Najuta kumpa ndugu yangu PS (playstation), kawa kama Teja


Unamsikia tu Martin Toiler😂😂
 
[emoji1787]
 
[emoji23]🫙
 
Mimi ilikuwa game boy enzi zile ilikuwa ya mshikaji hivi mwarabu kitaa na alikuwa ananiachia napenda kucheza spider man. Bahati mbaya ps siijui vizuri ila dogo langu ndo yuko fresh noma anashiriki mpaka mashindano ila naona kama miaka mitatu kaacha yuko busy na masomo..
 
Bado wanasoma wapo kidato Cha pili suluhu Ni kuipokonya tu Kama ina huo uraibu nitawafanyia shambulio la kushtukiza wakiwa katikati ya mchezo
Matokeo darasani vp?

Uzuri wa hii ps unaweza kuifanya kama fimbo, wakizingua kitu flan huwachapi wala kuwagombeza, unawafanyia shambulizi za kustukiza wakiwa katikati ya mchezo unaibeba unaifungia ndani hata siku 2, wakirudia unaifungia hata wiki.. Ile raha ya kucheza wanapoikosa inakuwa ni adhabu nzito kwao.
 
Matokeo Ni mazuri tu so far, Sasa in a long run isije ps ikawagharimu au niwe nawapa Jumapili tu ndio waitumie
 
Dogo anahitaji tiba ya saikolojia Japan kuna soba houses za waraibu wa social media...
 
Matokeo Ni mazuri tu so far, Sasa in a long run isije ps ikawagharimu au niwe nawapa jumapili tu ndio waitumie
Kama matokeo mazuri waachie tu watoe ushamba.

Hizi ps huwa Kuna kipindi kinafika zinazoeleka.

Kwa Sasa itumie iwe kama kifaa cha adhabu, unaweza kuwapa kazi flani wasipoifanya unaifungia ps, makosa madogo madogo unaifungia hata siku 1 ama 2, makosa mazito dozi inaongezwa
 
Kama matokeo mazuri waachie tu watoe ushamba.

hizi ps huwa Kuna kipindi kinafika zinazoeleka.

Kwa Sasa itumie iwe kama kifaa cha adaabu, unaweza kuwapa kazi flani wasipoifanya unaifungia ps
[emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…