X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #181
Hakuna kitu kina replace thamani ya mtoto Kwa mama.... mtoto wako thamani yake anaijua aliyemzaa na wewe...ngoja nikupe swali la kizushi, what if umeshakufa halafu inakuja kujulikana kabisa Kwa vinasaba huyo mtoto kumbe ulipewa tu zawadi kumbe ni wa Denis? 😁😁😁
Sawa. Nimeelewa nilikuwa napunguza stress tuHyo mifano yako ni irrelevant mkuu. Hata mzee wangu kasoma na JK lakini hakuwa kama JK kimaisha.
I feel you brother..pambana bila kuchoka. Usimlaumu yeyote.take full responsibility of your lifeSawa. Nimeelewa nilikuwa napunguza stress tu
Shukrani sana ndugu yangu. Japo napambana sana ila ndio hivyo nakuwa kama nimesimama...!I feel you brother..pambana bila kuchoka. Usimlaumu yeyote.take full responsibility of your life
Basi kaza kijana inaonekana umedekezwa sana na mama yako kwaiyo imekufanya uwe tegemezi kifikra na kiuchumi mpaka leoSinywi Wala. Sivuti. Situmii kilevi chochote...!
Niende wapi sasa ndugu yangu...!Mbona ujamtaja Baba? Hayupo? Toka hayo mazingira mtakuwa mnalogana.
Niende wapi sasa ndugu yangu...!
Pole sana, una Elimu gani na unaishi wapi?
Ninaweza...! Nilisoma uandishi full...video editing. Camera operating. Japo sijabezi kabisa kwenye habari za michezo...!Una ujuzi wa kuandika articles? Mfano nikikwambia andika kuhusu vituo vya mabas Dar es salaam na route zake? Ruksa kufanya utafiti online, ila ziwe authentic... Unaweza?
Ninaweza...! Nilisoma uandishi full...video editing. Camera operating. Japo sijabezi kabisa kwenye habari za michezo...!
Vizuri mkuu kila la heriNitafanyia kazi maoni yako
Nshukuru Mungu niko kariakoo na duka la kuuza spare za electronics kwa jumla na ni mfanyakazi wa sekta flani flani kubwa tuVipi uliufanyia kazi huu ushauri. Je ulifanikiwa...?
Toto la mama samia, niaje kipande cha huko? Maana bila huyu mama sijui ingekuwaje.Labda niseme ukweli ,hakuna kipya hapa.
ulichokiandika ,ndio hali halisi ya vijana wengi wa kitanzania ,amka pambana . pole sana na huruma za jf hazitokusaidia!
kama ni Ke -i feel ure pain
kama ni me - we belong the same pain pambana chief utapata.
tushakula blueticks sana kwa ndugu,jamaa na marafiki.
Ahsante MUNGU kanitoa juani
Ahsante mama Samia kanitoa street
mkuuToto la mama samia, niaje kipande cha huko? Maana bila huyu mama sijui ingekuwaje.
Sasa wewe unajuta kwa lipi, na wakati starehe walifanya wazazi wako! Mbona unataka kuchanganya watu!!Mimi ni kijana Ambae nimezaliwa mwanzoni mwa mwaka 1990. Hapa hapa kwenye jiji la MAKONDA. Japo Baba na Mama yangu Kila mmoja ni mwenyeji wa mkoa wake.
Mama yangu alibahatika kusoma Hadi darasa la 7. Alifanikiwa kusoma typing enzi hizo ilikuwa hot sana kozi hiyo kama ilivyo computer siku hizi. Alisomeshwa hiyo kozi ili atafutiwe kazi ukizingatia kuwa mjomba wake alikuwa na cheo kikubwa TU wizara ya AFYA {R.I.P BABU}
Bahati haikuwa yake kwani katika harakati hizo za kutafutiwa kazi ikagundulika kuwa yeye Mama ni mjamzito. Hapo ndipo maisha yake yalipoanza kuwa ya kawaida nadhani mimba hiyo ilimtoa kabisa kwenye reli😭😭😭
Wenzie aliosoma nao enzi hizo Wana maisha mazuri na majina makubwa mfano Mtendaji mkuu wa NMB. Mh Ruth Zaipuna amesoma na mama yangu darasa Moja.
Nisingekuwa mimi kuja Duniani pengine mama yangu hivi sasa angekuwa mbali sana kimaisha.
Ujio wangu hapa Dunia umefanya mama amekuwa na maisha ya kawaida sana. Amehangaika sana na kwa kiasi Fulani Bado ananihangaikia😭😭😭
Nina huzuni sana licha ya kuwa nimesoma lakini elimu yangu haijanisaidia. Ni kama ubongo wangu umefungwa minyororo nashindwa Cha kufanya😭😭😭
View attachment 2808722
Na umri wangu huu nikiumwa ikahitaji milioni 1 TU haki vile nitakufa huku najiona. Umri wa mama yangu unaenda Kwa Kasi itafikia kipindi ataitaji msaada wangu.
Na Mimi Bado najitafuta japo namuomba sana Mungu anisaidie nijipate haraka. Na Nina muomba sana Mungu asimchukue mama yangu kabla sijajipata. Na ni Bora anichukue Mimi kwanza japo natamani sana siku Mungu atakayonichukua anichukue nikiwa nimemuacha Mama yangu pazuri 😭😭😭
Mwenzenu najuta sana kumpa mama yangu UMASIKINI
Baba kafa au?Sidhani kama ajutii japo aniambii ila dah. Inatia hudhuni imagine marafiki zangu niliosoma nao 75% wanaajira zinazoeleweka.
Inafikia kipindi mama nikimpigia simu ananiambia mtafute rafiki yako Fulani pengine anaweza kukuunganishia kazi.
Huku huyo rafiki yangu nikiwa Sina mawasiliano nae yoyote SI unajua tena Kila hatua mtu anayo piga anakuwa na marafiki wapya.
Nina miaka 30+ lakini Bado 75% ya maisha yangu IPO mikononi Kwa mama.