Dooh ila sio lengo Hilo mkuu Nia yangu ni kuwalipaKauka Tu! Waache watengeneze Hilo group Lao la sijui la WhatsApp na pia waache watoe hayo matangazo Yao na chochote wafanye, cha muhimu wewe umeshapoza shida zako! Hayo matangazo wewe kwani ni maji ya Moto yakiingia mwili yatakuunguza? Pia alafu elewa kwamba ukipotezea hautaumia, waache Tu wapige kelele sijui wafanye matangazo Yao LAKINI hayatakuwa milele yatafikia siku yatakoma, na wewe utaendelea kupeta. Unakosa usingizi Kwa kelele za kwenye matangazo? Acha ubwege wewe, usiogope, Acha watangaze ikifika usiku watalala Tu!
Mkuu, si nitahadhirika wakinitengenezea Hilo group la what's appWakikupigia wambie una wakiforce wajibu mbovu mbovu tu... Na uwakumbushe ulikopeshwa na app yao ivyo ni jukumu la app yao kukumbusha kulipa sio wao kukupigia simu direct, kwa malegendary uwa wanatulia na biti zao...
Mkopo gani eti dhamana nida number!
lipa pesa ya watu acha uhuniMkuu nionyeshe niliposema haya maneno" hata wakinianika sitojali lolote"
Oklipa pesa ya watu acha uhuni
Kuna mmoja ilishiwahi mtokea boss mpaka staff wenzake, ndugu, jamaa pamoja na marafiki walipata sms ya kuwa ni tapeli.Imagine, wachukue no. za wafanyakazi wenzangu wote wawaweke kwenye group plus mademu zangu na ma x 🤣 Alooo, ntahisi kufa mimi
Hela za watu tamu kulipa hamtakiWiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe.
Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa!
Kwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na kuwapigia wadhamini wangu?
Pia soma: Nape: Tumewaagiza TCRA wachunguze wale wanaodhalilisha watu waliowakopesha Mtandaoni
Nacheka kama mazuri 😂Ukikopa unda wewe group mapema liite
"Pesa X coming Soon" wakija na la kwao wanakuta wameandaliwa mpaka maji ya kuoga.
Sina elaHela za watu tamu kulipa hamtaki
Sio kujisifu nna experience nao maana maisha ya kibongo ndivyo yalivyo...Mkuu, si nitahadhirika wakinitengenezea Hilo group la what's app
Nani utamshtaki? Wameshindikana hao. Kuna njia tatu tu.Hii ipoje kisheria, kumdhalilisha mtu kimtandao si ni kosa la jinai? Kukopa na kuchelewesha deni ni kosa la madai
Je mkipambana mahakamani nani ataumia? Akijitokeza mtu mmoja akawanyoosha hata hiyo mikopo wataacha kukopesha
ukute ni mradi wa kigogo humohumo serikalini ushaona wapi serikali inajiramba!Serikali imekaa kimya
Haya makampuni BOT washasema hayana hata leseni za kukopesha, hayana ofisi popote pale zaidi ya online.Wakikupigia wambie una wakiforce wajibu mbovu mbovu tu... Na uwakumbushe ulikopeshwa na app yao ivyo ni jukumu la app yao kukumbusha kulipa sio wao kukupigia simu direct, kwa malegendary uwa wanatulia na biti zao...
Mkopo gani eti dhamana nida number! Ndio watakatishaji wenyewe hawa.
Tuhamasishane tukope tuwauwe😂Nani utamshtaki? Wameshindikana hao. Kuna njia tatu tu.
1. Usikope
2. Kopa lipa mapema.
3. Watu wote wanaokopa wasilipe na iwe campain ya wazi ya " Kopa Sepa"
Hii option ya tatu itaziua hizi kampuni zote zinazozalilisha watu na serikali imezishindwa.
🤣🤣🤣🤣🤭😀 subiri wawatumie ndugu zako wote sms kwamba wewe tapeli
Nifanyaje ku kuwanyima access ya contact za simu yanguHaya makampuni BOT washasema hayana hata leseni za kukopesha, hayana ofisi popote pale zaidi ya online.
Yanakopesha kinyume cha sheria, so wala usisumbuke kuyalipa hayana pa kwenda. Na namba zako naenda kayanyime Access ya contacts kwenye settings ya simu yako.
Hii imenigusa sana😅😅😅Imagine, wachukue no. za wafanyakazi wenzangu wote wawaweke kwenye group plus mademu zangu na ma x 🤣 Alooo, ntahisi kufa mimi