Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Nikivuta picha na mambo anayonipa eti na jamaa mwingine anapewa hivyo hivyo.. napata hasira natamani hata kulia.
[emoji23] hiyo hali ilishanikuta mkuu,we piga tu kisela huku unatafuta koloni jipyaNikivuta picha na mambo anayonipa eti na jamaa mwingine anapewa hivyo hivyo.. napata hasira natamani hata kulia.
Acha kukalili wapo Wanawake wengi wametulia kwenye mahusiano yaoDah yaani kwa miaka hii kuna mwanaume kaeli anajiaminisha kabisa kuwa mwanamke anamgegeda yeye peke😲😲😲
Kwa kweli vijana hamwajui hawa wanawake...mwanaume akishafika bei mbususu anaipata. Wako ukiwa nae akitoka kwako yoyote anaisasambua mbususu hiyo
😅😅😅Hakuna Cheating kama hujamuoa...Yupo anatafuta mtu sahihi.
Acha wivu na kulalamika kijana.
Waliotulia mbona ni mmoja kwa buku. Sasa kama mwanaume unadhani u special to land that 1 in a 1000, well lucky u!!Acha kukalili wapo Wanawake wengi wametulia kwenye mahusiano yao
Mngetulia nyie Wanaume Dunia ingekuwa sehemu salamaWaliotulia mbona ni mmoja kwa buku. Sasa kama mwanaume unadhani u special to land that 1 in a 1000, well lucky u!!
Kwa sie wengine tunachonuanni kwamba mbususu yako ukiwa nayo
Btw siwezi kuact kwa ushauri wa watu mtandaoni.. kwanza unaweza kukuta wengi wanaoshauri hawana hata dem .. wengine unakuta ni madogo waliopata matokeo ya form 4 juzi. So hapa napunguza stress tu.. maamuzi nitafanya mwenyewe..Hutaki ushauri lakini unaupokea mbona?Ukifika hatua ya kulazwa kwa maradhi njoo nikupe ushauri we mvulana!
Hahaha yaani tutulie wakati warembo mpo na mnatupea mbususu kwa raha zenu. Wee sema wanawake tungeacha tamaa ya hela dunia ingekuwa salamaMngetulia nyie Wanaume Dunia ingekuwa sehemu salama
Wanaume tutafuteni hela jamani kwa kweliSio kwamba huna makando kando Bali huna hela...lazima usinyae tu[emoji848]
Yaan mwanaume mwenye kazi yake na hela zake agundue demu wake analiwa na kumwagiwa na kidume kingine akae atulie tu kwa hicho kinyaa wee thubutuu[emoji1787][emoji1787]
Mkuu wewe nae mtu wa ajabu sana. Kumbe huna hata mpango wa kumuoa afu unataka aishi na wewe kizombi zombi ?? Umemuona demu huyo mjinga etiii? Kwa taarifa Yako anafahamu kabisa kuwa wewe ni mpitaji TU na ndo maana anaishi kimachale . Ulivyo mjinga K yenyewe unapewa kisela afu unataka umiliki 100% !!Nimekoma sirudii tena.. nitakuja kukagua simu ya mtu ninaetaka kumuoa nisije ingia kwenye ndoa na mtu mwenye michepuko
Naunga mkono hojaEehh unajipigia huku unatafuta mwingine
Ukimpata Mpya, usimuache huyo kwa kumwambia SIKUTAKI, NMEKUACHA .
Kwa sababu sisi wanaume tunaoenda mwanamke anayetupa papuchi muda wowote tunaotaka....
Huyo Mpya anaweza kua nakupa K kwa kuhesabu ... Utamuona naye hafai.
Hupaswi kujuta, Ni vyema umejua mapema, uko kwenye mahusiano na mtu wa namna gani.Na nnajuta kuangalia sms zake..
True Gentleman! hawanaga mambo kama haya, Achana na hilo wazo la 'nitakachomfanyia'.Haya mambo omba yasikukute.. mtu anakufanyia ushenzi halafu huna guts za kumuacha... sema kuna siku yake nitakachomfanyia atasimulia.
Njia pekee ya hili tatizo ni kuoa bikiraNimekoma sirudii tena.. nitakuja kukagua simu ya mtu ninaetaka kumuoa nisije ingia kwenye ndoa na mtu mwenye michepuko
EndeLEA Kupiga mpaka uchumi ukae vizuri ukishapata mwingine unaingia kwenye ule uchochoro mpaka kw mama JHabari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare tu ili linitoke kifuani.
Ilikua mwanzo kabisa wa mwaka huu kama tar 3 hivi nilikua na huyu dada room ,tuna mahusuano kama ya miezi miwili... alikua ameeenda bafuni kuoga baada ya mechi.
Basi sijui ni nini kikanituma nicheki simu yake. Nikafungua whatsapp nikaona anachat na watu wengi tu. Nikaona kawaida.
Nikaenda kwenye Txt za kawaida nikakuta kuna watu anachati nao wengi tu. Lakini jina moja nikalistukia. Nikafungua charts zake.
Nikakuta last text ina kama siku 4 inamuuliza kama ataenda kulala kwake.. inaonekana walikua wanaongea sana zaidi ya kuchart.
Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
Alikana kata kata akasema niko peke yangu. Basi nikamwambia kama kuna mtu yyte afanye aachane nae.
Jana hali ya hewa haikua nzuri sana kukaa peke yako.. nilimuita ili tushinde wote. Alikuja bila pingamizi. Basi kama kawaida alipoenda bafuni kuoga nikasema nicheki kama kaachana na jamaa ake.
Nimeingia kucheki Txt nakuta katika kuchart nae jana hio hio.. tena wanaitana 'babe'
Na jamaa alikua anamuuliza tena kama ataenda kulala kwake.. mimi huwa ni mtulivu sana na sipendi kufanya maamuzi ya haraka.. nilirudisha simu yake , wala sikureact hata kidogo. Usiku nimemsindikiza hadi kwao.
Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.
Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.
Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..