupata watu wa maana ni mtihani mzito
Ni mtihani mzito sana yaan.
 
Kumfukuza kocha mnaempangia wachezaji wa kucheza ni kumuonea.
 
Umepiga ikulu.
 
Ilikuwa haihitaji akili nyingi kubaini kuwa Simba inaenda kumfukuza kocha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…