Najua kwa sasa mmejifungia Kikaoni Hotelini Posta ili Kumfuta Kazi Kocha Mkuu, ila hata nyie hatuwataki tena SSC

Najua kwa sasa mmejifungia Kikaoni Hotelini Posta ili Kumfuta Kazi Kocha Mkuu, ila hata nyie hatuwataki tena SSC

Sina maumivu..kama yenu ya kufungwa na Ihefu...na zile 6 kwa sufuri za kipindi kile yaliisha...mimi ni nani yasiishe???
😊 😊 😊 🐸
Kwa jibu hili ni wazi maumivu bado yapo. Polepole yataisha tu best. Time heals almost everything; and khamsa syndrome is not an exception! 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🖐

 
Kwa jibu hili ni wazi maumivu bado yapo. Polepole yataisha tu best. Time heals almost everything; and khamsa syndrome is not an exception! 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🖐

View attachment 2806825
Usinilazimishe kuumia best...ni uchawi kutaka kuona mtu aumie wakati haumii
😀 😀 🐸 🐸 🐸
 
SIMBA HAKUNA MSAFI HATA MMOJA.

KUMFUKUZA ROBERTINHO ILIKUWA LAZIMA HAKUNA MWENYE AKILI TIMAMU ASIYEJUA
(hired to be fired)

VIONGOZI WANATAFUTA MCHAWI WAKATI WAO NDIO WACHAWI WAKUBWA
 
Ilikuwa haihitaji akili nyingi kubaini kuwa Simba inaenda kumfukuza kocha
Haters na Hypocrites utawajua tu. Hivi mwaka Jana Klabu ya Yanga SC chini ya Kocha Nabi ilipofanya vibaya Mechi za Kimataifa mpaka Mashabiki na Wanachama wakataka Ajiuzuru au Aondoke huku Wachambuzi na Waandishi wa Habari wakibashiri kuwa atafungashiwa Virago ( Atafukuzwa ) na kila Mtu aliamini hivyo je, alifukuzwa?

Kilichokuumiza ni kuona GENTAMYCINE kaja na Taarifa ya uhakika na niliyojiamini nayo 100% kutokana na Vyanzo vyangu na hatimaye leo Jumanne ( kama nilivyoitabiri ) kile nilichokileta hapa Kimetimia.

Kwani mkikubali tu kuwa GENTAMYCINE ndiyo Mfalme wa Habari za uhakika za Michezo na Masuala Mtambuka ya Kijamii ( katika Jamii ) mnapu gukiwa na nini? Wivu wenu juu yangu utawapelekeni Motoni.

Na kwa Jeuri, Nyodo na Kujiamini nakuja na Exclusive Info nyingine ya Mpira itokanayo na Derby ya Juzi muda si mrefu hapa hapa Jamiiforums na hakuna Mtu Mwingine yoyote yule anayo au anayoijua zaidi yangu Mimi tu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
 
Punguza chuki na roho mbaya, jamaa alisema wamejifungia Posta, tuambie wewe walijifungia wapi? Roho mbaya kama kutu!
Asante sana kwa Kuninyooshea huyo damn Fool and a Hypocrite Mkuu.

Chuki zao Kwangu Mwenyezi Mungu huzigeuza na kuwa Baraka Kubwa Kwangu ya Kimvuto, Uwasilishaji wangu hapa Jamiiforums na Akili Kubwa Vitu ambavyo Wao hawajabarikiwa navyo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!

Cc: CAPO DELGADO
 
Ukitoa matusi plus majivuno, kiburi na dharau jamaa anapata sana taarifa nyeti kuhusu soka la nchi hii! Inawezeka kuna waandishi wanaiba taarifa zake huku!
Chukua hi rasmi leo kuwa 97% ya Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania, Wachambuzi, Watangazaji na Sports Bloggers 24/7 wananisoma GENTAMYCINE hapa Jamiiforums na Kuchukua Taarifa na Chambuzi mbalimbali za Michezo na Kuzitumia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
 
Back
Top Bottom