Najuta kumtia umasikini Mama yangu

🤣🤣🤣 nitafufuka nigombanie kombe jokes 🤣🤣🤣 kesi ngumu hiyo mpenzi ila kifo ni kifo...japo nimekuelewa sana​
 
I feel you brother..pambana bila kuchoka. Usimlaumu yeyote.take full responsibility of your life
Shukrani sana ndugu yangu. Japo napambana sana ila ndio hivyo nakuwa kama nimesimama...!
 
Mkuu wewe Si unafanya Kazi Garda na unalipwa 750k ,,,tumia huo mshahara kutoboa ..
 
Una ujuzi wa kuandika articles? Mfano nikikwambia andika kuhusu vituo vya mabas Dar es salaam na route zake? Ruksa kufanya utafiti online, ila ziwe authentic... Unaweza?
Ninaweza...! Nilisoma uandishi full...video editing. Camera operating. Japo sijabezi kabisa kwenye habari za michezo...!
 
Pole sana.
Usipende kujiingiza kwenye mafanikio ya mtu mwingine.
Huna uwezo wa kumfanikisha wala kumsaidia mwingine.
Mwenye uwezo huo ni Mungu.

Kama Mungu hajataka kukutumia kumsaidia au kumfanikisha Mama yako kosa lako liko wapi?

Hakuna yeyote ambaye unaowajibu wa kumsaidia au kumfanikisha zaidi ya mtoto uliyemzaa wewe. Full stop.

Yaliyotokea kabla ya wewe kuwepo hayakuhusu na huna uwezo nayo.

Wewe pambania Maisha yako ukiyaweza ndio ufikirie ya wengine. Vinginevyo utakufa Maskini kama wanavyokufa wengine
 
Toto la mama samia, niaje kipande cha huko? Maana bila huyu mama sijui ingekuwaje.
 
Sasa wewe unajuta kwa lipi, na wakati starehe walifanya wazazi wako! Mbona unataka kuchanganya watu!!
 
Baba kafa au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…