KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #41
Mwenye aibu alikufa na kupe kwapaniWanaume wa hovyo kabisa wanaongezeka kwa kasi....... unalishwa na mwanamke na kufanywa mtumwa bila aibu unaleta post hapa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye aibu alikufa na kupe kwapaniWanaume wa hovyo kabisa wanaongezeka kwa kasi....... unalishwa na mwanamke na kufanywa mtumwa bila aibu unaleta post hapa!!!
Kazi mnapeana kwa konexionNdugu Zangu Tuchape Kazi Tukimtanguliza Mungu Mbele
Bwana Bure Hayupo
Nipe contacts za huko kwenye sementiwenzio wanabeba cement huko we unataka uletewe chakula ndani lazima ukione cha moto
[emoji23]Uongo unanitesa, je nifanyeje niepuke aibu hii?
Nimekuwa muongo sana tangu nikiwa mvulana. Sasa nimekuwa baba mtu mzima ila bado nadanganya hata vitu visivyo na maana najikuta nimedanganya. Nifanyeje ili niishinde kadhia hii maaana nina aibika na kuumbuka na kudanganya huku najikuta tu tayari nimesha danganya.www.jamiiforums.com
Kazi hamna sistangu, elimu tunayo, ila hatuna mitaji tu
Wewe si ni ulijifanya kidume? KomaaNina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Wamama tuachane na hawa wavulanaYou have a very low thinking. Hapa umetoa mpaka address ya boss wako. Kibarua kitaota sasa. Hili taifa lina vijana wengi wajinga na wazembe sana. Kama hatua hazitachukuliwa kwenye malezi na elimu yetu then tutakuwa tunatenganeza wajinga wengi sana kama huyu. Sishangai kufanya kazi unayoifanya.
Likimpa mchongo jamaa atalikimbia, hilo limama nalo linajua jamaa njaa zake ndizo zinamuweka kwakeUnashindwa vipi kuliambia likupe Mchongo ... connection
Huko kuna makato mkuu😂😂😂Hamia kwa jimama la TRA
Z
Nimemwambia mara kibao, anasema nikaombewe kwa Mwamposa na kula keki ya upako.Unashindwa vipi kuliambia likupe Mchongo ... connection
Sawa sisteriHeri kutumia mbinu nyingine
Maana hapo unatumika, unachezewa na kuharibiwa kabisaaa
Mle kwa mpalangeNina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
[emoji1787][emoji1787] kazi anayoLikimpa mchongo jamaa atalikimbia, hilo limama nalo linajua jamaa njaa zake ndizo zinamuweka kwake
Hahahaaaa. Kumbe lina akili.Likimpa mchongo jamaa atalikimbia, hilo limama nalo linajua jamaa njaa zake ndizo zinamuweka kwake