Najua kwa sasa mmejifungia Kikaoni Hotelini Posta ili Kumfuta Kazi Kocha Mkuu, ila hata nyie hatuwataki tena SSC

Mkuu vijana wa Facebook wanakuibia content zako
 
😂😂😂😂
Huwa napenda namna anasimangwa na wana halafu yeye wala hana habari anajibu zake, 'Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King'..!!
Wakizidisha kumsimanga anapambana nao kwa matusi makali makali halafu yeye ndo huwa anaishia kulimwa ban. Mods ni kama vile walishamjulia yaani. Na haters wake huwa hawamuachi ndo maana karibu kila uzi atakaoanzisha ni lazima tu utakuwa na hekaheka kwa sababu ni lazima haters waje kumzodoa. Ni burudani tosha 😁😁😁
 
Sawa mkuu ngoja tusubiri hizo exclusive zingine.
 
Posta gani??
Hoteli gani????
Mtaa gani????
Viongozi gani???
Wakiwa wangapi???
Majina yao akina nani??

Usilete ubashiri kwenye masuala ya soka.

Ilikuwa lazima Robertinho atimuliwe labda ni mtoto tu dio asingeweza kulijua hilo
 
Ukitoa matusi plus majivuno, kiburi na dharau jamaa anapata sana taarifa nyeti kuhusu soka la nchi hii! Inawezeka kuna waandishi wanaiba taarifa zake huku!
Niliwahi kukutana na habari mtandao mwingine yani ni C& P ya huyu jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…