Najuta kuhamia kwangu Kerege

Labda sikueleweka..ishu hapa sio jirani akiniona nimeshika chuma la eicher atasemaje .ishu ni yale mazoea mzee baba!hapa hakuna cha elimu ya kujitmbua wala nn...!kuna kaulemavu kapo sana ukizoea kutembelea gari!wenyewe wanakajua!
Haka kaulemavu kabaya sana hata ukikaza siku mbili ukapanda daladala lazima urudi kwenye gari yako hata kwa mkopo wa mafuta
 
Mkuu binafsi si kushauri hiyo nyumba uuze hata kidogo ,bora ww umejenga kerege mimi nimejenga kiromo na nimehamia huko na shughuli zangu zinaenda ,fikiria mtu anaekaa mlandizi anapiga mishe town au anayekaa chalize na kila siku asubuhi yuko town na jioni anageuka ,
Usiuze nyumba mkuu ,utakuja juta usawa huu ,
 
Kerege pazuri sana na ni karibu kuliko kwa anayeishi Kigogo Fresh au Chanika kuelekea mjini kati.

Nadhani kuna mambo utakuwa hukubaliani nayo kuyaacha na ndiyo yanayokuumiza.

Mfano: Unatumia gari kubwa mno, hutaki kujichanganya na watu na bado hujakuwa na timing na muda foleni inakuwa imepungua.

Pata hii: Mdau wangu anaishi Kisemvule ana gari inaitwa Alphard, kila asubuhi ana vichwa saba kwenda navyo mjini kwa 2,000 na jioni kurudi hali kadhalika.

Anapata shs 14,000 na kurudi 14,000 hapo vipi? Hajarahisisha maisha tuu?

Thus why nakwambia jichanganye na wenyeji utapata mbinu mpya ya kujikwamu lakini kama hakuna mbadala basi nunua gari ndogo achana na magari ya show off. Yanakunyonya damu
 
Kuandika ni rahisi kama kilimo cha online
 
Wakistaafu wanahamia kwenye kodi za 5000 jangwani
 
Kupakia watu saba kila siku kwenda na kuridi ni kuchosha gari tu for nothing
 
Wala si kwamba haiuziki kwakuwa ni uswahilini kaka angu, bali uko nje ya mji kuuza nyumba inachukua muda, mi pia nilihama nikaipangisha nyumba huko, na nimetangaza kuuza muda tu inasumbua,, nilijenga uko kipindi Cha uvumi kwamba pakijengwa bandari patakuwa mjini, bas tulinunua viwanja na wenzangu kwa fujo, sasaivi tunajuta
 

Hapa umenisema kabisa. Nimeacha nyumba kubwa nzuri Msumi nimerudi NHC Ubungo kodi laki mbili . Kule mafuta kwa mwezi laki nne bado foleni, kuchelewa kulala na kuwahi kuamka. Watoto huwaoni hadi weekend. Juu ya yote gharama za maisha bidhaa bei juu sana . Tufikirie sasa vertical building extension.
 
Mkuu soko la nyumba kwa sasa limeshuka sana kwa mfano kinondoni kwa pinda kuna nyumba mpaka za laki sita achilia mbali tabata achilia mbali makumbusho uko kote ni karibu na posta not less than 10 min upo kazini au nyumbani na muda wa kupumzisha akili ifikirie vitu vingine upo.
Kerege nadhani ata kama utakua na mafuta ya kuchoma kila siku bado nadhani hautakua na muda wa kufaid maisha kwa maana ya ya kwamba jioni ukifika homu itakua arrnd saa nne na kutoka hom asubuh ni saa 12 sharp hapo hamna maisha ni utumwa.
Panga hata chumba kimoja kino au sinza then ijumaa unarudi kerege and jumatatu anatokea atleast uifaid nyumba yako kipindi cha wknd
8 km from bagamoyo road ata mpangaji labda kama kuna mradi ndo utapata wapangaji otherwise supply ya nyumba mijini kwa ss ni kubwa mtu hana sababu ya kupanga nje ya mji
 


Ushauri mzuri pia...ww ni mtu wa 2/kuongea hv...kuna boda amenishauri hii kitu...kahama to ushirombo🤔!
 


Traveller hyo avatar ni wapi huko??mwe nimevutika...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…