Najuta kumsaidia rafiki yangu huyu

Sawa mkuu, mi sina percentage yoyote hapo😀.
 
Nirahisi sana ku jump in conclusion,

Hivi unajua gari la automatic ukiweka D unaendesha, lakini kama hujui kuendesha gari ukiwekewa D huwezi kuliendesha. Mfano huu unakuhusu wewe uliyeamua kumsaidia rafiki yako
 
Kaza tako basi.

Wewe unashindwa nini kumplease jamaa yako ili usipoteze uaminifu wako kwake?

Wewe unataka uombwe radhi, ila hutaki kuomba radhi. Duh!

Huna sababu ya kumlalamikia jamaa.
Mkuu matusi ya nini, au ndo utaratibu wanao utumia hapo kwenu 🤔.
👉Mimi ndo Nisha malizana na Jamaa aliye toa mchongo.
👉 Tatizo like Baki kwa ndugu yetu, na hatu mfikirii Sana.
 
Mkuu matusi ya nini, au ndo utaratibu wanao utumia hapo kwenu 🤔.
👉Mimi ndo Nisha malizana na Jamaa aliye toa mchongo.
👉 Tatizo like Baki kwa ndugu yetu, na hatu mfikirii Sana.
Unamfikiria sana. Mpaka unamuanzishia uzi huku unalalamika inadhihirisha wazi.

Niwie radhi.
 
Jifunze tu,mimi nimeamua kila mtu apambane kivyake simtafutii tena mtu kazi,yaani mtu unamtafutia kazi kwa shida zake alafu badae we ndo unaanza kusota yaani kila lawama kazini inakuja kwako,nimekoma nimekoma kila mtu apambane kivyake,hata sisi tulisota hayakuja ghafla

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Nime kuelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…